Tusahau kuindoa CCM kupitia ballot box

Tusahau kuindoa CCM kupitia ballot box

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Unjani sabuwona
Kwa hali niliyoiona jana pale Dodoma kamwe ccm haiwezi kutokana madaraka kwa kutumia ballot box hawa watu wamejipanga kweli kweli kila kitu ni Chao.

Hapa nielewe sijamaanisha itumike violence hapana let make sure that katiba mpya inapatikana soon as possible ili mambo yasiaribike .

Kila kitu kipo kwao polisi ni wao, mahakamani ni wao, timu za mpira wa miguu ni wao and each and everything ni wao this is too much wakuu.

CCM wamehodhi kila kitu mambo yote ni wao vijana wengi vyuoni katika vijana kumi 8 ni ccm mmoja hana chama na mmoja ni upinzani CHADEMA au Act.

Wapinzani mtoke humu mitandaoni sio kupiga kelele mitandaoni fikiria mwananchi wa chini kabisa huko maganzo au nanjilinji ndani ndani huko haijui twitter wala jamiiForum yeye au wao hauwezi kuwaambia chochote kuhusu ccm, ccm ni wao na wo ni ccm.

Nchi haiongozwi kwa kutumia space au club house tu tujitokeze barabarani kutaka katiba mpya.

Join with me kwa maandamano ya amani mpaka ikulu siku ya jumamosi kushinikizwa kwa katiba mpya. Maandamano yataanzia posta kwenye mnara wa askari mpaka magogoni ikulu. Kula, kunywa na matibabu ni juu yangu.

Shalom.
 
Unjani sabuwona
Kwa hali niliyoiona jana pale Dodoma kamwe ccm haiwezi kutokana madaraka kwa kutumia ballot box hawa watu wamejipanga kweli kweli kila kitu ni Chao.

Hapa nielewe sijamaanisha itumike violence hapana let make sure that katiba mpya inapatikana soon as possible ili mambo yasiaribike .

Kila kitu kipo kwao polisi ni wao, mahakamani ni wao, timu za mpira wa miguu ni wao and each and everything ni wao this is too much wakuu.

CCM wamehodhi kila kitu mambo yote ni wao vijana wengi vyuoni katika vijana kumi 8 ni ccm mmoja hana chama na mmoja ni upinzani CHADEMA au Act.

Wapinzani mtoke humu mitandaoni sio kupiga kelele mitandaoni fikiria mwananchi wa chini kabisa huko maganzo au nanjilinji ndani ndani huko haijui twitter wala jamiiForum yeye au wao hauwezi kuwaambia chochote kuhusu ccm, ccm ni wao na wo ni ccm.

Nchi haiongozwi kwa kutumia space au club house tu tujitokeze barabarani kutaka katiba mpya.

Join with me kwa maandamano ya amani mpaka ikulu siku ya jumamosi kushinikizwa kwa katiba mpya. Maandamano yataanzia posta kwenye mnara wa askari mpaka magogoni ikulu. Kula, kunywa na matibabu ni juu yangu.

Shalom.
Hapa nielewe sijamaanisha itumike violence hapana let make sure that katiba mpya inapatikana soon as possible ili mambo yasiaribike .
[emoji1752][emoji1545]
 
1. CCM haiwezi kutoka madarakani kwa sanduku la kura.

2. CCM haiwezi kuleta katiba mpya itakayo watoa wao madarakani au kuwa punguzia nguvu waliyo nayo.

Haya ni mambo makuu mawili Chama Cha Mapinduzi [ CCM ] hakiwezi kufanya kwa sasa au hata baadae.

Tanzania ita kombolewa na Watanzania wenyewe watao kuwa wamejitambua , mpaka sasa Watanzania bado hawaja jitambua hawaja jua nini wanataka na kwa namna gani wanaweza kupata kile wanacho taka.
 
1. CCM haiwezi kutoka madarakani kwa sanduku la kura.

2. CCM haiwezi kuleta katiba mpya itakayo watoa wao madarakani au kuwa punguzia nguvu waliyo nayo.

Haya ni mambo makuu mawili Chama Cha Mapinduzi [ CCM ] hakiwezi kufanya kwa sasa au hata baadae.

