Tuseme ukweli! Jaribio la treni ya SGR lilishindwa kufikia lengo

Tuseme ukweli! Jaribio la treni ya SGR lilishindwa kufikia lengo

Huyu jamaa sijui kama ana ufundi wowote ule huwezi sema treni iwekwe tu kwenye reli ianze kwenda mwendo mkubwa kiasi hicho ila ujue reli ni mpya treni ni mpya ina takiwa kwenda mwendo wa kawaida huku mafundi wakifuarilia kila hatua injini mabehewa umeme nk halafu safari 2 ,3,4 ndo itakuwa mwendo mdundo
Hawa ndio chadema bana ,kila kitu wanajua
 
Lengo la majaribio inawezekana ilikuwa ni kuhakikisha tu kama treni itafika Morogoro, kama hivyo ndivyo basi wamefanikiwa.

Hayo mambo ya mwendo labda wanaweza kuyarekebisha mbele ya safari, kama itawezekana kufanya hivyo kwa kutumia vichwa vya mabehewa vilivyopo.

Lakini binafsi nina mashaka na vile vichwa vya treni, sidhani kama vina ubora stahiki ili kufikia malengo ya muda wa safari uliowekwa.

Nahisi vitakuwa vya bei rahisi, tofauti na vile tunavyoona vikiendesha treni za mwendokasi kwenye nchi nyingine kama China.

If this is the case, naishauri serikali ijipange kwa kununua vichwa vyenye ubora stahiki, hata kwa kuanza na kimoja, ili kuhakikisha lengo kusudiwa la mwendokasi linafikiwa.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Treni la mbio, kwenye trial hawajaribu mbio zenyewe?? Note: walifanya trial mwanzo madereva walikua washatest test vitu
 
Lengo la majaribio inawezekana ilikuwa ni kuhakikisha tu kama treni itafika Morogoro, kama hivyo ndivyo basi wamefanikiwa.

Hayo mambo ya mwendo labda wanaweza kuyarekebisha mbele ya safari, kama itawezekana kufanya hivyo kwa kutumia vichwa vya mabehewa vilivyopo.

Lakini binafsi nina mashaka na vile vichwa vya treni, sidhani kama vina ubora stahiki ili kufikia malengo ya muda wa safari uliowekwa.

Nahisi vitakuwa vya bei rahisi, tofauti na vile tunavyoona vikiendesha treni za mwendokasi kwenye nchi nyingine kama China.

If this is the case, naishauri serikali ijipange kwa kununua vichwa vyenye ubora stahiki, hata kwa kuanza na kimoja, ili kuhakikisha lengo kusudiwa la mwendokasi linafikiwa.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Sidhani kama kuna haja ya kuhangaika na vichwa vya treni za kisasa zaidi ambavyo vinaendana na model ya mabehewa, na labda bei, gharama za uendeshaji na maintainance ni kubwa sana.
Muhimu kuzingatia ni ubora wa vichwa na mabehewa kutimiza malengo ya hizo safari hata kwa huo muda wa saa moja na nusu, siyo mbaya.​
 
Siku ya jana, tarehe 26/2/2024, shirika la reli hapa Tanzania (TRC) lilifanya jaribio la kwanza la treni ya kisasa, umeme na mwendokasi (SGR), na miongoni ya malengo (matarajio ya watu?) ya msingi yalikuwa ni haya;

1. Mwendokasi (muda wa kusafiri uwe mchache huku umbali uwe mrefu).

2. Nishati ya Umeme (uhakika wa umeme wakati wote)

Bila kumumunya maneno, malengo yote mawili hayakufikiwa. Treni haikuwa na kasi ya kutosha, safari ikatumia muda mrefu zaidi kutoka Dar mpaka Moro. Lakini mara mbili umeme ulikatika katikati ya safari, treni ikapunguza mwendo na huduma ya umeme ndani ya mabehewa ikapotea.

