Tusaidianeni kwa hili

Tusaidianeni kwa hili

ukiona mtu anatafta mpenzi mtandaoni bas ni kumalizana nyege huwez pata mtu unaemtaka.

wakaza mafuvilu lazima watanioinga ila kupata mwenza ni process ambayo inahitaji mungu na umakini
Ni kweli ila zama humu humu wako yupo ukiamini mungu atakusaidia
 
Binafsi, Sababu zilizopelekea kuwa single ni..
1. Muda bado tu wa kukutana na mke wangu ila najua yupo na ipo siku nitakutana nae.

2. Pesa. Sina mtonyo wa kusema niwaze kufunga ndoa kwa sasa. unaishi nyumba ya kupanga alafu unataka ufunge harusi na huna hata kiwanja huo ni ufala.

3. Wanawake wenye sifa ninazo zitaka ni wachache sana, hata siwaoni huku nilipo.

Kikubwa kiu ikizid naruka na Yeyote. fullstop
 
Tatizo lilopo hata wadada nao wanataka watu ambao wenye sifa hizi fanancial stable,Wenye mavog,pesa ndo maana hata kama ukimfuata pm mwengine atakujibu kwa dharau wapo ambao hawakujibu ila ujumbe kasoma na jibu harudishi hivyo upendo wa kweli haupo saivi kupata mtu kuanzia 0 ngumu kila mtu anataka aliyestable financial.Ni hayo tu.
Ni changamoto kubwa sana, wengi wanakuja stuka wamezalishwa na wahuni ambao tayari wanafamilia
 
Binafsi, Sababu zilizopelekea kuwa single ni..
1. Muda bado tu wa kukutana na mke wangu ila najua yupo na ipo siku nitakutana nae.

2. Pesa. Sina mtonyo wa kusema niwaze kufunga ndoa kwa sasa. unaishi nyumba ya kupanga alafu unataka ufunge harusi na huna hata kiwanja huo ni ufala.

3. Wanawake wenye sifa ninazo zitaka ni wachache sana, hata siwaoni huku nilipo.

Kikubwa kiu ikizid naruka na Yeyote. fullstop
Huo nod ukweli
 
Back
Top Bottom