Lengo la majaribio inawezekana ilikuwa ni kuhakikisha tu kama treni itafika Morogoro, kama hivyo ndivyo basi wamefanikiwa.
Hayo mambo ya mwendo labda wanaweza kuyarekebisha mbele ya safari, kama itawezekana kufanya hivyo kwa kutumia vichwa vya mabehewa vilivyopo.
Lakini binafsi nina mashaka na vile vichwa vya treni, sidhani kama vina ubora stahiki ili kufikia malengo ya muda wa safari uliowekwa.
Nahisi vitakuwa vya bei rahisi, tofauti na vile tunavyoona vikiendesha treni za mwendokasi kwenye nchi nyingine kama China.
If this is the case, naishauri serikali ijipange kwa kununua vichwa vyenye ubora stahiki, hata kwa kuanza na kimoja, ili kuhakikisha lengo kusudiwa la mwendokasi linafikiwa.
Sent from my SM-G900H using
JamiiForums mobile app