Kwa wale wasiofahamu kuhusu Sayansi ya majaribu (practical trial/ testing ama Pilot survey) ni kuwa, ili malengo yanayotegemewa kuwepo katika uhalisia yaweze kuonekana kwelikweli inabidi majaribu yafikie malengo na kupitiliza walau robo zaidi ya lengo (yaani yafikie 125%). Kwa mfano kama Treni ya SGR inategemewa kutoka Dar-Moro kwa dakika 75 tu basi wakati wa majaribio walau itumie dakika zisizozidi dakika 57.

USHAURI.
TRC inabidi ifanye mambo haya matatu kwa sasa;

1. Itoe taarifa kamili ya kitaalamu kuonyesha taswira nzima ya hilo jaribio, wapi walifikia lengo na wapi walishindwa kufikia lengo.

2. Wakae chini kujipanga upya namna ya kuweza kukabiliana na mapungufu hayo.

3. Waje kufanya jaribio lingine baada ya kupata utatuzi wa mapungufu yote.
Naona ununuzi wa vichwa vya Treni haukuzingatia ushauri wa kitaalamu , bali umefuata utashi au ushauri wa wanasiasa
 
Huyu jamaa sijui kama ana ufundi wowote ule huwezi sema treni iwekwe tu kwenye reli ianze kwenda mwendo mkubwa kiasi hicho ila ujue reli ni mpya treni ni mpya ina takiwa kwenda mwendo wa kawaida huku mafundi wakifuarilia kila hatua injini mabehewa umeme nk halafu safari 2 ,3,4 ndo itakuwa mwendo mdundo
Kwani hili ni jaribio la kwanza?
 
Sidhani kama kuna haja ya kuhangaika na vichwa vya treni za kisasa zaidi ambavyo vinaendana na model ya mabehewa, na labda bei, gharama za uendeshaji na maintainance ni kubwa sana.
Muhimu kuzingatia ni ubora wa vichwa na mabehewa kutimiza malengo ya hizo safari hata kwa huo muda wa saa moja na nusu, siyo mbaya.​
Nimeona pia huko twitter (X) wanazungumzia mazingira yetu, wanadai nature ya mazingira yetu inaifanya treni isiende kwa spidi inayotakiwa, wanadai uwepo wa vitu kama mifugo kwenye njia za treni unasababisha kupunguza mwendo, hii nayo nimeona kwa namna fulani inaleta maana.

Ingebidi basi hiyo njia ya treni iwekewe uzio ili kuwazuia watu na mifugo wasiingie kwenye njia, ili kuepusha madhara ambayo yanaweza kujitokeza kama treni ya umeme itakuwa na mwendo mkali, sijui nchi ya jirani kama Kenya wao wamefanyaje kwao nadhani nao wanatumia treni ya umeme ...

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Siku ya jana, tarehe 26/2/2024, shirika la reli hapa Tanzania (TRC) lilifanya jaribio la kwanza la treni ya kisasa, umeme na mwendokasi (SGR), na miongoni ya malengo (matarajio ya watu?) ya msingi yalikuwa ni haya;

1. Mwendokasi (muda wa kusafiri uwe mchache huku umbali uwe mrefu).

2. Nishati ya Umeme (uhakika wa umeme wakati wote)

Bila kumumunya maneno, malengo yote mawili hayakufikiwa. Treni haikuwa na kasi ya kutosha, safari ikatumia muda mrefu zaidi kutoka Dar mpaka Moro. Lakini mara mbili umeme ulikatika katikati ya safari, treni ikapunguza mwendo na huduma ya umeme ndani ya mabehewa ikapotea.

Kwa wale wasiofahamu kuhusu Sayansi ya majaribu (practical trial/ testing ama Pilot survey) ni kuwa, ili malengo yanayotegemewa kuwepo katika uhalisia yaweze kuonekana kwelikweli inabidi majaribu yafikie malengo na kupitiliza walau robo zaidi ya lengo (yaani yafikie 125%). Kwa mfano kama Treni ya SGR inategemewa kutoka Dar-Moro kwa dakika 75 tu basi wakati wa majaribio walau itumie dakika zisizozidi dakika 57.

