Bongo senior
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 757
- 1,526
Futa tu huu uchafu kwa kweli, unachefua sanaTafadhali na tahadhari. Video ni mbaya
View attachment 2297347
Bro?kama sio gay hii video kwenye simu Yako unaihifadhi ya Nini?na kwanini unaisambaza?au kuna msisimko unaupata ukiangalia jamaa anapewa blowjob? Halafu utajifanya unachukizwa na kitendo hiki kumbe una enjoy. Most of gays walianza kama wewe kwa kuangalia video kama hizi.Tafadhali na tahadhari. Video ni mbaya
View attachment 2297347
Bro?kama sio gay hii video kwenye simu Yako unaihifadhi ya Nini?na kwanini unaisambaza?au kuna msisimko unaupata ukiangalia jamaa anapewa blowjob? Halafu utajifanya unachukizwa na kitendo hiki kumbe una enjoy.View attachment 2297346hii ni screenshot ya moja ya video iliyosambaa ikionesha mazingira ya kanisani lakini kwa pbeni yake wanaume wawili walikuwa wananyonyana uume. Nimeshindwa kuiweka hapa video yenyewe. TATIZO NI KUBWA
Naogopa kuichekiTafadhali na tahadhari. Video ni mbaya
View attachment 2297347
Bro?kama sio gay hii video kwenye simu Yako unaihifadhi ya Nini?na kwanini unaisambaza?au kuna msisimko unaupata ukiangalia jamaa anapewa blowjob? Halafu utajifanya unachukizwa na kitendo hiki kumbe una enjoy. Most of gays walianza kama wewe kwa kuangalia video kama hizi.
Kweli nimekosea kumshambulia,maana hata nikikutana na gays mitaani hua siwashambulii kwanini nimshambulie mleta video Kwa ugay wake. Basi hakupaswa kuisambaza mitandaonk maana hakuna kipya na kama mtu anashida ya kucheki gay videos mtandaoni zimejaa Kwenye porn sitesMbona unashambulia mleta video na amekupa tahadhari video ni mbaya. Mkuu unahasira na ID je tungekua tunajuana humu
Kwanini ufungue na umepewa tahadhari? Lazima kuanika uovu ili kuwaokoa wengine hebu fikiria hapo ni kanisani? Huwezi ficha moto kwa kuufunika na makaratasi. Uozo umeshakuwa mkubwa na lazima ukemewe. Fikiria pembeni ya hilo kanisa kuna shule ya watoto na hao ni walimu wao.. Watoto watakuwa kwenye hali gani? Fikiria jambo hili kwa namna panaBro?kama sio gay hii video kwenye simu Yako unaihifadhi ya Nini?na kwanini unaisambaza?au kuna msisimko unaupata ukiangalia jamaa anapewa blowjob? Halafu utajifanya unachukizwa na kitendo hiki kumbe una enjoy.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahWee jamaa hukutambua yanhia awali ...aisee kweli ktk miti hakuna wajenzi [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji39][emoji39]
Yaan ingekuwa mie ningemzabua mikofi iyo pale pale yaan angeachaha na huo ushoga hapo hapo
kwa mwenekano wake ilikuwa ngumu mtilia shaka awali.Wee jamaa hukutambua yanhia awali ...aisee kweli ktk miti hakuna wajenzi 😆😆😆😆😆😋😋
Yaan ingekuwa mie ningemzabua mikofi iyo pale pale yaan angeachaha na huo ushoga hapo hapo
Weee usiniambie!? [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]View attachment 2297346hii ni screenshot ya moja ya video iliyosambaa ikionesha mazingira ya kanisani lakini kwa pbeni yake wanaume wawili walikuwa wananyonyana uume. Nimeshindwa kuiweka hapa video yenyewe. TATIZO NI KUBWA
Wasalaam JF..!!!
Ni weekend moja baada ya kushinda kutwa nzima nikiwa nyumbani huku muda mwingi nikiutumia kulala baada ya shuhguli ndogo ndogo za home kama mjuavyo weekend.
Imefika mida ya jioni kuanzia saa moja hivi kila nishikacho nakuwa bored.
Nikasema ngoja nisogee mahali nipate mbili tatu, ukizingatia ni weekend. Nikasogea eneo moja kupata mbili tatu huku nikufurahisha macho kuwatazama hawa viumbe waliotoka kwenye ubavu wetu.
Nikiwa naperuzi Jf kupata vimbwanga vya huku, jirani alikuwa jamaa mmoja tu kwa mwonekano huwezi mtilia shaka kivyovyote anaonekana ni mtu anayejitambua.
Nilipokuwa nimefika alikuwa meza ya jirani wala sikuhangaika nae ghafla nikiwa uliwengu wa JF nikashtuliwa upande wangu wa kushoto alipo jamaa kugeuka kanichangamkia na kunisalimia kama vile ananifahamu.
Ucheshi kwa watanzania ni jadi yetu sikushangaa sana nami nikamuitikia kwa bashasha. Kichwani nikijaribu kuvuta kumbukumbu labda namfahamu ukizingatia mimi kiwanja hiko ni mwenyeji kidogo mara moja moja huwa nafika hapo.
