Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Ila turudi nyuma unakumbuka mwarabu alimfanya Nini mwafrika lakini enzi za utumwaAnaye takiwa kuacha mihemko ni ww na huyo kapuku mwenzio mleta mada mnao zusha mambo bila udhibitisho.
Ukitaka kuleta jambo leteni na ushahidi na udhibitisho wa kitaalamu na sio ukisha shiba makande una kuja kuandika uharo wa kuharibu brand za watu.
Je kuna ndugu yako alisha kufa au kuumwa na madakitari wakakwambia kuwa chanzo chake ni bidhaa ya azam?
Ww kama hutaki kutumia bidhaa za Azam acha kwa binafisi yako na sio kuja humu kuchafua brand za watu.
MKUU?Nlishawahi kusoma na kuzungumzia kuhusuana na maziwa ya Azam. Watu wakaja leta ushabiki sana na ushabiki wa kipumbavu tu wa kidini n.k wanaokufa au kuathirika ni hawa hawa maskini. Matajiri hawanunui bidhaa poor kama za Azam.
Ukiangalia juice za maembe za Azam unaweza kuta zipo kama aina mbili moja rangi inakuwa inaenda kwenye weusi nyingine ina mng'ao but pia si pure maembe.
Msikilizeni zaidi jamaa akielezea upande wa Juice za Embe. Mimi kwa sasa natumia Juice ya Ukwaju angalau najua hii hawezi chakachua sana.
Tuambiane tu ukweli... Tusioneane haya kwa misingi ya huyu ni mwenzetu. Products nyingi za Azam ni very poor. Hata hizi Energy drinks za Azam na Mo si za viwango. Zinaharibu sana vijana kwa nguvu za kiume. Hasa boda boda.
View attachment 2505658
View attachment 2506304
Ww unayaona madogo lakini kibiashara ni makubwa sana na yana weza kukugharimu iwapo Azam watakushitaki kwa kuchafua jina la kampuni yao.Bob mbona kama umepaniki sana? Mbona haya ni mambo madogo tu huhitaji kuwa na makasiriko kiasi hicho. Maisha si magumu kama unavyoona ni rahisi sana.... Relaxe please. Cool down
Bidhaa za Azam zina miaka mingapi sokoni ?Mbona POvu sana. Ushahidi upi unataka wakati chupa ya juice ipo hapo? Jamani kwanini hampendi elimu? Ingia google angalia huo mchanganyiko....unaleta kansa ya damu. Hizo kemikali si nzuri. Hii sasa hutaji hata kufika form 4 angalia tu google. Usipaniki maisha si magumu kiasi hicho. Lingine waambie azam waende mahakamani uone watakavyochakazwa na kuharibu zaidi.
Hapa tunaongelea muarabu na utumwa au tunaongelea bidhaa za Azam?Ila turudi nyuma unakumbuka mwarabu alimfanya Nini mwafrika lakini enzi za utumwa
Sawa endelea kuswali. Si jambo baya.MKUU?
MIMI NINA SWALI?
Hata ingekuwa hamsini kama wakiharibu wataambiwa tu. Unauliza maswali ya kipumbavu ambayo hayana msingi.Bidhaa za Azam zina miaka mingapi sokoni ?
Sijaendelea kusoma zaidi, ulivyotaja maziwa ya Azam tu nimeelewa, nashukuru kuwa ninajitambua na sijawahi kunywa hayo maziwa ambayo yamechukuliwa unga wa maziwa imported na kukorogwa. I'm serious kwenye issues za afya kuliko ushabikiNlishawahi kusoma na kuzungumzia kuhusuana na maziwa ya Azam. Watu wakaja leta ushabiki sana na ushabiki wa kipumbavu tu wa kidini n.k wanaokufa au kuathirika ni hawa hawa maskini. Matajiri hawanunui bidhaa poor kama za Azam.
