Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
YapFlexibility, unasoma bila kuharibu ratiba zako zingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YapFlexibility, unasoma bila kuharibu ratiba zako zingine.
Una matope kichwani. Shida nini? Ingekuwa hizo degree wanapata toka secondary ambayo haina ithibati ya kutoa hiyo bachelor ndio ulalamike. Ok let say wote hizo bachelor wangezipata udcm au udom so what? Kenge wewe.
Na makofia kama machupi ya indiaWakuu,
Nilikuwa napitia pitia CV za wabunge hapa wakuu.
Hawa ndio wabunge, ambao wana degrees na masters kutokea kwenye hicho chuo cha Open University:
- Assenga Abubakar Damian – Mbunge wa Kilombero – Bachelor of Arts in Political Science
- Innocent Bashungwa – Mbunge wa Karagwe – Masters of International Affairs (2016-2020)
- Oscar Ishengoma Kikoyo – Mbunge wa Muleba Kusini – PhD, Open University
- Ndaisaba Ruhoro – Mbunge wa Ngara – Masters in Project Management
- Flaurent Laurent Kyombo – Mbunge wa Nkenge – MBA, Open University
- Geofrey Mizengo Pinda – Mbunge wa Kavuu – Bachelor's Degree
- Sebastian Simon Kapufi – Mbunge wa Mpanda – Bachelor's in Law
- William Lukuvi – Mbunge wa Ismani – Masters in Political Science
- Davidi Kihenzile – Mbunge wa Mufindi Kusini – LLB
- Joseph Mkundi – Mbunge wa Ukerewe – MBA
Hawa ni wachache tu, naamini kuna wengi ambao wamesoma kwenye hicho chuo.
Swali langu ni kwanini wabunge wengi wamepata degrees na masters kwenye hicho chuo?
Ndio kusema kwamba hiki chuo kina hadhi kuliko UDSM au kupata degree hapo ni rahisi?
1. Convenient studying of the selected field of specialization at own paceWakuu,
Nilikuwa napitia pitia CV za wabunge hapa wakuu.
Hawa ndio wabunge, ambao wana degrees na masters kutokea kwenye hicho chuo cha Open University:
- Assenga Abubakar Damian – Mbunge wa Kilombero – Bachelor of Arts in Political Science
- Innocent Bashungwa – Mbunge wa Karagwe – Masters of International Affairs (2016-2020)
- Oscar Ishengoma Kikoyo – Mbunge wa Muleba Kusini – PhD, Open University
- Ndaisaba Ruhoro – Mbunge wa Ngara – Masters in Project Management
- Flaurent Laurent Kyombo – Mbunge wa Nkenge – MBA, Open University
- Geofrey Mizengo Pinda – Mbunge wa Kavuu – Bachelor's Degree
- Sebastian Simon Kapufi – Mbunge wa Mpanda – Bachelor's in Law
- William Lukuvi – Mbunge wa Ismani – Masters in Political Science
- Davidi Kihenzile – Mbunge wa Mufindi Kusini – LLB
- Joseph Mkundi – Mbunge wa Ukerewe – MBA
Hawa ni wachache tu, naamini kuna wengi ambao wamesoma kwenye hicho chuo.
Swali langu ni kwanini wabunge wengi wamepata degrees na masters kwenye hicho chuo?
Ndio kusema kwamba hiki chuo kina hadhi kuliko UDSM au kupata degree hapo ni rahisi?
Uzuri wa ubunge ni kwamba unaweza usifanye jukumu lolote la ubunge ukaamua full time kitabu tuu, hata mle bungeni ukaenda na notice zako.Kama ni rahisi kuinunua au kuipata kama ulivyosema hapo juu nenda na wewe kawaambie wakuuzie.
Mnapenda(ga) kuongea ongea tu bila tafiti.
Chizi huyo mtoto,hii nchi ina shida sana huko mbeleUnaelewa maana ya Open University?
By the way money can buy anything.
