Pre GE2025 Tusaidianeni. Kwanini wabunge wengi wamepata Bachelors na Masters kutoka Open University? Kuna siri gani kwenye hicho chuo?

Pre GE2025 Tusaidianeni. Kwanini wabunge wengi wamepata Bachelors na Masters kutoka Open University? Kuna siri gani kwenye hicho chuo?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Una matope kichwani. Shida nini? Ingekuwa hizo degree wanapata toka secondary ambayo haina ithibati ya kutoa hiyo bachelor ndio ulalamike. Ok let say wote hizo bachelor wangezipata udcm au udom so what? Kenge wewe.



Kwa umri wako kuandika matusi kama haya mtandaoni ni kukosea heshima wazazi wako.

Hamna mtoto wako humu. Unamfokea nani?
 
Wakuu,

Nilikuwa napitia pitia CV za wabunge hapa wakuu.

Hawa ndio wabunge, ambao wana degrees na masters kutokea kwenye hicho chuo cha Open University:

  • Assenga Abubakar Damian – Mbunge wa Kilombero – Bachelor of Arts in Political Science
  • Innocent Bashungwa – Mbunge wa Karagwe – Masters of International Affairs (2016-2020)
  • Oscar Ishengoma Kikoyo – Mbunge wa Muleba Kusini – PhD, Open University
  • Ndaisaba Ruhoro – Mbunge wa Ngara – Masters in Project Management
  • Flaurent Laurent Kyombo – Mbunge wa Nkenge – MBA, Open University
  • Geofrey Mizengo Pinda – Mbunge wa Kavuu – Bachelor's Degree
  • Sebastian Simon Kapufi – Mbunge wa Mpanda – Bachelor's in Law
  • William Lukuvi – Mbunge wa Ismani – Masters in Political Science
  • Davidi Kihenzile – Mbunge wa Mufindi Kusini – LLB
  • Joseph Mkundi – Mbunge wa Ukerewe – MBA


Hawa ni wachache tu, naamini kuna wengi ambao wamesoma kwenye hicho chuo.

Swali langu ni kwanini wabunge wengi wamepata degrees na masters kwenye hicho chuo?

Ndio kusema kwamba hiki chuo kina hadhi kuliko UDSM au kupata degree hapo ni rahisi?
Na makofia kama machupi ya india
 
Wakuu,

Nilikuwa napitia pitia CV za wabunge hapa wakuu.

Hawa ndio wabunge, ambao wana degrees na masters kutokea kwenye hicho chuo cha Open University:

  • Assenga Abubakar Damian – Mbunge wa Kilombero – Bachelor of Arts in Political Science
  • Innocent Bashungwa – Mbunge wa Karagwe – Masters of International Affairs (2016-2020)
  • Oscar Ishengoma Kikoyo – Mbunge wa Muleba Kusini – PhD, Open University
  • Ndaisaba Ruhoro – Mbunge wa Ngara – Masters in Project Management
  • Flaurent Laurent Kyombo – Mbunge wa Nkenge – MBA, Open University
  • Geofrey Mizengo Pinda – Mbunge wa Kavuu – Bachelor's Degree
  • Sebastian Simon Kapufi – Mbunge wa Mpanda – Bachelor's in Law
  • William Lukuvi – Mbunge wa Ismani – Masters in Political Science
  • Davidi Kihenzile – Mbunge wa Mufindi Kusini – LLB
  • Joseph Mkundi – Mbunge wa Ukerewe – MBA


Hawa ni wachache tu, naamini kuna wengi ambao wamesoma kwenye hicho chuo.

Swali langu ni kwanini wabunge wengi wamepata degrees na masters kwenye hicho chuo?

Ndio kusema kwamba hiki chuo kina hadhi kuliko UDSM au kupata degree hapo ni rahisi?
1. Convenient studying of the selected field of specialization at own pace
2. Study while working and earning a lucrative salary or business
3. No stress and coercion from lecturers
4. Matured age individuals' avenue to acquire soft skills
5. Probably is convenient for someone to study the course through a representative, I guess!!
 
Hapa watu wanamtolea mapovu tu mleta mada lakini kiuhalisia open watu wananunua matokeo/vyeti sana tu na uwezekano wa kutoka empty kabisa kichwani ni mkubwa mno, usicheze na msuli yatima. Si kubovu kwa 100% na Kuna products nzuri tu zinazotoka huko zile zinazojitambua, lakini ni sehemu inayotoa fursa kirahisi kwa wahuni kununua matokeo/vyeti zaidi ukilinganisha na vyuo vingine.

Nina mifano ya wadau wangu kadhaa.

Mfano mmojawapo ni ticha mmoja mdingi ni mtu wa mitungi sana 24/7 kalewa chakari na hana time ya kutulia home, yaani hata asipokunywa yeye yupo tungi alishalewa jumla.

Sasa huyo dingi wakati naanza kumfahamu kumbe alikuwa anachukua bachelor ya education, alikuwa first year. Ajabu hakuwa na PC, simu janja wala njia yoyote ya kupata materials za kujisomea wala huo muda wa kujisomea asingeweza kuwa nao. Hata kufanya mitihani kwa jinsi alivyokuwa sidhani kama alikuwa akienda.

