Pre GE2025 Tusaidianeni. Kwanini wabunge wengi wamepata Bachelors na Masters kutoka Open University? Kuna siri gani kwenye hicho chuo?

Pre GE2025 Tusaidianeni. Kwanini wabunge wengi wamepata Bachelors na Masters kutoka Open University? Kuna siri gani kwenye hicho chuo?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Nilikuwa napitia pitia CV za wabunge hapa wakuu.

Hawa ndio wabunge, ambao wana degrees na masters kutokea kwenye hicho chuo cha Open University:

  • Assenga Abubakar Damian – Mbunge wa Kilombero – Bachelor of Arts in Political Science
  • Innocent Bashungwa – Mbunge wa Karagwe – Masters of International Affairs (2016-2020)
  • Oscar Ishengoma Kikoyo – Mbunge wa Muleba Kusini – PhD, Open University
  • Ndaisaba Ruhoro – Mbunge wa Ngara – Masters in Project Management
  • Flaurent Laurent Kyombo – Mbunge wa Nkenge – MBA, Open University
  • Geofrey Mizengo Pinda – Mbunge wa Kavuu – Bachelor's Degree
  • Sebastian Simon Kapufi – Mbunge wa Mpanda – Bachelor's in Law
  • William Lukuvi – Mbunge wa Ismani – Masters in Political Science
  • Davidi Kihenzile – Mbunge wa Mufindi Kusini – LLB
  • Joseph Mkundi – Mbunge wa Ukerewe – MBA
musukuma.png


Hawa ni wachache tu, naamini kuna wengi ambao wamesoma kwenye hicho chuo.

Swali langu ni kwanini wabunge wengi wamepata degrees na masters kwenye hicho chuo?

Ndio kusema kwamba hiki chuo kina hadhi kuliko UDSM au kupata degree hapo ni rahisi?
 
Flexibility, unasoma bila kuharibu ratiba zako zingine.
Unajua msuli yatima wewe?
Unajua kusoma na majukumu?

Flexibility in time to do other things does not ease the complexity of the study, and it might make it worse. Some the go for years beyond normal semester to complete their study. Do not mention that again.
 
Wanesoma Open wakiwa wabunge tayari au kabla? Mfano. Bashungwa inaonesha amesotea hiyo Masters 4 years tofauti na miezi 18 kama zingine.
Kwasababu TCU imeipa Open kibali cha kutoa hizo degree nadhani hakuna shida yoyote.
Ili ufanye tafiti vizuri wewe jiunge Open University ili uone kama kupata degree ni rahisi au degree ya gapo ni nzuri kuliko UDSM kama ulivyosema japo sijajua kwanini umeamua kutaja UDMS kwenye mada yako.
 
Wakuu,

Nilikuwa napitia pitia CV za wabunge hapa wakuu.

Hawa ndio wabunge, ambao wana degrees na masters kutokea kwenye hicho chuo cha Open University:

  • Assenga Abubakar Damian – Mbunge wa Kilombero – Bachelor of Arts in Political Science
  • Innocent Bashungwa – Mbunge wa Karagwe – Masters of International Affairs (2016-2020)
  • Oscar Ishengoma Kikoyo – Mbunge wa Muleba Kusini – PhD, Open University
  • Ndaisaba Ruhoro – Mbunge wa Ngara – Masters in Project Management
  • Flaurent Laurent Kyombo – Mbunge wa Nkenge – MBA, Open University
  • Geofrey Mizengo Pinda – Mbunge wa Kavuu – Bachelor's Degree
  • Sebastian Simon Kapufi – Mbunge wa Mpanda – Bachelor's in Law
  • William Lukuvi – Mbunge wa Ismani – Masters in Political Science
  • Davidi Kihenzile – Mbunge wa Mufindi Kusini – LLB
  • Joseph Mkundi – Mbunge wa Ukerewe – MBA


Hawa ni wachache tu, naamini kuna wengi ambao wamesoma kwenye hicho chuo.

Swali langu ni kwanini wabunge wengi wamepata degrees na masters kwenye hicho chuo?

Ndio kusema kwamba hiki chuo kina hadhi kuliko UDSM au kupata degree hapo ni rahisi?
Una matope kichwani. Shida nini? Ingekuwa hizo degree wanapata toka secondary ambayo haina ithibati ya kutoa hiyo bachelor ndio ulalamike. Ok let say wote hizo bachelor wangezipata udcm au udom so what? Kenge wewe.
 
Hivi elimu za hawa jamaa unazielewaga😂😂 timeline ya miaka miwili mtu katoka diploma adi masters hapo ndo wanaponichoshaga😂 Hyo curriculum yao natamani iwe exposed kwa watu wote tusipoteze muda shule😑
 
Wakuu,

Nilikuwa napitia pitia CV za wabunge hapa wakuu.

