Tuseme ukweli! Jaribio la treni ya SGR lilishindwa kufikia lengo

Hivi vichwa vya treni ni kama vinavyotumika SA..tu vya kizamani sana SA wanavitumia kama mbadala wa daladala mijini kupumguza msongamano wa magari..lakini kwa masafa marefu havifai havina spidi
 
Shida ni kwamba wameshindwa kununua treni za kisasa kenge hawa..sidhani kama hii ni vision aliyokuwa nayo marehemu magufuli.
 
Kuna watu wao kujidai ni wataalamu kila mahali kumbe wamejawa na chuki na husda na visasi. Hivi kwa akili ya kawaida ulitegemea ufanye majaribio kwenye reli mpya halafu utembee na speed kali?. Na huko kukatika kwa umeme si ndio majaribio yenyewe ya kupina ni vipi treni itabehave ikiwa umeme umekatika au huelewi neno majaribio.
 
3. Waje kufanya jaribio lingine baada ya kupata utatuzi wa mapungufu yote.
Akili kichwani mtu wangu. Mabasi yapo ya maana sana siku hizi!
Majaribio hata wafanye mara 100 hawatoboi! Upigaji ni mwingi sana kwenye SGR project.

NB:
1. Walificha lakini zile ni hybrid trains - diesel na umeme. Spidi haiwezi kuwa kubwa!
2. Kushindwa kufikia maximum speed kwenye majaribio ni ishara kwamba mengi hayapo sawa kwenye SGR!
 
Mleta mada anadhani treni ni baiskeli, hivi kweli unaweza kuambiwa endesha hili gari ujaribu kama breki zinashika vizuri, wewe ukaanza na speed ya 80
 


"Kwa mfano kama Treni ya SGR inategemewa kutoka Dar-Moro kwa dakika 75 tu basi wakati wa majaribio walau itumie dakika zisizozidi dakika 57"

Hata kama huwapendi ccm basi usionyeshe wazi wazi
 
Wakuu kwani lengo la kufanya Jaribio ni nini?, kwa sababu navyofahamu mimi lengo kuu la Jaribio ni kupima ufanisi kwa sababu mfanya Jaribio hana uhakika na ufanisi uliokusudiwa na kama Jaribio limeonyesha kuwa hakuna ufanisi tarajiwa basi Jaribio limefaulu kwa asilimia mia, na hivyo limewapa fursa wafanya Jaribio kurudi Kwenye planning phase ili kung'amua ni kwanini ufanisi haukufikiwa na kufanya marekebisho hitajika. Hivyo mimi sioni tatizo lolote Lile na ninawapa kongole wafanya Jaribio kwa kufanya Jaribio kabla ya safari kuanza na Tena nawapa moyo wa kuendelea kufanya majaribio kadhaa hata kwa muongo mmoja mpaka ufanisi upatikane.
 
Shida ni kwamba wameshindwa kununua treni za kisasa kenge hawa..sidhani kama hii ni vision aliyokuwa nayo marehemu magufuli.
walibadilisha supplier na kuongeza sifuri mbele ili wapige hela kisha wakanunua refurb na bi mkora alikazia kuwa mtumba huo ni kama mpya tu. For the first time naskia serikali inanunua mtumba na kujisifiašŸ˜‚
 
Nyang'au wao hawana treni ya umeme, ya kwao inatumia dizeli........hii ya kwetu ndo ya kwanza East Africa, jambo hili litakuwa linawauma sana nyang'au kwa jinsi wanavyopenda kujilinganisha na Tanzania.
 
Nyang'au wao hawana treni ya umeme, ya kwao inatumia dizeli........hii ya kwetu ndo ya kwanza East Africa, jambo hili litakuwa linawauma sana nyang'au kwa jinsi wanavyopenda kujilinganisha na Tanzania.
SI wanayo tiari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…