Hawa ndio chadema bana ,kila kitu wanajuaHuyu jamaa sijui kama ana ufundi wowote ule huwezi sema treni iwekwe tu kwenye reli ianze kwenda mwendo mkubwa kiasi hicho ila ujue reli ni mpya treni ni mpya ina takiwa kwenda mwendo wa kawaida huku mafundi wakifuarilia kila hatua injini mabehewa umeme nk halafu safari 2 ,3,4 ndo itakuwa mwendo mdundo
Treni la mbio, kwenye trial hawajaribu mbio zenyewe?? Note: walifanya trial mwanzo madereva walikua washatest test vituLengo la majaribio inawezekana ilikuwa ni kuhakikisha tu kama treni itafika Morogoro, kama hivyo ndivyo basi wamefanikiwa.
Hayo mambo ya mwendo labda wanaweza kuyarekebisha mbele ya safari, kama itawezekana kufanya hivyo kwa kutumia vichwa vya mabehewa vilivyopo.
Lakini binafsi nina mashaka na vile vichwa vya treni, sidhani kama vina ubora stahiki ili kufikia malengo ya muda wa safari uliowekwa.
Nahisi vitakuwa vya bei rahisi, tofauti na vile tunavyoona vikiendesha treni za mwendokasi kwenye nchi nyingine kama China.
If this is the case, naishauri serikali ijipange kwa kununua vichwa vyenye ubora stahiki, hata kwa kuanza na kimoja, ili kuhakikisha lengo kusudiwa la mwendokasi linafikiwa.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Lengo la majaribio inawezekana ilikuwa ni kuhakikisha tu kama treni itafika Morogoro, kama hivyo ndivyo basi wamefanikiwa.
Hayo mambo ya mwendo labda wanaweza kuyarekebisha mbele ya safari, kama itawezekana kufanya hivyo kwa kutumia vichwa vya mabehewa vilivyopo.
Lakini binafsi nina mashaka na vile vichwa vya treni, sidhani kama vina ubora stahiki ili kufikia malengo ya muda wa safari uliowekwa.
Nahisi vitakuwa vya bei rahisi, tofauti na vile tunavyoona vikiendesha treni za mwendokasi kwenye nchi nyingine kama China.
If this is the case, naishauri serikali ijipange kwa kununua vichwa vyenye ubora stahiki, hata kwa kuanza na kimoja, ili kuhakikisha lengo kusudiwa la mwendokasi linafikiwa.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Naona ununuzi wa vichwa vya Treni haukuzingatia ushauri wa kitaalamu , bali umefuata utashi au ushauri wa wanasiasaSiku ya jana, tarehe 26/2/2024, shirika la reli hapa Tanzania (TRC) lilifanya jaribio la kwanza la treni ya kisasa, umeme na mwendokasi (SGR), na miongoni ya malengo (matarajio ya watu?) ya msingi yalikuwa ni haya;
1. Mwendokasi (muda wa kusafiri uwe mchache huku umbali uwe mrefu).
2. Nishati ya Umeme (uhakika wa umeme wakati wote)
Bila kumumunya maneno, malengo yote mawili hayakufikiwa. Treni haikuwa na kasi ya kutosha, safari ikatumia muda mrefu zaidi kutoka Dar mpaka Moro. Lakini mara mbili umeme ulikatika katikati ya safari, treni ikapunguza mwendo na huduma ya umeme ndani ya mabehewa ikapotea.
Kwa wale wasiofahamu kuhusu Sayansi ya majaribu (practical trial/ testing ama Pilot survey) ni kuwa, ili malengo yanayotegemewa kuwepo katika uhalisia yaweze kuonekana kwelikweli inabidi majaribu yafikie malengo na kupitiliza walau robo zaidi ya lengo (yaani yafikie 125%). Kwa mfano kama Treni ya SGR inategemewa kutoka Dar-Moro kwa dakika 75 tu basi wakati wa majaribio walau itumie dakika zisizozidi dakika 57.
