Tupunguze desturi ya kuongelea maisha ya watu

Tupunguze desturi ya kuongelea maisha ya watu

Ni kweli, baaadhi ya wanaume tumekuwa wambea sana. Ndio maana kuna maeneo kama unajitambua hutakiwi kukaa, sehemu wanazocheza "draft" zimekuwa chungu cha kupika umbea na kusambaza majungu.
 
Waache watoto wacheze!
Hao ni "simple minds" na kazi yao unaiona! Unataka wajadili nini?
Siasa za sasa hazivutii, current affairs za nchi na dunia michosho ni vita na mabalaa!
Unataka wajadili Human Psychology, Constitution of URT, Hypocrisy of news media? Gender imbalance? Emerging technologies and other contemporary issues? Utakuwa unawaonea!
 
Muda mwingi niko home kuna mafundi wanaendelea na ujenzi tangu july nimegundua kitu

Hawa jamaa ni wanaume lakini wanavyongelea maisha ya watu wananishangaza

Muda mwingine niko ndani hawajui kama niko ni mwendo wa umbeya. hadi mimi humo ndani najadiliwa

Kidogo watamix na story za mpira ila mazungumzo 85% ni maisha ya watu tena private life kabsa

Utaskia unamjua yule bwana ee naskia alikopa hela eee halafu yule ee hizi gari naskia ni mikopo ee
halafu yule ee anasumbuliwa na presha aah aah eeh iv yule ni kabila gan ahh kumbe aiseee mke wake ehh ahh ivi na yule ni mtoto wake eeh ahh na blah blah kama hizo .
Wanaitwa waswahili.....mara moja moja hudhuria kwenye vibanda vya gahwa.....UTAPATA MPAKA UMBEYA WA IKULU
 
Ni kweli, baaadhi ya wanaume tumekuwa wambea sana. Ndio maana kuna maeneo kama unajitambua hutakiwi kukaa, sehemu wanazocheza "draft" zimekuwa chungu cha kupika umbea na kusambaza majungu.
Ila hata job kuna watu wanaa mno
 
Binadamu ni kiumbe wa umbea kwa asili, ni wachache sana wanaoweza kuishi bila umbea, ndio maana umbea ni biashara kubwa duniani.
I say itategemena na jamii. Ziko jamii hazina time na ma hovyo hovyo
 
I say itategemena na jamii. Ziko jamii hazina time na ma hovyo hovyo
Jami zote duniani zinafanya umbea, ni aina ya umbea tu ndio unatofautina. Ukienda uswahilini umbea unaozungumziwa mara nyingi utakuta ni wa bwana fulani kutembea na mwanamke fulani, nani mtaani wanapika sana nyama , nani kamloga fulani n.k ukienda jamii nyingine utakuta nani kamuibia ndugu yake dukani, nani kamtoa ndugu yake kafara awe tajiri, nani ana pesa lakini hasaidi ndugu zake n.k
 
Waache watoto wacheze!
Hao ni "simple minds" na kazi yao unaiona! Unataka wajadili nini?
Siasa za sasa hazivutii, current affairs za nchi na dunia michosho ni vita na mabalaa!
Psychology, Constitution of URT, Hypocrisy of news media? Gender imbalance? Emerging technologies and other contemporary issues? Utakuwa unawaonea!
Ila kwa mwanaume kukaa kujadili familia fulani, jamaa fulani kimbea hata sio poa mkuu. Ni kweli current affairs, siasa na International affairs hazivutii kujadili, ni bora hata kujadili mpia na wanawake kuliko kujadili umbea.
 
machinjioni ndio kuna umbea haswa tena wa alfajiri na mapema
 
Kila story lazima uzungumzie watu ukianza story za mpira lazima uwaseme watu sijui chama amezeka mara azizi ki kufanya hivi au maswala ya siasa unaongelea tundu lisu kufanya hivi au makonda kafanya vile.

Kwa hiyo kila story na kila hadithi ina wahusika
 
Jami zote duniani zinafanya umbea, ni aina ya umbea tu ndio unatofautina. Ukienda uswahilini umbea unaozungumziwa mara nyingi utakuta ni wa bwana fulani kutembea na mwanamke fulani, nani mtaani wanapika sana nyama , nani kamloga fulani n.k ukienda jamii nyingine utakuta nani kamuibia ndugu yake dukani, nani kamtoa ndugu yake kafara awe tajiri, nani ana pesa lakini hasaidi ndugu zake n.k
I will not agree with this, wakati nimeenda masomoni nje, nchi za wenzetu. No body has time with you labda muwe friends au amekuzoea ndio hata mtapiga story
Lakini kukaa vibarazani vijiweni? No

Even kwenye publick transport, unless ni issue ya politics , au maamuzi fulani ya serikali.
Else wako busy

