Tusaidieni kupata kadi za NIDA ndani ya muda mfupi

Tusaidieni kupata kadi za NIDA ndani ya muda mfupi

Mwenye Connection nao watusaidie bana tuweze kuwasiliana nao mimi mwaka wa pili unakata toka nimemaliza usajili hata namba sijapewa, nikijalibu kuangalia Online wanasema nihakiki taalifa au nifike ofisi nilizojisajili nikienda kila siku wanasema kuna changamoto ya mtandao😑😂 nashindwa kuelewa inakuwaje.
 
Back
Top Bottom