USHAURI.
TRC inabidi ifanye mambo haya matatu kwa sasa;
1. Itoe taarifa kamili ya kitaalamu kuonyesha taswira nzima ya hilo jaribio, wapi walifikia lengo na wapi walishindwa kufikia lengo.
2. Wakae chini kujipanga upya namna ya kuweza kukabiliana na mapungufu hayo.
3. Waje kufanya jaribio lingine baada ya kupata utatuzi wa mapungufu yote.
Mchina karudi tena kuiokoa TAZARA. Reli yenye uwezo wa kubeba mizigo tani zaidi ya 2M kwa mwaka inaishia kubeba tani 150K tu.Treni ya escape from Sobibo haina maajabu yoyote.Kwanza najiuliza TAZARA imetushinda tutaweza SGR.
Kwani hili ni jaribio la kwanza?Huyu jamaa sijui kama ana ufundi wowote ule huwezi sema treni iwekwe tu kwenye reli ianze kwenda mwendo mkubwa kiasi hicho ila ujue reli ni mpya treni ni mpya ina takiwa kwenda mwendo wa kawaida huku mafundi wakifuarilia kila hatua injini mabehewa umeme nk halafu safari 2 ,3,4 ndo itakuwa mwendo mdundo
Nimeona pia huko twitter (X) wanazungumzia mazingira yetu, wanadai nature ya mazingira yetu inaifanya treni isiende kwa spidi inayotakiwa, wanadai uwepo wa vitu kama mifugo kwenye njia za treni unasababisha kupunguza mwendo, hii nayo nimeona kwa namna fulani inaleta maana.Sidhani kama kuna haja ya kuhangaika na vichwa vya treni za kisasa zaidi ambavyo vinaendana na model ya mabehewa, na labda bei, gharama za uendeshaji na maintainance ni kubwa sana.
Muhimu kuzingatia ni ubora wa vichwa na mabehewa kutimiza malengo ya hizo safari hata kwa huo muda wa saa moja na nusu, siyo mbaya.
sasa mtu huna ujuzi wa safari za treni za umeme unapata wapi ujasiri wa kukosoa?Siku ya jana, tarehe 26/2/2024, shirika la reli hapa Tanzania (TRC) lilifanya jaribio la kwanza la treni ya kisasa, umeme na mwendokasi (SGR), na miongoni ya malengo (matarajio ya watu?) ya msingi yalikuwa ni haya;
1. Mwendokasi (muda wa kusafiri uwe mchache huku umbali uwe mrefu).
2. Nishati ya Umeme (uhakika wa umeme wakati wote)
Bila kumumunya maneno, malengo yote mawili hayakufikiwa. Treni haikuwa na kasi ya kutosha, safari ikatumia muda mrefu zaidi kutoka Dar mpaka Moro. Lakini mara mbili umeme ulikatika katikati ya safari, treni ikapunguza mwendo na huduma ya umeme ndani ya mabehewa ikapotea.
Kwa wale wasiofahamu kuhusu Sayansi ya majaribu (practical trial/ testing ama Pilot survey) ni kuwa, ili malengo yanayotegemewa kuwepo katika uhalisia yaweze kuonekana kwelikweli inabidi majaribu yafikie malengo na kupitiliza walau robo zaidi ya lengo (yaani yafikie 125%). Kwa mfano kama Treni ya SGR inategemewa kutoka Dar-Moro kwa dakika 75 tu basi wakati wa majaribio walau itumie dakika zisizozidi dakika 57.
USHAURI.
TRC inabidi ifanye mambo haya matatu kwa sasa;
1. Itoe taarifa kamili ya kitaalamu kuonyesha taswira nzima ya hilo jaribio, wapi walifikia lengo na wapi walishindwa kufikia lengo.
