Uchaguzi 2020 Tuseme ukweli maendeleo yaliyoletwa na CCM siyo ya kubeza. Tukumbushane kisha tuwapigie kura ya ndiyo CCM

Uchaguzi 2020 Tuseme ukweli maendeleo yaliyoletwa na CCM siyo ya kubeza. Tukumbushane kisha tuwapigie kura ya ndiyo CCM

dndagula

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
1,602
Reaction score
1,650
Kipindi hiki cha uchaguzi mengi yanasemwa na baadhi ya watu kuhusu maendeleo madogo yaliyofikiwa, mimi niwa muwazi tu kwamba ukilinganisha na yapata miaka 30 iliyopita tangu tuingie vyama vingi nchi imebadilika hususani kwenye maeneo yafuatayo:

1. Uwepo wa Mtandao wa barabara DSM - Mwanza- Kagera-Lindi-Mtwara.Aidha barabara hadi Mbeya-Rukwa. Bila kusahau Arusha-Babati, Dodoma -Arusha nk vivyo hivyo kwa Zanzibar.

2. Uanzishwaji wa vyuo vikuu na vyuo vya kitaaluma, utafiti na ufundi kikiwemo chuo kikuu Dodoma

3. Ujenzi wa madaraja

4. Uboreshaji sekta za kijamii za elimu, afya na maji

5. Kilimo

6. Teknolojia ya Mawasiliano na Habari

7. Upanuzi wa majeshi yetu na miundo mbinu ya kisasa ya kivita

8. Upanuzi wa viwanja vya ndege na ufufuaji wa shirika letu la ndege

9. Bima ya Afya

10. Uimarishaji wa sekta ya utumishi wa umma kiutendaji, miundo mbonu na kimaadili. Hali Haikuwa hivi. Yapo mabadiliko makubwa ukilinganisha na miaka ya sabini.

11. Kuongeza balozi zetu nje na diplomasia ya uchumi nje ya nchi

Mambo ni mengi hadi kufikia uchumi wa kati. Sikatai kuwa hadi sasa bado changamoto za kijamii na kiuchumi zipo zinahitaji kushughulikiwa.

Maendeleo ni mchakato ila angalau tunapaswa tutathmini kwa kuangalia kiuhalisia bila kutanguliza itikadi au kwa jicho la makengeza.

Hivyo tuwaachie hawa waliopo yaani CCM tuone wanatusaidiaje kwa changamoto zilizpo tusiende kwa mihemko halafu baadaye tena tukajuta.
 
Usisahau pia maendeleo ya watu yamerudi nyuma, hii ni kutokana na sera mbovu, kodi za kila uchao, biashara nyingi zimekufa, watu wamepoteza ajira kwenye mahotel, makampuni n.k
Tujiandae kisaikolojia, tukileta ushabiki tunaenda kudumaa tena kwa uchumi wa mtu mmoja mmoja kwa miaka mingine mi5_kupanga ni kuchagua
 
Hatukatai! Maendeleo yapo kwa kiasi chake. Mkubali basi kuwapisha wengine ili nao waendelee pale mlipoishia. Nongwa iko wapi? Hamtaki kabisa kutuachia nchi yetu! Kuna nini pale Ikulu?
Waachie kina nani?! Nchi haijaribiwi!
 
Anayeiangusha ccm ni magu, kutekana kila siku , haki za wafanyakaz kazipotezea mbali.Mchawi wa ccm ni magu
 
Hivyo ndio vitu vya kujinasibu navyo zaidi ya miaka 55 ya uhuru?

Embu kajifunze Mauritius, Tanzania ni kubwa jinga tu.
Kwa miaka 5,tumepiga hatua kubwa mno. Kwa kazi alizofanya magu Chadema hata robo msingeweza. Si ajabu mngeshauza hii nchi kwa mabeberu.
 
Anayeiangusha ccm ni magu, kutekana kila siku , haki za wafanyakaz kazipotezea mbali.Mchawi wa ccm ni magu
Magu ni Rais bora kabisa kuwahi Kutokea Tanzania. Nchi hii inahitajika viongozi kama magu wakutosha.
 
