The introvert
JF-Expert Member
- Sep 15, 2023
- 701
- 1,522
- Thread starter
- #21
Unataka kumaanisha nini mkuuKuna singo mama hapa jirani yangu, Kila mwanae anaponiona kanafurahi sana! Sometimes Asubuhi kanakuja kunigingea mlango wakati sijaamka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kumaanisha nini mkuuKuna singo mama hapa jirani yangu, Kila mwanae anaponiona kanafurahi sana! Sometimes Asubuhi kanakuja kunigingea mlango wakati sijaamka
😂 Dah#1&5 in really life ilibidi ziende kwa pamoja kwamba wapewe nafasi ya pili lakini pia wapewe maneno ya faraja kutoka kwa wapendwa wao.
Sasa wewe leo ukitaka kujimaliza beba singo mama weka ndani mlishe anenepe apendeze then subiri balaa lake.
Upo sahihi kabisa.Ila 50% kati yao waliyataka kwa kukataa ama kudharau ushauri
Umenena vyema kabisa.Ukimuona singo mama, I'm sure patakua na singo baba pia... sema jamii imewasahau
Na vipi wanaume walio wazazlisha hao wasio stahili huruma, je jamii haipaswa ama hawapaswi kuwajibika kwa watoto wao??Single mother anayestahili heshima ni yule ambaye aliolewa na kuachana na mumewe au aliyebakwa....wote hawastahili huruma maana wanatakiwa kuwajibika kwa matendo yao
Wanaume wengi hatujui kutofautisha upendo na huruma.Mwanamke ukimuhurumia utakujaga kuhurumiwa wew
Nadhani hata kisheria kuna utaratibu maalumu wa kuwawajibisha hao wanaume.....Na vipi wanaume walio wazazlisha hao wasio stahili huruma, je jamii haipaswa ama hawapaswi kuwajibika kwa watoto wao??
Tuongee na mabinti zetu, tuwaombeeUzi huu unakuhitaji sana madam
Kabisa sie madomo zege tunapatta pakukojoleaMsiwasemee vibaya jamani wanasaidia wanaume wale midomo mizito 🤣🤣🤣🤣
Tafuta hela uwe na gari Forester mabinti wabichi wapo tu wengi 😁😁Kabisa sie madomo zege tunapatta pakukojolea
kwenye kuwatenga na kuwauwa tuanze na mashoga kwanza, Heri singomaza kuliko shoga aisee.Hamna kuwasakdia wacha wajifunze kwa kuonja joto la jiwe kwanza inapaswa tuwatenge kabisa na ikisezekana tuwaue ili wengine wasirudie huo ujinga.
Hapa dawa ni mwendo wa kitaliban tuu
Big no!Single mother anayestahili heshima ni yule ambaye aliolewa na kuachana na mumewe au aliyebakwa....wote hawastahili huruma maana wanatakiwa kuwajibika kwa matendo yao
Forester yote ya nini?Tafuta hela uwe na gari Forester mabinti wabichi wapo tu wengi 😁😁
Basi tuwaue wote...kwenye kuwatenga na kuwauwa tuanze na mashoga kwanza, Heri singomaza kuliko shoga aisee.
Singo mazaz kwenye matumizi ya ndoa ni changamoto, ila kwa matumizi mengine wanafaa
kwenye kuua labda tuanze na aliyemwagia ndani huyo ndiye mkorofiBasi tuwaue wote...