92 jerrie
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 7,273
- 16,705
hujajua hiyo picha ni editing nyege zitakupoteza vibaya sanaMwenye muonekano huu, njoo haraka nikuoe mwezi huu, kabla mwaka haujaisha.
View attachment 2405931
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hujajua hiyo picha ni editing nyege zitakupoteza vibaya sanaMwenye muonekano huu, njoo haraka nikuoe mwezi huu, kabla mwaka haujaisha.
View attachment 2405931
mie Chaputa , sioihuoi tatizo nini.
Ni kweli ila zama humu humu wako yupo ukiamini mungu atakusaidiaukiona mtu anatafta mpenzi mtandaoni bas ni kumalizana nyege huwez pata mtu unaemtaka.
wakaza mafuvilu lazima watanioinga ila kupata mwenza ni process ambayo inahitaji mungu na umakini
Akiwa na umbo la namna hiyo, itakuwa safi sanahujajua hiyo picha ni editing nyege zitakupoteza vibaya sana
Ni changamoto kubwa sana, wengi wanakuja stuka wamezalishwa na wahuni ambao tayari wanafamiliaTatizo lilopo hata wadada nao wanataka watu ambao wenye sifa hizi fanancial stable,Wenye mavog,pesa ndo maana hata kama ukimfuata pm mwengine atakujibu kwa dharau wapo ambao hawakujibu ila ujumbe kasoma na jibu harudishi hivyo upendo wa kweli haupo saivi kupata mtu kuanzia 0 ngumu kila mtu anataka aliyestable financial.Ni hayo tu.
Sio kosa au vibaya kutamani ndoaKhe mbona umeuliza ghafla sana unatamani ndoa eeh??
Sio vibaya lakin kutamani kukizidi unaweza ukaaangukia pasipofaa ndoa ni jambo la kuomba Mungu akuongoze kwanza then ndo yafate matamanio ya nafsi YakoSio kosa au vibaya kutamani ndoa
Umeona eeehNi changamoto kubwa sana, wengi wanakuja stuka wamezalishwa na wahuni ambao tayari wanafamilia
Huo nod ukweliBinafsi, Sababu zilizopelekea kuwa single ni..
1. Muda bado tu wa kukutana na mke wangu ila najua yupo na ipo siku nitakutana nae.
2. Pesa. Sina mtonyo wa kusema niwaze kufunga ndoa kwa sasa. unaishi nyumba ya kupanga alafu unataka ufunge harusi na huna hata kiwanja huo ni ufala.
3. Wanawake wenye sifa ninazo zitaka ni wachache sana, hata siwaoni huku nilipo.
Kikubwa kiu ikizid naruka na Yeyote. fullstop
Zikowapi😂Kumbe kuna couples nyingi humu ndani
Hapahapa maoni yenu ni muhimu sanaTuliooa na tuna Michepuko tunacomment wapi[emoji4]
Kwamba hamna ela za kutuoa😂😂Huo nod ukweli
Naku zoom ndani ya dakika 90 nishamaliza game...
Huyo awe single mjuba nikiwa wapi?Mwenye muonekano huu, njoo haraka nikuoe mwezi huu, kabla mwaka haujaisha.
View attachment 2405931