Hawa ndio wabunge, ambao wana degrees na masters kutokea kwenye hicho chuo cha Open University:

  • Assenga Abubakar Damian – Mbunge wa Kilombero – Bachelor of Arts in Political Science
  • Innocent Bashungwa – Mbunge wa Karagwe – Masters of International Affairs (2016-2020)
  • Oscar Ishengoma Kikoyo – Mbunge wa Muleba Kusini – PhD, Open University
  • Ndaisaba Ruhoro – Mbunge wa Ngara – Masters in Project Management
  • Flaurent Laurent Kyombo – Mbunge wa Nkenge – MBA, Open University
  • Geofrey Mizengo Pinda – Mbunge wa Kavuu – Bachelor's Degree
  • Sebastian Simon Kapufi – Mbunge wa Mpanda – Bachelor's in Law
  • William Lukuvi – Mbunge wa Ismani – Masters in Political Science
  • Davidi Kihenzile – Mbunge wa Mufindi Kusini – LLB
  • Joseph Mkundi – Mbunge wa Ukerewe – MBA


Hawa ni wachache tu, naamini kuna wengi ambao wamesoma kwenye hicho chuo.

Swali langu ni kwanini wabunge wengi wamepata degrees na masters kwenye hicho chuo?

Ndio kusema kwamba hiki chuo kina hadhi kuliko UDSM au kupata degree hapo ni rahisi?
Kile kiwanda mkuu nguvu zako tu
 
Wakuu,

Nilikuwa napitia pitia CV za wabunge hapa wakuu.

Hawa ndio wabunge, ambao wana degrees na masters kutokea kwenye hicho chuo cha Open University:

  • Assenga Abubakar Damian – Mbunge wa Kilombero – Bachelor of Arts in Political Science
  • Innocent Bashungwa – Mbunge wa Karagwe – Masters of International Affairs (2016-2020)
  • Oscar Ishengoma Kikoyo – Mbunge wa Muleba Kusini – PhD, Open University
  • Ndaisaba Ruhoro – Mbunge wa Ngara – Masters in Project Management
  • Flaurent Laurent Kyombo – Mbunge wa Nkenge – MBA, Open University
  • Geofrey Mizengo Pinda – Mbunge wa Kavuu – Bachelor's Degree
  • Sebastian Simon Kapufi – Mbunge wa Mpanda – Bachelor's in Law
  • William Lukuvi – Mbunge wa Ismani – Masters in Political Science
  • Davidi Kihenzile – Mbunge wa Mufindi Kusini – LLB
  • Joseph Mkundi – Mbunge wa Ukerewe – MBA


Hawa ni wachache tu, naamini kuna wengi ambao wamesoma kwenye hicho chuo.

Swali langu ni kwanini wabunge wengi wamepata degrees na masters kwenye hicho chuo?

Ndio kusema kwamba hiki chuo kina hadhi kuliko UDSM au kupata degree hapo ni rahisi?
Nawaza mitihani wanafanyiaga wapi
 
Wakuu,

Nilikuwa napitia pitia CV za wabunge hapa wakuu.

Hawa ndio wabunge, ambao wana degrees na masters kutokea kwenye hicho chuo cha Open University:

  • Assenga Abubakar Damian – Mbunge wa Kilombero – Bachelor of Arts in Political Science
  • Innocent Bashungwa – Mbunge wa Karagwe – Masters of International Affairs (2016-2020)
  • Oscar Ishengoma Kikoyo – Mbunge wa Muleba Kusini – PhD, Open University
  • Ndaisaba Ruhoro – Mbunge wa Ngara – Masters in Project Management
  • Flaurent Laurent Kyombo – Mbunge wa Nkenge – MBA, Open University
  • Geofrey Mizengo Pinda – Mbunge wa Kavuu – Bachelor's Degree
  • Sebastian Simon Kapufi – Mbunge wa Mpanda – Bachelor's in Law
  • William Lukuvi – Mbunge wa Ismani – Masters in Political Science
  • Davidi Kihenzile – Mbunge wa Mufindi Kusini – LLB
  • Joseph Mkundi – Mbunge wa Ukerewe – MBA


Hawa ni wachache tu, naamini kuna wengi ambao wamesoma kwenye hicho chuo.

Swali langu ni kwanini wabunge wengi wamepata degrees na masters kwenye hicho chuo?

Ndio kusema kwamba hiki chuo kina hadhi kuliko UDSM au kupata degree hapo ni rahisi?
OPEN UNIVERSITY =OPEN CORRUPTION
 
Back
Top Bottom