Yes ... FlexibilityFlexibility, unasoma bila kuharibu ratiba zako zingine.
Hicho ni chuo makini sana kuliko vyuo vyenu vya kulishwa na walimu kama form IV D.Wakuu,
Nilikuwa napitia pitia CV za wabunge hapa wakuu.
Hawa ndio wabunge, ambao wana degrees na masters kutokea kwenye hicho chuo cha Open University:
- Assenga Abubakar Damian – Mbunge wa Kilombero – Bachelor of Arts in Political Science
- Innocent Bashungwa – Mbunge wa Karagwe – Masters of International Affairs (2016-2020)
- Oscar Ishengoma Kikoyo – Mbunge wa Muleba Kusini – PhD, Open University
- Ndaisaba Ruhoro – Mbunge wa Ngara – Masters in Project Management
- Flaurent Laurent Kyombo – Mbunge wa Nkenge – MBA, Open University
- Geofrey Mizengo Pinda – Mbunge wa Kavuu – Bachelor's Degree
- Sebastian Simon Kapufi – Mbunge wa Mpanda – Bachelor's in Law
- William Lukuvi – Mbunge wa Ismani – Masters in Political Science
- Davidi Kihenzile – Mbunge wa Mufindi Kusini – LLB
- Joseph Mkundi – Mbunge wa Ukerewe – MBA
Hawa ni wachache tu, naamini kuna wengi ambao wamesoma kwenye hicho chuo.
Swali langu ni kwanini wabunge wengi wamepata degrees na masters kwenye hicho chuo?
Ndio kusema kwamba hiki chuo kina hadhi kuliko UDSM au kupata degree hapo ni rahisi?
Distance learning ndio faida yake you study with freedom, flexibility and at your own pace. Very convenient for those who are busy and also for slow learners. Open University for customized educationWakuu,
Nilikuwa napitia pitia CV za wabunge hapa wakuu.
Hawa ndio wabunge, ambao wana degrees na masters kutokea kwenye hicho chuo cha Open University:
- Assenga Abubakar Damian – Mbunge wa Kilombero – Bachelor of Arts in Political Science
- Innocent Bashungwa – Mbunge wa Karagwe – Masters of International Affairs (2016-2020)
- Oscar Ishengoma Kikoyo – Mbunge wa Muleba Kusini – PhD, Open University
- Ndaisaba Ruhoro – Mbunge wa Ngara – Masters in Project Management
- Flaurent Laurent Kyombo – Mbunge wa Nkenge – MBA, Open University
- Geofrey Mizengo Pinda – Mbunge wa Kavuu – Bachelor's Degree
- Sebastian Simon Kapufi – Mbunge wa Mpanda – Bachelor's in Law
- William Lukuvi – Mbunge wa Ismani – Masters in Political Science
- Davidi Kihenzile – Mbunge wa Mufindi Kusini – LLB
- Joseph Mkundi – Mbunge wa Ukerewe – MBA
Hawa ni wachache tu, naamini kuna wengi ambao wamesoma kwenye hicho chuo.
Swali langu ni kwanini wabunge wengi wamepata degrees na masters kwenye hicho chuo?
Ndio kusema kwamba hiki chuo kina hadhi kuliko UDSM au kupata degree hapo ni rahisi?
Unakumbuka jinsi watu wa It na wengineo walivyofukuzwa kikiwa chini ya Prof. Mbwete.Hicho ni chuo makini sana kuliko vyuo vyenu vya kulishwa na walimu kama form IV D.
OUT unakomaaa mwenyewe kujitafutia. Nimesoma hapo na niliona ugumu wake, hakuna kudesa OUT
You've attended universities that filled your head with nonsense. Use Swahili to build your argument because you've failed to make sense in English.Unajua msuli yatima wewe?
Unajua kusoma na majukumu?
Flexibility in time to do other things does not easy the complexity of the study, and it might makes it worse. Some the go for years beyond normal semester to complete their study. Do not mention that again.