Kwa miaka 5,tumepiga hatua kubwa mno. Kwa kazi alizofanya magu Chadema hata robo msingeweza. Si ajabu mngeshauza hii nchi kwa mabeberu.
Una uhakika gani CHADEMA isingeliweza?
Na ni hatua gani hizo kubwa Tanzania ilizopiga?

Yani najuta sana kuzaliwa Tanzania mimi siko proud kabisa.
 
Wapo wajinga wengi ila usijute kuzaliwa nchini mwako.
Una uhakika gani CHADEMA isingeliweza?
Na ni hatua gani hizo kubwa Tanzania ilizopiga?

Yani najuta sana kuzaliwa Tanzania mimi siko proud kabisa.
 
Hivi kwanini mnapenda kuandika UONGO?

2521895_EbENcn5X0Aw70n1.jpg



Kipindi hiki cha uchaguzi mengi yanasemwa na baadhi ya watu kuhusu maendeleo madogo yaliyofikiwa, mimi niwa muwazi tu kwamba ukilinganisha na yapata miaka 30 iliyopita tangu tuingie vyama vingi nchi imebadilika hususani kwenye maeneo yafuatayo:

1. Uwepo wa Mtandao wa barabara Dsm - Mwanza- Kagera-Lindi-Mtwara.Aidha barabara hadi Mbeya-Rukwa. Bila kusahau Arusha-Babati, Dodoma -Arusha nk vivyo hivyo kwa Zanzibar.

2. Uanzishwaji wa vyuo vikuu na vyuo vya kitaaluma, utafiti na ufundi kikiwemo chuo kikuu Dodoma

3. Ujenzi wa madaraja

4. Uboreshaji sekta za kijamii za elimu, afya na maji

5. Kilimo

6. Teknolojia ya Mawasiliano na Habari

7. Upanuzi wa majeshi yetu na miundo mbinu ya kisasa ya kivita

8. Upanuzi wa viwanja vya ndege na ufufuaji wa shirika letu la ndege

9. Bima ya Afya

10. Uimarishaji wa sekta ya utumishi wa umma kiutendaji, miundo mbonu na kimaadili. Hali Haikuwa hivi. Yapo mabadiliko makubwa ukilinganisha na miaka ya sabini.

11. Kuongeza balozi zetu nje na diplomasia ya uchumi nje ya nchi

Mambo ni mengi hadi kufikia uchumi wa kati. Sikatai kuwa hadi sasa bado changamoto za kijamii na kiuchumi zipo zinahitaji kushughulikiwa.

Maendeleo ni mchakato ila angalau tunapaswa tutathmini kwa kuangalia kiuhalisia bila kutanguliza itikadi au kwa jicho la makengeza.

Hivyo tuwaachie hawa waliopo yaani CCM tuone wanatusaidiaje kwa changamoto zilizpo tusiende kwa mihemko halafu baadaye tena tukajuta.
 
Hivyo ndio vitu vya kujinasibu navyo zaidi ya miaka 55 ya uhuru?

Embu kajifunze Mauritius, Tanzania ni kubwa jinga tu.
Ndiyo ni sahihi kujinasibu kwa miaka 50 ya Uhuru, katika mazingira ya ukoloni mamboleo.

Yaliyoshindikana katika miaka uliyotaja yamewezekana katika miaka 5 ya Rais aliyethubutu na kutekeleza. Mgombea wa CHADEMA anataka kuirudisha nchi kwenye uchumi tegemezi.

Katika Ilani yake Serikali ya CHADEMA imedhamiria Kujenga, kuimarisha na kusimamia uchumi wa kitanzania kwa kuwawezesha Watanzania kuwekeza kwa njia ya ubia na hisa na wawekezaji wenye mitaji mikubwa..

Sera hiyo ina maana ya kuruhusu umilikishwaji wa njia kuu za uchumi kwa watu wenye mitaji mikubwa, ambao ni wasio wazawa. Mazingira ya uchumi wa dunia ni ngumu kuwepo kwa ubia kati ya asiyekuwa nacho na aliyenacho. Pia juhudi za Serikali ya Awamu ya kujenga uchumi usio tegemezi zitakuwa bure. Hii itaongeza tabaka la walio nacho na wasio nacho kama ilivyo Kenya.
 
