Tusaidieni kupata kadi za NIDA ndani ya muda mfupi

Namba zao huwa hazipatikani kabisa mimi pia nishajalibu za Goggle
 
Mwenye Connection nao watusaidie bana tuweze kuwasiliana nao mimi mwaka wa pili unakata toka nimemaliza usajili hata namba sijapewa, nikijalibu kuangalia Online wanasema nihakiki taalifa au nifike ofisi nilizojisajili nikienda kila siku wanasema kuna changamoto ya mtandao😑😂 nashindwa kuelewa inakuwaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…