Tusaidiane kuwainua single mothers kutokana na madhira wanayopitia

Tusaidiane kuwainua single mothers kutokana na madhira wanayopitia

Na vipi wanaume walio wazazlisha hao wasio stahili huruma, je jamii haipaswa ama hawapaswi kuwajibika kwa watoto wao??
Nadhani hata kisheria kuna utaratibu maalumu wa kuwawajibisha hao wanaume.....

Kama ni mume mtalaka basi upo utaratibu wa lazima wa Baba kuwahudumia watoto wake ikiwa khiyari imeshindikana na kama alibakwa basi utaratibu wa kisheria upo wa kuwawajibisha watendaji wa uovu huo.....
 
Hamna kuwasakdia wacha wajifunze kwa kuonja joto la jiwe kwanza inapaswa tuwatenge kabisa na ikisezekana tuwaue ili wengine wasirudie huo ujinga.
Hapa dawa ni mwendo wa kitaliban tuu
kwenye kuwatenga na kuwauwa tuanze na mashoga kwanza, Heri singomaza kuliko shoga aisee.

Singo mazaz kwenye matumizi ya ndoa ni changamoto, ila kwa matumizi mengine wanafaa
 
Single mother anayestahili heshima ni yule ambaye aliolewa na kuachana na mumewe au aliyebakwa....wote hawastahili huruma maana wanatakiwa kuwajibika kwa matendo yao
Big no!

Aliachana na mumewe kwa sababu gani?alete ujinga wa 50/50 ndani ya nyumba kutunishiana kifua na mumewe aachike leo tumpe heshima?angalao aliyebakwa japo nae tutazingatia alibakwaje,mjane peke yake ndiye anastahili heshima zote hao wengine magarasa tu.
 
Back
Top Bottom