ERICKY_TZ255
Member
- Aug 27, 2024
- 49
- 42
Yani kati ya kitu kimoja kikubwa Tanzania imeshindwa kutoa huduma yake kwa angalau hata asilimia 30% ni huduma ya NIDA yani huduma hii imekuwa tatizo kubwa sana kwasababu inaweza pelekea mtu kukosa kuendelea na masomo sababu ya kukosa namba ya NIDA itakayomsaidia mtu aliyemaliza Kidato cha Sita.
Tunaombeni sana sisi Wananchi mtuwezeshee kupata huduma hiyo ndani ya muda mchache mfanye hata tulipie ili turahisishe hili swala. Asanteni.
UKIONA POST HII JARIBU KU-SHARE IFIKE NGAZI ZA JUU ILI TUPATE SULUHISHO MAPEMA 🙏🏻🙏🏻🤝
Tunaombeni sana sisi Wananchi mtuwezeshee kupata huduma hiyo ndani ya muda mchache mfanye hata tulipie ili turahisishe hili swala. Asanteni.
UKIONA POST HII JARIBU KU-SHARE IFIKE NGAZI ZA JUU ILI TUPATE SULUHISHO MAPEMA 🙏🏻🙏🏻🤝