2. Wakae chini kujipanga upya namna ya kuweza kukabiliana na mapungufu hayo.
3. Waje kufanya jaribio lingine baada ya kupata utatuzi wa mapungufu yote.
Ndiyo maana hawakuliwasha mapema walijua wamepiga cha juu lpkama ile feri ya Bagamoyo inayofanana na nyambizi1. Itoe taarifa kamili ya kitaalamu kuonyesha taswira nzima ya hilo jaribio, wapi walifikia lengo na wapi walishindwa kufikia lengo.
2. Wakae chini kujipanga upya namna ya kuweza kukabiliana na mapungufu hayo.
3. Waje kufanya jaribio lingine baada ya kupata utatuzi wa mapungufu yote.
WasijiteteeNimeona pia huko twitter (X) wanazungumzia mazingira yetu, wanadai nature ya mazingira yetu inaifanya treni isiende kwa spidi inayotakiwa, wanadai uwepo wa vitu kama mifugo kwenye njia za treni unasababisha kupunguza mwendo, hii nayo nimeona kwa namna fulani inaleta maana.
Si muendelee na Biashara yenu ya mabasi...kwa nini mnatunyanyasa hivi!!!Siku ya jana, tarehe 26/2/2024, shirika la reli hapa Tanzania (TRC) lilifanya jaribio la kwanza la treni ya kisasa, umeme na mwendokasi (SGR), na miongoni ya malengo (matarajio ya watu?) ya msingi yalikuwa ni haya;
1. Mwendokasi (muda wa kusafiri uwe mchache huku umbali uwe mrefu).
2. Nishati ya Umeme (uhakika wa umeme wakati wote)
Bila kumumunya maneno, malengo yote mawili hayakufikiwa. Treni haikuwa na kasi ya kutosha, safari ikatumia muda mrefu zaidi kutoka Dar mpaka Moro. Lakini mara mbili umeme ulikatika katikati ya safari, treni ikapunguza mwendo na huduma ya umeme ndani ya mabehewa ikapotea.
Kwa wale wasiofahamu kuhusu Sayansi ya majaribu (practical trial/ testing ama Pilot survey) ni kuwa, ili malengo yanayotegemewa kuwepo katika uhalisia yaweze kuonekana kwelikweli inabidi majaribu yafikie malengo na kupitiliza walau robo zaidi ya lengo (yaani yafikie 125%). Kwa mfano kama Treni ya SGR inategemewa kutoka Dar-Moro kwa dakika 75 tu basi wakati wa majaribio walau itumie dakika zisizozidi dakika 57.
USHAURI.
TRC inabidi ifanye mambo haya matatu kwa sasa;
1. Itoe taarifa kamili ya kitaalamu kuonyesha taswira nzima ya hilo jaribio, wapi walifikia lengo na wapi walishindwa kufikia lengo.
2. Wakae chini kujipanga upya namna ya kuweza kukabiliana na mapungufu hayo.
3. Waje kufanya jaribio lingine baada ya kupata utatuzi wa mapungufu yote.
TRC wao wenyewe walisema malengo ya majaribio yalikuwa ni haya:Lengo la jaribio lilikuwa ni lipi? Ni vema tukajua scope ya majaribio, na mengine yanayokuja kabla ya kulaumu
I say it is too soon, lets say tuone with time kama watafikia matarajio ya watanzaniaTRC wao wenyewe walisema malengo ya majaribio yalikuwa ni haya:
1. Kuashiria kukamilika kwa miundo mbinu yote (Reli, vichwa vya treni, mabehewa) ya SGR kipande cha Dar-Moro.
2. Kuwaonyesha watanzania namna TRC ilivyojipanga vyema kuanza kutoa huduma za usafirishaji kwa kutumia treni ya SGR.
3. Kujionea, kufurahia na kuutangaza mradi wa SGR kama sehemu ya mapinduzi ya kisasa (kasi, usalama na uhakika) katika usafirishaji wa watu na mizigo.
Sasa mategemeo ya watanzania yakawa tofauti na kile walichokipata katika majaribio.
