Riskytaker
JF-Expert Member
- Mar 14, 2024
- 568
- 2,522
natoa rai tuacheNawe umekuja kujadili maisha yao!!!
Nawe umekuja kujadili maisha yao!!!
πππWanaume wa Dar na Dodoma ndo mambo yao haya ni bora ukatize kwenye kundi la wadada kuliko vijana/wanaume ..sijui tunaelekea wapi
DuuhMuda mwingi niko home kuna mafundi wanaendelea na ujenzi tangu july nimegundua kitu
Hawa jamaa ni wanaume lakini wanavyongelea maisha ya watu wananishangaza
Muda mwingine niko ndani hawajui kama niko ni mwendo wa umbeya. hadi mimi humo ndani najadiliwa
Kidogo watamix na story za mpira ila mazungumzo 85% ni maisha ya watu tena private life kabsa
Utaskia unamjua yule bwana ee naskia alikopa hela eee halafu yule ee hizi gari naskia ni mikopo ee
halafu yule ee anasumbuliwa na presha aah aah eeh iv yule ni kabila gan ahh kumbe aiseee mke wake ehh ahh ivi na yule ni mtoto wake eeh ahh na blah blah kama hizo .
Kwa kweli.Wanaume wa Dar na Dodoma ndo mambo yao haya ni bora ukatize kwenye kundi la wadada kuliko vijana/wanaume ..sijui tunaelekea wapi
Ukikaa na jamii ya hivyo tafuta njia ya kupiga hela hapohapo.Muda mwingi niko home kuna mafundi wanaendelea na ujenzi tangu july nimegundua kitu
Hawa jamaa ni wanaume lakini wanavyongelea maisha ya watu wananishangaza
Muda mwingine niko ndani hawajui kama niko ni mwendo wa umbeya. hadi mimi humo ndani najadiliwa
Kidogo watamix na story za mpira ila mazungumzo 85% ni maisha ya watu tena private life kabsa
Utaskia unamjua yule bwana ee naskia alikopa hela eee halafu yule ee hizi gari naskia ni mikopo ee
halafu yule ee anasumbuliwa na presha aah aah eeh iv yule ni kabila gan ahh kumbe aiseee mke wake ehh ahh ivi na yule ni mtoto wake eeh ahh na blah blah kama hizo .
Hajadili maisha ila tabia zao za ovyo ndio za zinashangaza.. kusema maisha ya mtu na kusengenya ni dhambi. Tena maneno mengi ya masengenyo huwa yanakua hayana ukweli.. So na wewe kama uko ivyo uacheNawe umekuja kujadili maisha yao!!!
Huu pia ni usengenyaji.Hajadili maisha ila tabia zao za ovyo ndio za zinashangaza.. kusema maisha ya mtu na kusengenya ni dhambi. Tena maneno mengi ya masengenyo huwa yanakua hayana ukweli.. So na wewe kama uko ivyo uache
Hizo tamaduni zinaanzia na jamii zinazofanana na jamii za pwani. Mambo ya viabarazani, umbeaWanaume wa Dar na Dodoma ndo mambo yao haya ni bora ukatize kwenye kundi la wadada kuliko vijana/wanaume ..sijui tunaelekea wapi
Monetary doctor nasikia unakoishi hakuna watu kama hawa ehh ahh.Muda mwingi niko home kuna mafundi wanaendelea na ujenzi tangu july nimegundua kitu
Hawa jamaa ni wanaume lakini wanavyongelea maisha ya watu wananishangaza
Muda mwingine niko ndani hawajui kama niko ni mwendo wa umbeya. hadi mimi humo ndani najadiliwa
Kidogo watamix na story za mpira ila mazungumzo 85% ni maisha ya watu tena private life kabsa
Utaskia unamjua yule bwana ee naskia alikopa hela eee halafu yule ee hizi gari naskia ni mikopo ee
halafu yule ee anasumbuliwa na presha aah aah eeh iv yule ni kabila gan ahh kumbe aiseee mke wake ehh ahh ivi na yule ni mtoto wake eeh ahh na blah blah kama hizo .