Tusaidianeni kwa hili

miaka yako please

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida ni hali ngumu waliyonayo nje ya Jf
Pia wengi wana wake zao usiwaone kushinda humu kutwa
 
Basi ngoja nimsubirie mwenye sababu zilizo ndani ya uwezo wake
😁😁😁😁😁😁 Pole mwaya ndio maisha lakini kila mtu Mungu kampangia awe na mtu Fulani atakuletea mke mwema na mtaishi Kwa furaha na Mimi niombee hivyonimekaa kutafuta watu humu serious tokea 2019 na bado hampo serious pole Kwa Hili sinachakufanya
 
Sawaa, nawe endelea kuwa mvumilivu, Mungu anakuandalia kilicho bora.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…