Kipindi hiki cha uchaguzi mengi yanasemwa na baadhi ya watu kuhusu maendeleo madogo yaliyofikiwa, mimi niwa muwazi tu kwamba ukilinganisha na yapata miaka 30 iliyopita tangu tuingie vyama vingi nchi imebadilika hususani kwenye maeneo yafuatayo:

1. Uwepo wa Mtandao wa barabara Dsm - Mwanza- Kagera-Lindi-Mtwara.Aidha barabara hadi Mbeya-Rukwa. Bila kusahau Arusha-Babati, Dodoma -Arusha nk vivyo hivyo kwa Zanzibar.

2. Uanzishwaji wa vyuo vikuu na vyuo vya kitaaluma, utafiti na ufundi kikiwemo chuo kikuu Dodoma

3. Ujenzi wa madaraja

4. Uboreshaji sekta za kijamii za elimu, afya na maji

5. Kilimo

6. Teknolojia ya Mawasiliano na Habari

7. Upanuzi wa majeshi yetu na miundo mbinu ya kisasa ya kivita

8. Upanuzi wa viwanja vya ndege na ufufuaji wa shirika letu la ndege

9. Bima ya Afya

10. Uimarishaji wa sekta ya utumishi wa umma kiutendaji, miundo mbonu na kimaadili. Hali Haikuwa hivi. Yapo mabadiliko makubwa ukilinganisha na miaka ya sabini.

11. Kuongeza balozi zetu nje na diplomasia ya uchumi nje ya nchi

Mambo ni mengi hadi kufikia uchumi wa kati. Sikatai kuwa hadi sasa bado changamoto za kijamii na kiuchumi zipo zinahitaji kushughulikiwa.

Maendeleo ni mchakato ila angalau tunapaswa tutathmini kwa kuangalia kiuhalisia bila kutanguliza itikadi au kwa jicho la makengeza.

Hivyo tuwaachie hawa waliopo yaani CCM tuone wanatusaidiaje kwa changamoto zilizpo tusiende kwa mihemko halafu baadaye tena tukajuta.
Maendeleo hata kama yapo tunachotaka
Tuwe huru katika nchi yetu,sio kupelekwa kama mang'ombe,mwananchi haruhusiwi kuhoji lolote,ukihoji unabambikiwa kesi au una uwawa,alafu pia tuwekwe wazi kwenye miradi ya serikali sio tunaambia ndege zimenunuliwa lkn hatujui kwa bajeti ipi na zinatupa faida gani,tumefutiwa kutazama bonge live na wakati walipa kodi ni sisi hivi Rais anauchungu na kodi zetu zaidi yetu,Luna watendaji walio waadilifu wanaondolewa na wakati wanatetea masilahi ya nchi kama vile,aliekuwa CAG,Mussa Hassad alikuwa amekosea nini mpaka aondolewe,maendeleo yasio na faida na sisi wananchi hayana faida kwetu.
 
Kwa miaka 5,tumepiga hatua kubwa mno. Kwa kazi alizofanya magu Chadema hata robo msingeweza. Si ajabu mngeshauza hii nchi kwa mabeberu.
Ukitaka kujua IQ ya mtu angalia anachoongea na anachoandika,kwa kweli wewe unatia huruma sana hujui usemalo
 
Ndiyo ni sahihi kujinasibu kwa miaka 50 ya Uhuru, katika mazingira ya ukoloni mamboleo.

Yaliyoshindikana katika miaka uliyotaja yamewezekana katika miaka 5 ya Rais aliyethubutu na kutekeleza. Mgombea wa CHADEMA anataka kuirudisha nchi kwenye uchumi tegemezi.

Katika Ilani yake Serikali ya CHADEMA imedhamiria Kujenga, kuimarisha na kusimamia uchumi wa kitanzania kwa kuwawezesha Watanzania kuwekeza kwa njia ya ubia na hisa na wawekezaji wenye mitaji mikubwa..