Ukiangalia juice za maembe za Azam unaweza kuta zipo kama aina mbili moja rangi inakuwa inaenda kwenye weusi nyingine ina mng'ao but pia si pure maembe.
Msikilizeni zaidi jamaa akielezea upande wa Juice za Embe. Mimi kwa sasa natumia Juice ya Ukwaju angalau najua hii hawezi chakachua sana.
Tuambiane tu ukweli... Tusioneane haya kwa misingi ya huyu ni mwenzetu. Products nyingi za Azam ni very poor. Hata hizi Energy drinks za Azam na Mo si za viwango. Zinaharibu sana vijana kwa nguvu za kiume. Hasa boda boda.
View attachment 2505658
View attachment 2506304
Akishakuwa na trillions automatically anakuwa na haki ya kutumaliza???Mkuu Azam ungeachana naye maana hutaeleweka... halafu hunA utakachopata. Mtu ana utAjiri wa trillions huko wakati wewe hata milioni mbili cash huna... Unakuja kuleta porojo.....kumhusu.. umekula lakini..
Aseee .... Mbona wewe ndio unaonekana haujielewi!!?? Unataka uthibitisho gani!!?Anaye takiwa kuacha mihemko ni ww na huyo kapuku mwenzio mleta mada mnao zusha mambo bila udhibitisho.
Ukitaka kuleta jambo leteni na ushahidi na udhibitisho wa kitaalamu na sio ukisha shiba makande una kuja kuandika uharo wa kuharibu brand za watu.
Je kuna ndugu yako alisha kufa au kuumwa na madakitari wakakwambia kuwa chanzo chake ni bidhaa ya azam?
Ww kama hutaki kutumia bidhaa za Azam acha kwa binafisi yako na sio kuja humu kuchafua brand za watu.
hapa hakuna imani ila unapoteza muda wako bule bora ukalipoti mahakamani na ushahidi wako mbona ukiwashinda unalamba bingoMaskini wa akili na mali. Huwa mnasaidiwa afya zenu na bado mnashupaza shingo. Haya mambo yanataka wenye akili ndo huelewa. Hebu peleka mahakamani wakashtaki....hawawezi sababu kilichoandikwa ndicho kilichopo na sayansi siyo mihemko inasema hivi. Hapa mambo ya imani tuweke pembeni. Itumike akili tu. Pia usipaniki relax maisha ni rahisi sana.
Ngombe ndo kitu ganiHivi baresa anangombe kweli au
Asas tunajuwa wana ngombe wengi wa maziwa
Ova
nenda mahakamani kuwakomboe wenzio sasa hiyo elimu yako inasaidia nn? hiyo ndio elimu ya mtu mweusi aimsaidii yeye wala jamaa zake wala watu walio mzunguka kazi kulalamika rais analalamika mbunge pia jaji mkuu pia hata watu wakawaida wanalalamika hakuna haja ya kusoma kama ndio hiviUlivyokuwa punguani umekalisha kundu hapo unangoja nchi za Afrika mashariki na kati zije kukusemea kwamba kitu hichi hakina ubora
Kwa hayo mavi uliyobeba hapo kichwani kama habari hii ingeanza kuongelewa rwanda basi ungekuja hapa kuwatoa akili watanzania wenye akili
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
umasikini wa fikila unajenga chuki kwa matajiri vitu vingi vina madhara sigala pombe sumu ya magugu mashambani mbolea miziki mikubwa kila mtaa moshi wa magali moshi wa kuchomelea viuma kwenye majumba ya watu mabaa pombe kila mtaa rushwa kwa watumishi wa umma yeye kamuona azamu tuDuuuh….Mara Azam kafuta channel kwenye visumbuzi vyake…ukigeuka uku Mara juice
Vijana tuna shida gani….kwenye bongo zetu ni wivu Au husda tu.
rostomu azz kwao nzega bukene mkoani tabora huyo muingine kazaliwa mtwala chuki tu lakini kodi zao mnazitakaWe mwarabu koko ebu tulia ujifunze.