USHAURI.
TRC inabidi ifanye mambo haya matatu kwa sasa;

1. Itoe taarifa kamili ya kitaalamu kuonyesha taswira nzima ya hilo jaribio, wapi walifikia lengo na wapi walishindwa kufikia lengo.

2. Wakae chini kujipanga upya namna ya kuweza kukabiliana na mapungufu hayo.

3. Waje kufanya jaribio lingine baada ya kupata utatuzi wa mapungufu yote.
sasa mtu huna ujuzi wa safari za treni za umeme unapata wapi ujasiri wa kukosoa?
 
1. Itoe taarifa kamili ya kitaalamu kuonyesha taswira nzima ya hilo jaribio, wapi walifikia lengo na wapi walishindwa kufikia lengo.

2. Wakae chini kujipanga upya namna ya kuweza kukabiliana na mapungufu hayo.

3. Waje kufanya jaribio lingine baada ya kupata utatuzi wa mapungufu yote.
Ndiyo maana hawakuliwasha mapema walijua wamepiga cha juu lpkama ile feri ya Bagamoyo inayofanana na nyambizi
 
Nimeona pia huko twitter (X) wanazungumzia mazingira yetu, wanadai nature ya mazingira yetu inaifanya treni isiende kwa spidi inayotakiwa, wanadai uwepo wa vitu kama mifugo kwenye njia za treni unasababisha kupunguza mwendo, hii nayo nimeona kwa namna fulani inaleta maana.
Wasijitetee
Reli nzima imepigwa fensi pande zote mbili, mifugo gani wanaizungumzia
 
Siku ya jana, tarehe 26/2/2024, shirika la reli hapa Tanzania (TRC) lilifanya jaribio la kwanza la treni ya kisasa, umeme na mwendokasi (SGR), na miongoni ya malengo (matarajio ya watu?) ya msingi yalikuwa ni haya;

1. Mwendokasi (muda wa kusafiri uwe mchache huku umbali uwe mrefu).

2. Nishati ya Umeme (uhakika wa umeme wakati wote)

Bila kumumunya maneno, malengo yote mawili hayakufikiwa. Treni haikuwa na kasi ya kutosha, safari ikatumia muda mrefu zaidi kutoka Dar mpaka Moro. Lakini mara mbili umeme ulikatika katikati ya safari, treni ikapunguza mwendo na huduma ya umeme ndani ya mabehewa ikapotea.

Kwa wale wasiofahamu kuhusu Sayansi ya majaribu (practical trial/ testing ama Pilot survey) ni kuwa, ili malengo yanayotegemewa kuwepo katika uhalisia yaweze kuonekana kwelikweli inabidi majaribu yafikie malengo na kupitiliza walau robo zaidi ya lengo (yaani yafikie 125%). Kwa mfano kama Treni ya SGR inategemewa kutoka Dar-Moro kwa dakika 75 tu basi wakati wa majaribio walau itumie dakika zisizozidi dakika 57.

USHAURI.
TRC inabidi ifanye mambo haya matatu kwa sasa;

1. Itoe taarifa kamili ya kitaalamu kuonyesha taswira nzima ya hilo jaribio, wapi walifikia lengo na wapi walishindwa kufikia lengo.

2. Wakae chini kujipanga upya namna ya kuweza kukabiliana na mapungufu hayo.

3. Waje kufanya jaribio lingine baada ya kupata utatuzi wa mapungufu yote.
Si muendelee na Biashara yenu ya mabasi...kwa nini mnatunyanyasa hivi!!!
 
