Tupunguze desturi ya kuongelea maisha ya watu

Tupunguze desturi ya kuongelea maisha ya watu

Riskytaker

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2024
Posts
568
Reaction score
2,522
Muda mwingi niko home kuna mafundi wanaendelea na ujenzi tangu july nimegundua kitu

Hawa jamaa ni wanaume lakini wanavyongelea maisha ya watu wananishangaza

Muda mwingine niko ndani hawajui kama niko ni mwendo wa umbeya. hadi mimi humo ndani najadiliwa

Kidogo watamix na story za mpira ila mazungumzo 85% ni maisha ya watu tena private life kabsa

Utaskia unamjua yule bwana ee naskia alikopa hela eee halafu yule ee hizi gari naskia ni mikopo ee
halafu yule ee anasumbuliwa na presha aah aah eeh iv yule ni kabila gan ahh kumbe aiseee mke wake ehh ahh ivi na yule ni mtoto wake eeh ahh na blah blah kama hizo .
 
sidhani sana mie najua 90% ya maongezi ni mapenzi iyo 5% ni mpira inayo baki ndio majungu sasa ya kujadili watu

mie nimewahi sikia watu wananijadili natokea kijiji flani hadi mzee wangu wanamfahamu kumbe hapana kile kijiji nilienda kutafuta maisha tu.
 
Muda mwingi niko home kuna mafundi wanaendelea na ujenzi tangu july nimegundua kitu

Hawa jamaa ni wanaume lakini wanavyongelea maisha ya watu wananishangaza

Muda mwingine niko ndani hawajui kama niko ni mwendo wa umbeya. hadi mimi humo ndani najadiliwa

Kidogo watamix na story za mpira ila mazungumzo 85% ni maisha ya watu tena private life kabsa

Utaskia unamjua yule bwana ee naskia alikopa hela eee halafu yule ee hizi gari naskia ni mikopo ee
halafu yule ee anasumbuliwa na presha aah aah eeh iv yule ni kabila gan ahh kumbe aiseee mke wake ehh ahh ivi na yule ni mtoto wake eeh ahh na blah blah kama hizo .
Duuh
 
Muda mwingi niko home kuna mafundi wanaendelea na ujenzi tangu july nimegundua kitu

Hawa jamaa ni wanaume lakini wanavyongelea maisha ya watu wananishangaza

Muda mwingine niko ndani hawajui kama niko ni mwendo wa umbeya. hadi mimi humo ndani najadiliwa

Kidogo watamix na story za mpira ila mazungumzo 85% ni maisha ya watu tena private life kabsa

Utaskia unamjua yule bwana ee naskia alikopa hela eee halafu yule ee hizi gari naskia ni mikopo ee
halafu yule ee anasumbuliwa na presha aah aah eeh iv yule ni kabila gan ahh kumbe aiseee mke wake ehh ahh ivi na yule ni mtoto wake eeh ahh na blah blah kama hizo .
Ukikaa na jamii ya hivyo tafuta njia ya kupiga hela hapohapo.

Anzisha hata gazeti la udaku 😂😂😂
 
Muda mwingi niko home kuna mafundi wanaendelea na ujenzi tangu july nimegundua kitu

Hawa jamaa ni wanaume lakini wanavyongelea maisha ya watu wananishangaza

Muda mwingine niko ndani hawajui kama niko ni mwendo wa umbeya. hadi mimi humo ndani najadiliwa

Kidogo watamix na story za mpira ila mazungumzo 85% ni maisha ya watu tena private life kabsa

Utaskia unamjua yule bwana ee naskia alikopa hela eee halafu yule ee hizi gari naskia ni mikopo ee
halafu yule ee anasumbuliwa na presha aah aah eeh iv yule ni kabila gan ahh kumbe aiseee mke wake ehh ahh ivi na yule ni mtoto wake eeh ahh na blah blah kama hizo .
Monetary doctor nasikia unakoishi hakuna watu kama hawa ehh ahh.

Hivi hawapo kweli?
 
Back
Top Bottom