Tuseme ukweli kazi ya urubani imekuwa rahisi sana ukilinganisha na zamani walivyokuwa wanaheshimika

Tuseme ukweli kazi ya urubani imekuwa rahisi sana ukilinganisha na zamani walivyokuwa wanaheshimika

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Urubani wa siku hizi hata usiyejua unaweza kusomea ili mradi zile kanuni ambazo utafata kwenye elimu zinazofundishwa.

Ukilinganisha na zamani yani ndege nyingi zilikuwa zinaitaji marubani zaidi ya watu mpaka wanne kutegemea na aina gani ya ndege.

IMG_0744.jpeg


Ukilinganisha na leo yani kila kitu kimewekwa kirafiki hata kama utapata tatizo au kujua shida unaweza kutambua na kujua.
IMG_0743.jpeg
 
Urubani nowdays umekuwa simplified kutokana na mapinduzi makubwa ya kiteknolojia yaliyofanyika katika AI yaani (Articial Intelligence) na kuweza kubuni vitu kama Auto Pilot, kazi imekuwa nyepesi mno.

Lakini haimanishi usisome.
 
Urubani ni sawa sawa na udereva wa gari.

Kama una nia ya kujua.. na school fees unayo ya kulipia chuo mtu yeyote anakuwa rubani.

Kuwa daktari ama engineer ni kazi ngumu kuliko kuwa rubani
Hii hapana kwa udereva mtu yeyote Sawa lakini napo si kwa asilimia zote kwamba mtu yeyote.
Mtu anaweza akawa na status za periodic psychiatric akawa dereva lakini si rubani,dereva anawrza kuwa hata mtu ambaye hajaenda shule darasa la msingi (shule ya msingi ama sekondari) na akawa dereva lakini si rubani.

Rubani anapaswa awe na ufahamu kuhusu jiografia kwa kina lakini si dereva
 
Auto pilot baada ya ujio wa robot na AI umefanya kazi nyingi kuwa automatic.
Leo unaweza ukawa dar unalima Morogoro unacontrol trekta au mashine kwa simu ukiwa Dar
 
Urubani wa siku hizi hata usiyejua unaweza kusomea ili mradi zile kanuni ambazo utafata kwenye elimu zinazofundishwa.

Ukilinganisha na zamani yani ndege nyingi zilikuwa zinaitaji marubani zaidi ya watu mpaka wanne kutegemea na aina gani ya ndege.

View attachment 3258351

Ukilinganisha na leo yani kila kitu kimewekwa kirafiki hata kama utapata tatizo au kujua shida unaweza kutambua na kujua.
View attachment 3258353
Rubani ni dereva wa ndege.Gharama ya mafunzo ya Urubani ipo juu na wanaimudu wachache ndiyo maana wanaonekana kama watu special.Hawa ni maofisa usafirishaji wa anga kama walivyo maofisa usafirishaji wa bodaboda au Toyo.
 
Hii hapana kwa udereva mtu yeyote Sawa lakini napo si kwa asilimia zote kwamba mtu yeyote.
Mtu anaweza akawa na status za periodic psychiatric akawa dereva lakini si rubani,dereva anawrza kuwa hata mtu ambaye hajaenda shule darasa la msingi (shule ya msingi ama sekondari) na akawa dereva lakini si rubani.

Rubani anapaswa awe na ufahamu kuhusu jiografia kwa kina lakini si dereva

Mtoto wa JK amepata div 4 ila bado ameenda kusoma urubani
 
Urubani ni sawa sawa na udereva wa gari.

Kama una nia ya kujua.. na school fees unayo ya kulipia chuo mtu yeyote anakuwa rubani.

Kuwa daktari ama engineer ni kazi ngumu kuliko kuwa rubani
Sinswa na udereva wa gari, ina different rules kabisaa na anlot of regulation

Ingekuwa kama udereva wa gari watu wangekuwa wanafundishana hovyo
 
Hii hapana kwa udereva mtu yeyote Sawa lakini napo si kwa asilimia zote kwamba mtu yeyote.
Mtu anaweza akawa na status za periodic psychiatric akawa dereva lakini si rubani,dereva anawrza kuwa hata mtu ambaye hajaenda shule darasa la msingi (shule ya msingi ama sekondari) na akawa dereva lakini si rubani.

Rubani anapaswa awe na ufahamu kuhusu jiografia kwa kina lakini si dereva
Siku hizi yamerahisishwa sana yani una komand ndege kuomba request na ina kwambia kwenye mfumo utakwenda wapi na kiwanja gani.
flight-simulator-trader-successfully-completes-pc-12-simulator-relocation-for-fly7-19165-odf34...jpg
 
Back
Top Bottom