Tusalimiane kinyumbani!

Habari za Asubuhi! Kwa utamaduni wetu sisi waafrika,asubuhi kama hii baada ya kuamka salama na kumshukuru muumba,kupeana salam wengine hawana raha kama hii...nisiwachoshe we tupia salaam ya kwenu naamini humu utajibwa tu.Mimi naanza Nam_nani....
Ulewedi
 
ashimbonyi shanu wameku, waka, wasoro na wana wa kika na wakisoro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…