Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 1,198
- 2,695
Huogopi Uti 😄😄😄Forester yote ya nini?
Mie boxer yangu tuu hapa nakula watoto wa form 4 B na wake za watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huogopi Uti 😄😄😄Forester yote ya nini?
Mie boxer yangu tuu hapa nakula watoto wa form 4 B na wake za watu
Muogopa magonjwa sio mtombajiiiiiHuogopi Uti 😄😄😄
Nakubaliana nawe wote kidume na mwanamke wote tuwaue ndio watau wataelewa tupo seriouskwenye kuua labda tuanze na aliyemwagia ndani huyo ndiye mkorofi
Mimi singo mazas nawaheshimu na kuwapendabsana na nipo tayari kuwapa sapoti yangu,yupo mmoja ana watoto 2 wanasoma na kila kitu anahudimia yeye,ni rafiki yangu na tunasaidiana sana,kila nachoweza kumpa nampa kwa furaha kabisa na hakika ananipa vizuri mno hatujawahi kugombana mwaka wa 5 sasaTusaidiane Kuwainua Single Mothers! 💪🌟
Katika jamii zetu, kuna wimbi kubwa limeongezeka la single mothers kukumbana na changamoto nyingi mbalimbali katika jamii, changamoto hizo ni kama vile kutengwa, kudharauliwa, hukumu zisizo za haki, na ukosefu wa msaada wa kihisia au kiuchumi. Lakini je, sisi kama jamii tunaweza kufanya nini kuwasaidia?
1️⃣ Tuwape Moyo na Heshima
Inabidi tujue kuwa Single mothers ni mashujaa wanaofanya kazi mara mbili ili kuhakikisha watoto wao wanapata maisha bora , watoto ambao ni binadamu ambao wana haki pia ya kupata mahitaji muhimu na kuwa na maisha mazuri hivyo basi badala ya kuwahukumu, tuwape maneno ya faraja na heshima.
2️⃣ Kutoa Msaada wa Kivitendo
Msaada wa Kazi na Biashara: Tunaweza kuwapa mafunzo ya ujasiriamali, fursa za mitaji midogo, au nafasi za ajira zinazowiana na ratiba zao za kulea watoto.
Elimu na Mafunzo: Tunaweza kuwasaidia kina mama hawa kupata elimu au ujuzi wa kitaalamu ili kuboresha maisha yao.
3️⃣ Kuongeza Uelewa Kupitia Elimu
Tunaweza kuhamasisha jamii kupitia semina, mikutano, au hata mazungumzo ya kawaida kuhusu umuhimu wa kushirikiana badala ya kuwatenga.
4️⃣ Kujitolea kwa Vikundi vya Msaada
Ungana na vikundi vinavyolenga kusaidia kina mama wasio na waume kwa kuwapa mafunzo ya ujasiriamali, ushauri nasaha, au hata msaada wa kifedha.
5️⃣ Kuwapa Nafasi ya Pili
Kila mtu ana nafasi ya kujifunza na kuanza upya. Tuwe sehemu ya kuwainua badala ya kuwa sehemu ya changamoto zao.
6⃣ Kubadilisha Mtazamo wa Jamii
Kukomesha Unyanyapaa: Wajibu wetu ni kukemea unyanyapaa wa wazi au wa siri kwa kina mama hawa. Tunapaswa kuelewa kuwa kila mtu ana hadithi tofauti ya maisha yake.
Kila hatua ndogo tunayochukua inaweza kuleta mabadiliko makubwa. ❤️
Je, una mawazo mengine ya kuwasaidia kina mama hawa mashujaa? Tuambie maoni yako hapa chini!
#SupportSingleMothers #CommunityLove #UpliftWomen
Ndoa ina mambo mengi huwezi kujua......Big no!
Aliachana na mumewe kwa sababu gani?alete ujinga wa 50/50 ndani ya nyumba kutunishiana kifua na mumewe aachike leo tumpe heshima?angalao aliyebakwa japo nae tutazingatia alibakwaje,mjane peke yake ndiye anastahili heshima zote hao wengine magarasa tu.
Tusaidiane Kuwainua Single Mothers! 💪🌟
Katika jamii zetu, kuna wimbi kubwa limeongezeka la single mothers kukumbana na changamoto nyingi mbalimbali katika jamii, changamoto hizo ni kama vile kutengwa, kudharauliwa, hukumu zisizo za haki, na ukosefu wa msaada wa kihisia au kiuchumi. Lakini je, sisi kama jamii tunaweza kufanya nini kuwasaidia?
1️⃣ Tuwape Moyo na Heshima
Inabidi tujue kuwa Single mothers ni mashujaa wanaofanya kazi mara mbili ili kuhakikisha watoto wao wanapata maisha bora , watoto ambao ni binadamu ambao wana haki pia ya kupata mahitaji muhimu na kuwa na maisha mazuri hivyo basi badala ya kuwahukumu, tuwape maneno ya faraja na heshima.
2️⃣ Kutoa Msaada wa Kivitendo
Msaada wa Kazi na Biashara: Tunaweza kuwapa mafunzo ya ujasiriamali, fursa za mitaji midogo, au nafasi za ajira zinazowiana na ratiba zao za kulea watoto.
Elimu na Mafunzo: Tunaweza kuwasaidia kina mama hawa kupata elimu au ujuzi wa kitaalamu ili kuboresha maisha yao.
