Kwahiyo upo single, nikaribie pm tuyajengeHapana
miaka yako pleaseBinafsi, Sababu zilizopelekea kuwa single ni..
1. Muda bado tu wa kukutana na mke wangu ila najua yupo na ipo siku nitakutana nae.
2. Pesa. Sina mtonyo wa kusema niwaze kufunga ndoa kwa sasa. unaishi nyumba ya kupanga alafu unataka ufunge harusi na huna hata kiwanja huo ni ufala.
3. Wanawake wenye sifa ninazo zitaka ni wachache sana, hata siwaoni huku nilipo.
Kikubwa kiu ikizid naruka na Yeyote. fullstop
kivipi kwa hiyo mwanamke anayeomba pesa hatunzwi vizuriUkiona mtu anadai pesa pesa huyo hana matunzo ni fucking dudu[emoji14][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli kabisa kipenzi umeongea point yote uyasemayo ni kweli kabisaShida ni hali ngumu waliyonayo nje ya Jf
Pia wengi wana wake zao usiwaone kushinda humu kutwa
Mnahali ngumu sana sana
Hapana Kwa sababu zilizonje ya uwezo wanguKwahiyo upo single, nikaribie pm tuyajenge
Basi ngoja nimsubirie mwenye sababu zilizo ndani ya uwezo wakeHapana Kwa sababu zilizonje ya uwezo wangu
ππππππ Pole mwaya ndio maisha lakini kila mtu Mungu kampangia awe na mtu Fulani atakuletea mke mwema na mtaishi Kwa furaha na Mimi niombee hivyonimekaa kutafuta watu humu serious tokea 2019 na bado hampo serious pole Kwa Hili sinachakufanyaBasi ngoja nimsubirie mwenye sababu zilizo ndani ya uwezo wake
Sawaa, nawe endelea kuwa mvumilivu, Mungu anakuandalia kilicho bora.ππππππ Pole mwaya ndio maisha lakini kila mtu Mungu kampangia awe na mtu Fulani atakuletea mke mwema na mtaishi Kwa furaha na Mimi niombee hivyonimekaa kutafuta watu humu serious tokea 2019 na bado hampo serious pole Kwa Hili sinachakufanya