Tanzania ita kombolewa na Watanzania wenyewe watao kuwa wamejitambua , mpaka sasa Watanzania bado hawaja jitambua hawaja jua nini wanataka na kwa namna gani wanaweza kupata kile wanacho taka.
Sahihi
 
1. CCM haiwezi kutoka madarakani kwa sanduku la kura.

2. CCM haiwezi kuleta katiba mpya itakayo watoa wao madarakani au kuwa punguzia nguvu waliyo nayo.

Haya ni mambo makuu mawili Chama Cha Mapinduzi [ CCM ] hakiwezi kufanya kwa sasa au hata baadae.

Tanzania ita kombolewa na Watanzania wenyewe watao kuwa wamejitambua , mpaka sasa Watanzania bado hawaja jitambua hawaja jua nini wanataka na kwa namna gani wanaweza kupata kile wanacho taka.
Tanzania ilishakombolewa tangu 1961. Ukombozi gani unautaka tena!?
 
Unjani sabuwona
Kwa hali niliyoiona jana pale Dodoma kamwe ccm haiwezi kutokana madaraka kwa kutumia ballot box hawa watu wamejipanga kweli kweli kila kitu ni Chao.

Hapa nielewe sijamaanisha itumike violence hapana let make sure that katiba mpya inapatikana soon as possible ili mambo yasiaribike .

Kila kitu kipo kwao polisi ni wao, mahakamani ni wao, timu za mpira wa miguu ni wao and each and everything ni wao this is too much wakuu.

CCM wamehodhi kila kitu mambo yote ni wao vijana wengi vyuoni katika vijana kumi 8 ni ccm mmoja hana chama na mmoja ni upinzani CHADEMA au Act.

Wapinzani mtoke humu mitandaoni sio kupiga kelele mitandaoni fikiria mwananchi wa chini kabisa huko maganzo au nanjilinji ndani ndani huko haijui twitter wala jamiiForum yeye au wao hauwezi kuwaambia chochote kuhusu ccm, ccm ni wao na wo ni ccm.

Nchi haiongozwi kwa kutumia space au club house tu tujitokeze barabarani kutaka katiba mpya.

Join with me kwa maandamano ya amani mpaka ikulu siku ya jumamosi kushinikizwa kwa katiba mpya. Maandamano yataanzia posta kwenye mnara wa askari mpaka magogoni ikulu. Kula, kunywa na matibabu ni juu yangu.

Shalom.
Vijana walioko Vyuo ni waganga njaa na wanacheza kamari ya pata potea. Uhalisia uko mtaani ambako vijana ndiyo wengi kuliko hao waliopo vyuoni.
 
Tanzania ilishakombolewa tangu 1961. Ukombozi gani unautaka tena!?

..Ndio na hapana.

..Tulitoka ktk makucha ya Waingereza, tukaingia ktk makucha ya Tanu na sasa Ccm.

..Kuna hoja kwamba Waingereza walikuwa na utu dhidi ya Tanu, ukilinganisha na unyama na ukatili wa Ccm dhidi ya vyama vya upinzani.

..Kwa mfano, hatujawahi kusikia wana Tanu wamepigwa na kujeruhiwa na Polisi wa Muingereza. Sasa linganisha na matukio ya kikatili ya Polisi wa Ccm dhidi ya wapinzani.
 
..Ndio na hapana.

..Tulitoka ktk makucha ya Waingereza, tukaingia ktk makucha ya Tanu na sasa Ccm.

..Kuna hoja kwamba Waingereza walikuwa na utu dhidi ya Tanu, ukilinganisha na unyama na ukatili wa Ccm dhidi ya vyama vya upinzani.

..Kwa mfano, hatujawahi kusikia wana Tanu wamepigwa na kujeruhiwa na Polisi wa Muingereza. Sasa linganisha na matukio ya kikatili ya Polisi wa Ccm dhidi ya wapinzani.
TANU ilikaa miaka mingapi chini ya utawala wa wakoloni!?
 
Tanzania ilishakombolewa tangu 1961. Ukombozi gani unautaka tena!?

Hata Afrika kusini ilipata uhuru 1930, lakini akina Mandela walipambana dhidi ya makaburu kutoka kwenye ubaguzi wa rangi.

Bila machafuko sioni chochote kubadilika. Hizi porojo za amani ili tuendelee kutawaliwa kwa shuruti ni kupoteza muda.
 
Back
Top Bottom