3️⃣ Kuongeza Uelewa Kupitia Elimu
Tunaweza kuhamasisha jamii kupitia semina, mikutano, au hata mazungumzo ya kawaida kuhusu umuhimu wa kushirikiana badala ya kuwatenga.
4️⃣ Kujitolea kwa Vikundi vya Msaada
Ungana na vikundi vinavyolenga kusaidia kina mama wasio na waume kwa kuwapa mafunzo ya ujasiriamali, ushauri nasaha, au hata msaada wa kifedha.
5️⃣ Kuwapa Nafasi ya Pili
Kila mtu ana nafasi ya kujifunza na kuanza upya. Tuwe sehemu ya kuwainua badala ya kuwa sehemu ya changamoto zao.
6⃣ Kubadilisha Mtazamo wa Jamii
Kukomesha Unyanyapaa: Wajibu wetu ni kukemea unyanyapaa wa wazi au wa siri kwa kina mama hawa. Tunapaswa kuelewa kuwa kila mtu ana hadithi tofauti ya maisha yake.
Kila hatua ndogo tunayochukua inaweza kuleta mabadiliko makubwa. ❤️
Je, una mawazo mengine ya kuwasaidia kina mama hawa mashujaa? Tuambie maoni yako hapa chini!
#SupportSingleMothers #CommunityLove #UpliftWomen
Asilimia 90 (90%) ya single maza walitaka wenyewe na wamependa wenyewe kuwa hivyo kwa kung'ang'ania usawa na wanaume. Ila hawa 10% wanaume ndiyo tulaumiwe japo msimamo ni ule ule usimuonee mwanamke huruma isipo kuwa mama yako na wale uliozaliwa nao tumbo moja.Tusaidiane Kuwainua Single Mothers! 💪🌟
Katika jamii zetu, kuna wimbi kubwa limeongezeka la single mothers kukumbana na changamoto nyingi mbalimbali katika jamii, changamoto hizo ni kama vile kutengwa, kudharauliwa, hukumu zisizo za haki, na ukosefu wa msaada wa kihisia au kiuchumi. Lakini je, sisi kama jamii tunaweza kufanya nini kuwasaidia?
1️⃣ Tuwape Moyo na Heshima
Inabidi tujue kuwa Single mothers ni mashujaa wanaofanya kazi mara mbili ili kuhakikisha watoto wao wanapata maisha bora , watoto ambao ni binadamu ambao wana haki pia ya kupata mahitaji muhimu na kuwa na maisha mazuri hivyo basi badala ya kuwahukumu, tuwape maneno ya faraja na heshima.
2️⃣ Kutoa Msaada wa Kivitendo
Msaada wa Kazi na Biashara: Tunaweza kuwapa mafunzo ya ujasiriamali, fursa za mitaji midogo, au nafasi za ajira zinazowiana na ratiba zao za kulea watoto.
Elimu na Mafunzo: Tunaweza kuwasaidia kina mama hawa kupata elimu au ujuzi wa kitaalamu ili kuboresha maisha yao.
3️⃣ Kuongeza Uelewa Kupitia Elimu
Tunaweza kuhamasisha jamii kupitia semina, mikutano, au hata mazungumzo ya kawaida kuhusu umuhimu wa kushirikiana badala ya kuwatenga.
4️⃣ Kujitolea kwa Vikundi vya Msaada
Ungana na vikundi vinavyolenga kusaidia kina mama wasio na waume kwa kuwapa mafunzo ya ujasiriamali, ushauri nasaha, au hata msaada wa kifedha.
5️⃣ Kuwapa Nafasi ya Pili
Kila mtu ana nafasi ya kujifunza na kuanza upya. Tuwe sehemu ya kuwainua badala ya kuwa sehemu ya changamoto zao.
6⃣ Kubadilisha Mtazamo wa Jamii
Kukomesha Unyanyapaa: Wajibu wetu ni kukemea unyanyapaa wa wazi au wa siri kwa kina mama hawa. Tunapaswa kuelewa kuwa kila mtu ana hadithi tofauti ya maisha yake.
Kila hatua ndogo tunayochukua inaweza kuleta mabadiliko makubwa. ❤️
Je, una mawazo mengine ya kuwasaidia kina mama hawa mashujaa? Tuambie maoni yako hapa chini!
#SupportSingleMothers #CommunityLove #UpliftWomen
Mwanamke ni kiumbe hatari zaidi dunianiWanaume wengi hatujui kutofautisha upendo na huruma.
Kuna mwanaume anaweza akaishi na mwanamke kwasababu tu anamhurumia, lakini ukiangalia kwa jicho pana utagundua hakuna upendo zaidi ya huruma tu.
Mfano hai mzuri , hiki ndicho kinachotakiwaMimi singo mazas nawaheshimu na kuwapendabsana na nipo tayari kuwapa sapoti yangu,yupo mmoja ana watoto 2 wanasoma na kila kitu anahudimia yeye,ni rafiki yangu na tunasaidiana sana,kila nachoweza kumpa nampa kwa furaha kabisa na hakika ananipa vizuri mno hatujawahi kugombana mwaka wa 5 sasa
Umewasahau waliofiwa na baba mtoto/watotoSingle mother anayestahili heshima ni yule ambaye aliolewa na kuachana na mumewe au aliyebakwa....wote hawastahili huruma maana wanatakiwa kuwajibika kwa matendo yao
Asante kwa kunikumbusha ndugu....tena hao ndio muhimu sana na wanatakiwa kuolewa mara moja.....Umewasahau waliofiwa na baba mtoto/watoto