Mzee kala mitungi weeee miaka 3 imeisha analeta cheti ni mabanda matupu na B+ za kuhesabu, ana first class! Tuliposhangaa mzee akasema siwezi kujitesa wala kufeli open university wakati nina hela. Mzee kaendelea na mitungi kapata ajali kaumia kichwani sasa ni kama chizi.
 
📌📌📌Mleta mada kabla hujajibiwa ingefaa uweke hapa CV yako.Yamkini hujui hata maana ya OPEN UNIVERSITY🤝

Majibu mengine lazima uwe na uhakika na akili,elimu na uwezo binafsi wa mtu unayefanya nae mazungumzo.
 
Wakuu,

Nilikuwa napitia pitia CV za wabunge hapa wakuu.

Hawa ndio wabunge, ambao wana degrees na masters kutokea kwenye hicho chuo cha Open University:

  • Assenga Abubakar Damian – Mbunge wa Kilombero – Bachelor of Arts in Political Science
  • Innocent Bashungwa – Mbunge wa Karagwe – Masters of International Affairs (2016-2020)
  • Oscar Ishengoma Kikoyo – Mbunge wa Muleba Kusini – PhD, Open University
  • Ndaisaba Ruhoro – Mbunge wa Ngara – Masters in Project Management
  • Flaurent Laurent Kyombo – Mbunge wa Nkenge – MBA, Open University
  • Geofrey Mizengo Pinda – Mbunge wa Kavuu – Bachelor's Degree
  • Sebastian Simon Kapufi – Mbunge wa Mpanda – Bachelor's in Law
  • William Lukuvi – Mbunge wa Ismani – Masters in Political Science
  • Davidi Kihenzile – Mbunge wa Mufindi Kusini – LLB
  • Joseph Mkundi – Mbunge wa Ukerewe – MBA


Hawa ni wachache tu, naamini kuna wengi ambao wamesoma kwenye hicho chuo.

Swali langu ni kwanini wabunge wengi wamepata degrees na masters kwenye hicho chuo?

Ndio kusema kwamba hiki chuo kina hadhi kuliko UDSM au kupata degree hapo ni rahisi?
Hicho ni chuo makini sana kuliko vyuo vyenu vya kulishwa na walimu kama form IV D.
OUT unakomaaa mwenyewe kujitafutia. Nimesoma hapo na niliona ugumu wake, hakuna kudesa OUT
 
Wakuu,

Nilikuwa napitia pitia CV za wabunge hapa wakuu.

Hawa ndio wabunge, ambao wana degrees na masters kutokea kwenye hicho chuo cha Open University:

  • Assenga Abubakar Damian – Mbunge wa Kilombero – Bachelor of Arts in Political Science
  • Innocent Bashungwa – Mbunge wa Karagwe – Masters of International Affairs (2016-2020)
  • Oscar Ishengoma Kikoyo – Mbunge wa Muleba Kusini – PhD, Open University
  • Ndaisaba Ruhoro – Mbunge wa Ngara – Masters in Project Management
  • Flaurent Laurent Kyombo – Mbunge wa Nkenge – MBA, Open University
  • Geofrey Mizengo Pinda – Mbunge wa Kavuu – Bachelor's Degree
  • Sebastian Simon Kapufi – Mbunge wa Mpanda – Bachelor's in Law
  • William Lukuvi – Mbunge wa Ismani – Masters in Political Science
  • Davidi Kihenzile – Mbunge wa Mufindi Kusini – LLB
  • Joseph Mkundi – Mbunge wa Ukerewe – MBA


Hawa ni wachache tu, naamini kuna wengi ambao wamesoma kwenye hicho chuo.

Swali langu ni kwanini wabunge wengi wamepata degrees na masters kwenye hicho chuo?

Ndio kusema kwamba hiki chuo kina hadhi kuliko UDSM au kupata degree hapo ni rahisi?
Distance learning ndio faida yake you study with freedom, flexibility and at your own pace. Very convenient for those who are busy and also for slow learners. Open University for customized education
 
Siyo wabunge peke yao Hadi mawaziri na rais
Karume alipata degree akiwa rais hasa unajiuliza muda gani alikuwa alisoma na muda gani alikuwa alikuwa alifanya kazi.
 
Hicho ni chuo makini sana kuliko vyuo vyenu vya kulishwa na walimu kama form IV D.
OUT unakomaaa mwenyewe kujitafutia. Nimesoma hapo na niliona ugumu wake, hakuna kudesa OUT
Unakumbuka jinsi watu wa It na wengineo walivyofukuzwa kikiwa chini ya Prof. Mbwete.
 
Elimu kwa sasa ni mtu binafsi, vyuo vyetu vyote vinafanana sana, mchawi ni mwanafunzi mwenyewe. Wanaotaka kwenda UDSM waende, wanaotaka OUT wakapige shule pia.
 
Unajua msuli yatima wewe?
Unajua kusoma na majukumu?

Flexibility in time to do other things does not easy the complexity of the study, and it might makes it worse. Some the go for years beyond normal semester to complete their study. Do not mention that again.
You've attended universities that filled your head with nonsense. Use Swahili to build your argument because you've failed to make sense in English.
 
Back
Top Bottom