Mkuu jaribio la jana halikuwa jaribio la kiufundi bali lilikuwa ni jaribio la matumizi kwa wateja. Hayo ya kuogopa mwendo mkali au upya wa reli hayana mantiki. Lengo la ujenzi wa SGR ni kwenda kasi zaidi, sasa unapoita wateja waje kwenye majaribio ya SGR halafu treni itembee mwendo mdogo maana yake hujui unachokifanya.Huyu jamaa sijui kama ana ufundi wowote ule huwezi sema treni iwekwe tu kwenye reli ianze kwenda mwendo mkubwa kiasi hicho ila ujue reli ni mpya treni ni mpya ina takiwa kwenda mwendo wa kawaida huku mafundi wakifuarilia kila hatua injini mabehewa umeme nk halafu safari 2 ,3,4 ndo itakuwa mwendo mdundo
It is a right time to say now ili waende wakarekebishe haraka. Maana baada ya jaribio bovu jana, TRC na chawa wa serikali walikuwa busy kusifikia na kushangilia kila kitu wakati kiuhalisia ilikuwa ni huge failure.I say it is too soon, lets say tuone with time kama watafikia matarajio ya watanzania
Tuwape muda upi tena?Tuwape muda
Lengo la majaribio inawezekana ilikuwa ni kuhakikisha tu kama treni itafika Morogoro, kama hivyo ndivyo basi wamefanikiwa.
Hayo mambo ya mwendo labda wanaweza kuyarekebisha mbele ya safari, kama itawezekana kufanya hivyo kwa kutumia vichwa vya mabehewa vilivyopo.
Lakini binafsi nina mashaka na vile vichwa vya treni, sidhani kama vina ubora stahiki ili kufikia malengo ya muda wa safari uliowekwa.
Nahisi vitakuwa vya bei rahisi, tofauti na vile tunavyoona vikiendesha treni za mwendokasi kwenye nchi nyingine kama China.
If this is the case, naishauri serikali ijipange kwa kununua vichwa vyenye ubora stahiki, hata kwa kuanza na kimoja, ili kuhakikisha lengo kusudiwa la mwendokasi linafikiwa.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Siku ya jana, tarehe 26/2/2024, shirika la reli hapa Tanzania (TRC) lilifanya jaribio la kwanza la treni ya kisasa, umeme na mwendokasi (SGR), na miongoni ya malengo (matarajio ya watu?) ya msingi yalikuwa ni haya;
1. Mwendokasi (muda wa kusafiri uwe mchache huku umbali uwe mrefu).
2. Nishati ya Umeme (uhakika wa umeme wakati wote)
Bila kumumunya maneno, malengo yote mawili hayakufikiwa. Treni haikuwa na kasi ya kutosha, safari ikatumia muda mrefu zaidi kutoka Dar mpaka Moro. Lakini mara mbili umeme ulikatika katikati ya safari, treni ikapunguza mwendo na huduma ya umeme ndani ya mabehewa ikapotea.
Kwa wale wasiofahamu kuhusu Sayansi ya majaribu (practical trial/ testing ama Pilot survey) ni kuwa, ili malengo yanayotegemewa kuwepo katika uhalisia yaweze kuonekana kwelikweli inabidi majaribu yafikie malengo na kupitiliza walau robo zaidi ya lengo (yaani yafikie 125%). Kwa mfano kama Treni ya SGR inategemewa kutoka Dar-Moro kwa dakika 75 tu basi wakati wa majaribio walau itumie dakika zisizozidi dakika 57.
USHAURI.
TRC inabidi ifanye mambo haya matatu kwa sasa;
1. Itoe taarifa kamili ya kitaalamu kuonyesha taswira nzima ya hilo jaribio, wapi walifikia lengo na wapi walishindwa kufikia lengo.
2. Wakae chini kujipanga upya namna ya kuweza kukabiliana na mapungufu hayo.
3. Waje kufanya jaribio lingine baada ya kupata utatuzi wa mapungufu yote.