luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Shida ni ULIMBUKENI umetawala sana
Mtu ana ng'ang'ania aambiwe eti sababu ya mchezo kusogezwa muda
Wadau wa mpira lzm mtambue kuna fIfa, kuna Tff on top of that kuna MAMLAKA YA NCHI ambayo ipo responsible kwa maswala yote ya nchi yake ..
Na sio lazima serikali ikwambie sababu ya maamuzi yake pale inapobidi
Kwan hao yanga wao wangecheza saa 1usiku wangepungukiwa na nini ?
Mtu ana ng'ang'ania aambiwe eti sababu ya mchezo kusogezwa muda
Wadau wa mpira lzm mtambue kuna fIfa, kuna Tff on top of that kuna MAMLAKA YA NCHI ambayo ipo responsible kwa maswala yote ya nchi yake ..
Na sio lazima serikali ikwambie sababu ya maamuzi yake pale inapobidi
Kwan hao yanga wao wangecheza saa 1usiku wangepungukiwa na nini ?