Lengo la jaribio lilikuwa ni lipi? Ni vema tukajua scope ya majaribio, na mengine yanayokuja kabla ya kulaumu
TRC wao wenyewe walisema malengo ya majaribio yalikuwa ni haya:
1. Kuashiria kukamilika kwa miundo mbinu yote (Reli, vichwa vya treni, mabehewa) ya SGR kipande cha Dar-Moro.

2. Kuwaonyesha watanzania namna TRC ilivyojipanga vyema kuanza kutoa huduma za usafirishaji kwa kutumia treni ya SGR.

3. Kujionea, kufurahia na kuutangaza mradi wa SGR kama sehemu ya mapinduzi ya kisasa (kasi, usalama na uhakika) katika usafirishaji wa watu na mizigo.

Sasa mategemeo ya watanzania yakawa tofauti na kile walichokipata katika majaribio.
 
TRC wao wenyewe walisema malengo ya majaribio yalikuwa ni haya:
1. Kuashiria kukamilika kwa miundo mbinu yote (Reli, vichwa vya treni, mabehewa) ya SGR kipande cha Dar-Moro.

2. Kuwaonyesha watanzania namna TRC ilivyojipanga vyema kuanza kutoa huduma za usafirishaji kwa kutumia treni ya SGR.

3. Kujionea, kufurahia na kuutangaza mradi wa SGR kama sehemu ya mapinduzi ya kisasa (kasi, usalama na uhakika) katika usafirishaji wa watu na mizigo.

Sasa mategemeo ya watanzania yakawa tofauti na kile walichokipata katika majaribio.
I say it is too soon, lets say tuone with time kama watafikia matarajio ya watanzania
 
Huyu jamaa sijui kama ana ufundi wowote ule huwezi sema treni iwekwe tu kwenye reli ianze kwenda mwendo mkubwa kiasi hicho ila ujue reli ni mpya treni ni mpya ina takiwa kwenda mwendo wa kawaida huku mafundi wakifuarilia kila hatua injini mabehewa umeme nk halafu safari 2 ,3,4 ndo itakuwa mwendo mdundo
Mkuu jaribio la jana halikuwa jaribio la kiufundi bali lilikuwa ni jaribio la matumizi kwa wateja. Hayo ya kuogopa mwendo mkali au upya wa reli hayana mantiki. Lengo la ujenzi wa SGR ni kwenda kasi zaidi, sasa unapoita wateja waje kwenye majaribio ya SGR halafu treni itembee mwendo mdogo maana yake hujui unachokifanya.
 
I say it is too soon, lets say tuone with time kama watafikia matarajio ya watanzania
It is a right time to say now ili waende wakarekebishe haraka. Maana baada ya jaribio bovu jana, TRC na chawa wa serikali walikuwa busy kusifikia na kushangilia kila kitu wakati kiuhalisia ilikuwa ni huge failure.
 
Tuwape muda
Tuwape muda upi tena?
TRC wameshasema mradi uko tayari, majaribio yamefanikiwa kwa 100%+, na watanzania wamefurahia mwendo mdogo mdogo na kuelewa sababu za kukatika umeme safarini haziepukiki, zina athari fulani lakini zina nia njema!
 
Majaribio ni muhimu kabla ya kuanza matumizi rasmi ya mitambo na miundo mbinu.
Kwa akili ya kawaida, majaribio huanza pole pole, kwa tahadhari ili kuona kama kuna sehemu zinazohitaji marekebisho, huku kasi na mzigo ukiongezwa kwa viwango hadi kufikia kile kilichokusudiwa.
Kilichotakiwa ni kufanya majaribio kimya kimya hadi siku ya ufunguzi rasmi ndipo matangazo yafanyike. Lakini kwa sababu ya siasa za kutafuta sifa, utaalamu hufunikwa na ujinga.
Siasa zinafanya jamii na taifa kuwa na fikra na mijadala ya kijuha.
 
Lengo la majaribio inawezekana ilikuwa ni kuhakikisha tu kama treni itafika Morogoro, kama hivyo ndivyo basi wamefanikiwa.

