Pre GE2025 Tusaidianeni. Kwanini wabunge wengi wamepata Bachelors na Masters kutoka Open University? Kuna siri gani kwenye hicho chuo?

Pre GE2025 Tusaidianeni. Kwanini wabunge wengi wamepata Bachelors na Masters kutoka Open University? Kuna siri gani kwenye hicho chuo?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu,

Nilikuwa napitia pitia CV za wabunge hapa wakuu.

Hawa ndio wabunge, ambao wana degrees na masters kutokea kwenye hicho chuo cha Open University:

  • Assenga Abubakar Damian – Mbunge wa Kilombero – Bachelor of Arts in Political Science
  • Innocent Bashungwa – Mbunge wa Karagwe – Masters of International Affairs (2016-2020)
  • Oscar Ishengoma Kikoyo – Mbunge wa Muleba Kusini – PhD, Open University
  • Ndaisaba Ruhoro – Mbunge wa Ngara – Masters in Project Management
  • Flaurent Laurent Kyombo – Mbunge wa Nkenge – MBA, Open University
  • Geofrey Mizengo Pinda – Mbunge wa Kavuu – Bachelor's Degree
  • Sebastian Simon Kapufi – Mbunge wa Mpanda – Bachelor's in Law
  • William Lukuvi – Mbunge wa Ismani – Masters in Political Science
  • Davidi Kihenzile – Mbunge wa Mufindi Kusini – LLB
  • Joseph Mkundi – Mbunge wa Ukerewe – MBA


Hawa ni wachache tu, naamini kuna wengi ambao wamesoma kwenye hicho chuo.

Swali langu ni kwanini wabunge wengi wamepata degrees na masters kwenye hicho chuo?

Ndio kusema kwamba hiki chuo kina hadhi kuliko UDSM au kupata degree hapo ni rahisi?
Hii mada ni muhimu kuliko mada zote niliziwahi kuzisoma Jf🥺

Open university msipolitolea ufafanuzi ni hatari kuliko mnavyofikiria.
 
Mweleweshe usimutukane
  • OUT ni chuo sawa na vyuo vingine;
  • OUT ni chuo chenye ithibati;
  • Course zake ni zingativu sawa na vyuo vingine
Sijawahi sikia mtu ana 1.3 ya VI anaenda Open kusoma Bachelor. Hicho ni chuo cha vilaza aka vibonde
 
Kuna dalili hiki ni kiwanda cha serikal..I cha kutengeneza Degree za wanasiasa na vilaza walioko makaz..in.
 
Kuna dalili hiki ni kiwanda cha serikal..I cha kutengeneza Degree za wanasiasa na vilaza walioko makaz..in.

Nahisi hivi pia.

Huwezi kuta mtu amemaliza form 6 ana division 1 anaenda kusoma hapo Open University.

Kuna kitu kwenye chuo hiki ambacho hatuambiwi
 
Sijawahi sikia mtu ana 1.3 ya VI anaenda Open kusoma Bachelor. Hicho ni chuo cha vilaza aka vibonde
Ndio wenye mawe ya kufa mtu.
Endelea kumeza.Dunia imeshabadilika sana kwa sasa.Pesa fumbua matatizo.
Hawa watoto wao hawata soma hapo..watakuwa ng'ambo na wakija wa atukjata sisi wenye 1.3 ya VI tukipambana na Ajira portal plus udalali na uchawa.
 
Ndio wenye mawe ya kufa mtu.
Endelea kumeza.Dunia imeshabadilika sana kwa sasa.Pesa fumbua matatizo.
Hawa watoto wao hawata soma hapo..watakuwa ng'ambo na wakija wa atukjata sisi wenye 1.3 ya VI tukipambana na Ajira portal plus udalali na uchawa.

Kwa hiyo unasapoti watu kununua degrees just because wako na hela?
 
Masikini mna makasiriko yanayotokana na njaa
Tafutenu hela, acheni kujadili watu waliomalizana na matatizo ya maisha....
Kanunueni na nyinyi hizo masters au hamna hela?
 
Wakuu,

Nilikuwa napitia pitia CV za wabunge hapa wakuu.

Hawa ndio wabunge, ambao wana degrees na masters kutokea kwenye hicho chuo cha Open University:

  • Assenga Abubakar Damian – Mbunge wa Kilombero – Bachelor of Arts in Political Science
  • Innocent Bashungwa – Mbunge wa Karagwe – Masters of International Affairs (2016-2020)
  • Oscar Ishengoma Kikoyo – Mbunge wa Muleba Kusini – PhD, Open University
  • Ndaisaba Ruhoro – Mbunge wa Ngara – Masters in Project Management
  • Flaurent Laurent Kyombo – Mbunge wa Nkenge – MBA, Open University
  • Geofrey Mizengo Pinda – Mbunge wa Kavuu – Bachelor's Degree
  • Sebastian Simon Kapufi – Mbunge wa Mpanda – Bachelor's in Law
  • William Lukuvi – Mbunge wa Ismani – Masters in Political Science
  • Davidi Kihenzile – Mbunge wa Mufindi Kusini – LLB
  • Joseph Mkundi – Mbunge wa Ukerewe – MBA


Hawa ni wachache tu, naamini kuna wengi ambao wamesoma kwenye hicho chuo.

Swali langu ni kwanini wabunge wengi wamepata degrees na masters kwenye hicho chuo?

Ndio kusema kwamba hiki chuo kina hadhi kuliko UDSM au kupata degree hapo ni rahisi?
Kigwangala je???
 
Back
Top Bottom