Ni tabia ya mtu mweusi , sisemi jamii za wenzetu ziko perfect ila suala hilo mtu mweusi ndio kama muasisi, imefikia mahali hata kazi anaacha au hatafuti kazi ya kufanya yuko bize na hayo mambo
Ulaya hukutani na mambo ya hayo
 
I will not agree with this, wakati nimeenda masomoni nje, nchi za wenzetu. No body has time with you labda muwe friends au amekuzoea ndio hata mtapiga story
Lakini kukaa vibarazani vijiweni? No

Even kwenye publick transport, unless ni issue ya politics , au maamuzi fulani ya serikali.
Else wako busy

Ni tabia ya mtu mweusi , sisemi jamii za wenzetu ziko perfect ila suala hilo mtu mweusi ndio kama muasisi, imefikia mahali hata kazi anaacha au hatafuti kazi ya kufanya yuko bize na hayo mambo
Ulaya hukutani na mambo ya hayo
Maofisini hawapigi umbea?
Wanawake majirani hawapigi umbea?
 
Maofisini hawapigi umbea?
Wanawake majirani hawapigi umbea?
Kama unaongelea ofice za ulaya nitaku dissapoint, they almost dont do it, unless kuna kitu kikubwa kimetoa. Wenzetu wako strict sana maofisini. No time to waste
 
Monetary doctor nasikia unakoishi hakuna watu kama hawa ehh ahh.

Hivi hawapo kweli?
Hahahaha

kwanza kusema maisha ya mtu haijalishi jinsia kama mtoa comment anavyoshangaa

nimekuwa nikienda shambani kwa mzee kabla sija sign out ishu za kusoma.....

Unakuta vibarua mostly ni wanaume.... Oyaah yanayozungumzwa unabaki like ni nini hiki !

Haya njoo vijiwen vya boda, gahawa na vingine then uwe unapita kila siku ni kusemwa afu ukiwakaribia wanakuchangamkia na nakuwa nshawasoma so nikuwa-mute tu.....

Nilicho note kusema watu ya sisi wanaume na wanawake Kuna utofauti..... sisi mpaka usikie habari hii kanipa sijui juma, au John ni ngumu Ila kwa ke akitoka hapo ni direct proportion kwa anayesemwa...

Mwisho: Maisha yetu yanahitaji usiri mkubwa sana kwa sababu wanaotutolea Siri ni watu wa karibu au mtoa huduma wako uliyemzoea mfano Kuna watu wana boda, mafundi, sijui dada wa oda ya chakula n.k

Unaruhusu mtu aingie mpaka chumbani maybe, afu unakuta una makando kando yako unafikiri akiona inakuaje, mwingine akikuta diary umeandika anairukia kujua Kuna nn ?

Kuna wale sasa wa kutangaza mwakani nina pata mtoto, mara hivi mara vile, yote ya nn?

Mpaka unasemwa ina maana taarifa zako umezivujisha mwenyewe kupitia marafiki zako au kujisifia mwishowe ndo kusemana tuu.....

Huku wapo mzee baba
 
Hahahaha

kwanza kusema maisha ya mtu haijalishi jinsia kama mtoa comment anavyoshangaa

nimekuwa nikienda shambani kwa mzee kabla sija sign out ishu za kusoma.....

Unakuta vibarua mostly ni wanaume.... Oyaah yanayozungumzwa unabaki like ni nini hiki !

Haya njoo vijiwen vya boda, gahawa na vingine then uwe unapita kila siku ni kusemwa afu ukiwakaribia wanakuchangamkia na nakuwa nshawasoma so nikuwa-mute tu.....

Nilicho note kusema watu ya sisi wanaume na wanawake Kuna utofauti..... sisi mpaka usikie habari hii kanipa sijui juma, au John ni ngumu Ila kwa ke akitoka hapo ni direct proportion kwa anayesemwa...

Mwisho: Maisha yetu yanahitaji usiri mkubwa sana kwa sababu wanaotutolea Siri ni watu wa karibu au mtoa huduma wako uliyemzoea mfano Kuna watu wana boda, mafundi, sijui dada wa oda ya chakula n.k

Unaruhusu mtu aingie mpaka chumbani maybe, afu unakuta una makando kando yako unafikiri akiona inakuaje, mwingine akikuta diary umeandika anairukia kujua Kuna nn ?

Kuna wale sasa wa kutangaza mwakani nina pata mtoto, mara hivi mara vile, yote ya nn?

Mpaka unasemwa ina maana taarifa zako umezivujisha mwenyewe kupitia marafiki zako au kujisifia mwishowe ndo kusemana tuu.....

Huku wapo mzee baba
Ukisikia watu wanakusema halafu huna roho ngumu unaweza kukata tamaa maishani mkuu.
 
Katika hizo story haikosekanagi story ya freemason,utaskia yule jamaa freemason alimtoa ndugu yake kafara akatajirika
 
Back
Top Bottom