Hayo mambo ya mwendo labda wanaweza kuyarekebisha mbele ya safari, kama itawezekana kufanya hivyo kwa kutumia vichwa vya mabehewa vilivyopo.

Lakini binafsi nina mashaka na vile vichwa vya treni, sidhani kama vina ubora stahiki ili kufikia malengo ya muda wa safari uliowekwa.

Nahisi vitakuwa vya bei rahisi, tofauti na vile tunavyoona vikiendesha treni za mwendokasi kwenye nchi nyingine kama China.

If this is the case, naishauri serikali ijipange kwa kununua vichwa vyenye ubora stahiki, hata kwa kuanza na kimoja, ili kuhakikisha lengo kusudiwa la mwendokasi linafikiwa.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app

Hiv kile kichwa na zile behewa ndio tren; Ila TZ bhana wanapotezaga hela sana kwenye vitu takataka.that train. Ni UCHAFU kwa sis tunaojua tren za Umeme. Nimeanza kupanda na kujua tren za umeme way back

MKURUGENZI wa TRC na SSH na Gavana wote wanatakiwa kwenda Gerezani kwa matumiz mabaya ya kodi full stop
 
Siku ya jana, tarehe 26/2/2024, shirika la reli hapa Tanzania (TRC) lilifanya jaribio la kwanza la treni ya kisasa, umeme na mwendokasi (SGR), na miongoni ya malengo (matarajio ya watu?) ya msingi yalikuwa ni haya;

1. Mwendokasi (muda wa kusafiri uwe mchache huku umbali uwe mrefu).

2. Nishati ya Umeme (uhakika wa umeme wakati wote)

Bila kumumunya maneno, malengo yote mawili hayakufikiwa. Treni haikuwa na kasi ya kutosha, safari ikatumia muda mrefu zaidi kutoka Dar mpaka Moro. Lakini mara mbili umeme ulikatika katikati ya safari, treni ikapunguza mwendo na huduma ya umeme ndani ya mabehewa ikapotea.

Kwa wale wasiofahamu kuhusu Sayansi ya majaribu (practical trial/ testing ama Pilot survey) ni kuwa, ili malengo yanayotegemewa kuwepo katika uhalisia yaweze kuonekana kwelikweli inabidi majaribu yafikie malengo na kupitiliza walau robo zaidi ya lengo (yaani yafikie 125%). Kwa mfano kama Treni ya SGR inategemewa kutoka Dar-Moro kwa dakika 75 tu basi wakati wa majaribio walau itumie dakika zisizozidi dakika 57.

USHAURI.
TRC inabidi ifanye mambo haya matatu kwa sasa;

1. Itoe taarifa kamili ya kitaalamu kuonyesha taswira nzima ya hilo jaribio, wapi walifikia lengo na wapi walishindwa kufikia lengo.

2. Wakae chini kujipanga upya namna ya kuweza kukabiliana na mapungufu hayo.

3. Waje kufanya jaribio lingine baada ya kupata utatuzi wa mapungufu yote.

Hivi ni kitu gani kilisimamiwa na Serikali, halafu kikawa na ufanisi?

Simu walishindwa. Bia walishindwa. Viwanda vya aina mbalimbali walishindwa. Usafiri wa anga walishindwa, na ili ATCL iendelee waliamu kuifukuza Fastjet ili ATCL isiwe na mshindani.

Kama wameshindwa kila kitu, ndiyo waweze kuiendesha reli? Reli ni muhimu sana, lakini chini ya Serikali hii ya kwetu, mradi huu mkubwa wa reli nao utaishia ilikoishia miradi mingine.
 
Hakuna mradi mkubwa unafanyika duniani na kuanza shughuli 100% bila kuwa na matatizo yanayo rekebishika. Wapeni TRC muda wafanye kazi yao kikamilifu. Haya ni majaribio na lazima yaende kwa stages.
 
Back
Top Bottom