Tupunguze desturi ya kuongelea maisha ya watu

Umbea mbaya sana,kwanza mtu binafsi we mwenyewe una mambo mengi yanakuzonga, hivi utamwongelea mtu mwingine Ili upate nini,ufaidike na nini!!,huko nikupoteza wako tu,
 
According to plato;
Low mind: Discuss about people
Average mind: Discuss about event
Great mind: Discuss about idea
 
Na wao walikuwa wanasema tabia mbaya za watu.
Embu soma mada tena uone mfano wa kinachosemwa na mtoa mada..
Cha mwisho acha hizo mambo maana masengenyo ni dhambi maana umeweka ngao kabisa kutetea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…