Basi baada ya salamu nikaendelea na mambo yangu. Baada ya mbili tatu mbili kukolea mkojo nao ukanishika nikaenda maliwato. Wakati natoka maliwato nikakutana nae njiani akanichangamkia tena. Akaniomba pembeni tuongee kidogo. Akaniomba no ya simu, mwanzo nikampa ya uongo akanibipu ikagoma ikabidi nimpe ya ukweli huku nikimdadisi kujua yy ni nani au ana shida gani.
Then akaonyesha nisitilie shaka. Nikarudi kukaa, baada ya muda nae akarudi ghafla text ikaingia. Akauliza kesho nitakuwa wapi, nikamjibu tu nitakuwa kwenye shuguli zangu. Ukizingatia itakuwa jumatatu. Akauliza sasa tunafanyaje?
Nikajibu kuhusu nini? Akasema nahitaji tuonane kuna ishu. Nikamwambia labda anidokeze ni ishu gani huenda nikarahisha ratiba yangu. Akasema ni ishu ya kikazi. Hapo kwa kiasi kikubwa hofu niliyoanza kuijenga ikapungua. Nikajisemea kwa aina ya shuguli zangu huenda ananifahamu. Nikamjibu sawa kesho jioni nitamcheki.
Kesho yake saa 10 hivi jioni yeye ndiye akawa wa kwanza kunitext salamu then ikfuatiwa na text nyingine iliyofanya nisimjibu chochote zaidi ya kumpiga block hapohapo.
KWA KIFUPI ALITAKA NIMPELEKEE MOTO.
Kwani mkuu una deal na mitambo ya moto mpka anataka huduma ya kupeleka moto kwake?Wasalaam JF..!!!
Ni weekend moja baada ya kushinda kutwa nzima nikiwa nyumbani huku muda mwingi nikiutumia kulala baada ya shuhguli ndogo ndogo za home kama mjuavyo weekend.
Imefika mida ya jioni kuanzia saa moja hivi kila nishikacho nakuwa bored.
Nikasema ngoja nisogee mahali nipate mbili tatu, ukizingatia ni weekend. Nikasogea eneo moja kupata mbili tatu huku nikufurahisha macho kuwatazama hawa viumbe waliotoka kwenye ubavu wetu.
Nikiwa naperuzi Jf kupata vimbwanga vya huku, jirani alikuwa jamaa mmoja tu kwa mwonekano huwezi mtilia shaka kivyovyote anaonekana ni mtu anayejitambua.
Nilipokuwa nimefika alikuwa meza ya jirani wala sikuhangaika nae ghafla nikiwa uliwengu wa JF nikashtuliwa upande wangu wa kushoto alipo jamaa kugeuka kanichangamkia na kunisalimia kama vile ananifahamu.
Ucheshi kwa watanzania ni jadi yetu sikushangaa sana nami nikamuitikia kwa bashasha. Kichwani nikijaribu kuvuta kumbukumbu labda namfahamu ukizingatia mimi kiwanja hiko ni mwenyeji kidogo mara moja moja huwa nafika hapo.
Basi baada ya salamu nikaendelea na mambo yangu. Baada ya mbili tatu mbili kukolea mkojo nao ukanishika nikaenda maliwato. Wakati natoka maliwato nikakutana nae njiani akanichangamkia tena. Akaniomba pembeni tuongee kidogo. Akaniomba no ya simu, mwanzo nikampa ya uongo akanibipu ikagoma ikabidi nimpe ya ukweli huku nikimdadisi kujua yy ni nani au ana shida gani.
Then akaonyesha nisitilie shaka. Nikarudi kukaa, baada ya muda nae akarudi ghafla text ikaingia. Akauliza kesho nitakuwa wapi, nikamjibu tu nitakuwa kwenye shuguli zangu. Ukizingatia itakuwa jumatatu. Akauliza sasa tunafanyaje?
Nikajibu kuhusu nini? Akasema nahitaji tuonane kuna ishu. Nikamwambia labda anidokeze ni ishu gani huenda nikarahisha ratiba yangu. Akasema ni ishu ya kikazi. Hapo kwa kiasi kikubwa hofu niliyoanza kuijenga ikapungua. Nikajisemea kwa aina ya shuguli zangu huenda ananifahamu. Nikamjibu sawa kesho jioni nitamcheki.
Kesho yake saa 10 hivi jioni yeye ndiye akawa wa kwanza kunitext salamu then ikfuatiwa na text nyingine iliyofanya nisimjibu chochote zaidi ya kumpiga block hapohapo.
KWA KIFUPI ALITAKA NIMPELEKEE MOTO.
Alikuahidi $$$ ngapi,hivi Bharka yeye huwa anawaanzaje watu wa kumpelekea motoAkasema ni ishu ya kikazi.
Hujui??? Kama hujui bado jaribu kuwagusa uone nguvu ya utetezi itakapotoka, si ajabu wew unaepinga ukawekwa kizuizin na tusikuone tena, nmeweka wazi, kuwa kiongoz mkuu ndiye chanzo cha haya mambo, maana viongozi ndio husain mikataba ambayo ina masharti ya kuwalinda hawa wapuuzi, pia au basi naishia hapa wasijeniteka[emoji23]Rais anahusikaje hapo na mambo ya Mashoga?