Remark
JF-Expert Member
- Aug 15, 2015
- 510
- 989
Usengenyaji ni kumsema mtu vibaya akiwa hasikii wala hajui kinachoendelea.. je wewe hujui nilichokisema hapa.Huu pia ni usengenyaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usengenyaji ni kumsema mtu vibaya akiwa hasikii wala hajui kinachoendelea.. je wewe hujui nilichokisema hapa.Huu pia ni usengenyaji.
Kwani hapa hao mafundi wanasikia?Usengenyaji ni kumsema mtu vibaya akiwa hasikii wala hajui kinachoendelea.. je wewe hujui nilichokisema hapa.
Wanaume wa Dar na Dodoma ndo mambo yao haya ni bora ukatize kwenye kundi la wadada kuliko vijana/wanaume ..sijui tunaelekea wapi
According to plato;Muda mwingi niko home kuna mafundi wanaendelea na ujenzi tangu july nimegundua kitu
Hawa jamaa ni wanaume lakini wanavyongelea maisha ya watu wananishangaza
Muda mwingine niko ndani hawajui kama niko ni mwendo wa umbeya. hadi mimi humo ndani najadiliwa
Kidogo watamix na story za mpira ila mazungumzo 85% ni maisha ya watu tena private life kabsa
Utaskia unamjua yule bwana ee naskia alikopa hela eee halafu yule ee hizi gari naskia ni mikopo ee
halafu yule ee anasumbuliwa na presha aah aah eeh iv yule ni kabila gan ahh kumbe aiseee mke wake ehh ahh ivi na yule ni mtoto wake eeh ahh na blah blah kama hizo .
Hapa hawajasemwa vibaya.. ila inazungumziwa tabia yao ya ovyoKwani hapa hao mafundi wanasikia?
Na wao walikuwa wanasema tabia mbaya za watu.Hapa hawajasemwa vibaya.. ila inazungumziwa tabia yao ya ovyo
Embu soma mada tena uone mfano wa kinachosemwa na mtoa mada..Na wao walikuwa wanasema tabia mbaya za watu.
Hata wewe ndiyo walewale au nasema uongo ndugu zanguNawe umekuja kujadili maisha yao!!!
Nawe ndio wale wale.Hata wewe ndiyo walewale au nasema uongo ndugu zangu
Mimi na wewe sio walewale isipokuwa mtoa mada. Relax ndugu.Nawe ndio wale wale.