Sera hiyo ina maana ya kuruhusu umilikishwaji wa njia kuu za uchumi kwa watu wenye mitaji mikubwa, ambao ni wasio wazawa. Mazingira ya uchumi wa dunia ni ngumu kuwepo kwa ubia kati ya asiyekuwa nacho na aliyenacho. Pia juhudi za Serikali ya Awamu ya kujenga uchumi usio tegemezi zitakuwa bure. Hii itaongeza tabaka la walio nacho na wasio nacho kama ilivyo Kenya.
Kenya is another thing usiilinganishe hata kidogo na nchi kama Tanzania.

Serikali ya CCM kwa miaka zaidi ya 55 imeshindwa kufanya lolote la maana kwenye nchi hii.
Bado inapiga kampeni za kujenga Zahanati, Vituo vya afya, hospital za mikoa na wilaya, ujenzi wa barabara, ujenzi wa shule n.k kwa miaka 55 in a row!

Hii ni serikali ya kipuuzi kabisa, nchi kama Malaysia ni kosa kupiga kampeni za namna hii kwa sababu walishatoka kwenye huu ujinga.
Tunajua sote mtaji wa CCM ni wajinga wengi walioko Tanzania siku wakiisha hii nchi itabadilika.
 
Wapo wajinga wengi ila usijute kuzaliwa nchini mwako.
Najuta sana kuzaliwa Tanzania, mimi nimemaliza darasa la saba mwaka 89 nilibahatika kufika Afrika ya Kusini mwaka 91 naandika kwa masikitiko makubwa mno kuwa "Tanzania ni nchi yenye wajinga wengi" na katu haitoendelea ni kubwa jinga.

Sisi tulipaswa kuwa zaidi ya Afrika ya Kusini!
 
Kipindi hiki cha uchaguzi mengi yanasemwa na baadhi ya watu kuhusu maendeleo madogo yaliyofikiwa, mimi niwa muwazi tu kwamba ukilinganisha na yapata miaka 30 iliyopita tangu tuingie vyama vingi nchi imebadilika hususani kwenye maeneo yafuatayo:

1. Uwepo wa Mtandao wa barabara DSM - Mwanza- Kagera-Lindi-Mtwara.Aidha barabara hadi Mbeya-Rukwa. Bila kusahau Arusha-Babati, Dodoma -Arusha nk vivyo hivyo kwa Zanzibar.

2. Uanzishwaji wa vyuo vikuu na vyuo vya kitaaluma, utafiti na ufundi kikiwemo chuo kikuu Dodoma

3. Ujenzi wa madaraja

4. Uboreshaji sekta za kijamii za elimu, afya na maji

5. Kilimo

6. Teknolojia ya Mawasiliano na Habari

7. Upanuzi wa majeshi yetu na miundo mbinu ya kisasa ya kivita

8. Upanuzi wa viwanja vya ndege na ufufuaji wa shirika letu la ndege

9. Bima ya Afya

10. Uimarishaji wa sekta ya utumishi wa umma kiutendaji, miundo mbonu na kimaadili. Hali Haikuwa hivi. Yapo mabadiliko makubwa ukilinganisha na miaka ya sabini.

11. Kuongeza balozi zetu nje na diplomasia ya uchumi nje ya nchi

Mambo ni mengi hadi kufikia uchumi wa kati. Sikatai kuwa hadi sasa bado changamoto za kijamii na kiuchumi zipo zinahitaji kushughulikiwa.

Maendeleo ni mchakato ila angalau tunapaswa tutathmini kwa kuangalia kiuhalisia bila kutanguliza itikadi au kwa jicho la makengeza.

Hivyo tuwaachie hawa waliopo yaani CCM tuone wanatusaidiaje kwa changamoto zilizpo tusiende kwa mihemko halafu baadaye tena tukajuta.

Hata watetezi wa KANU ya kenya walikuwa na mashairi mazuri ya utetezi kama huu wako, lakini leo hii wamepigwa pembeni, na Kenya ina uchumi mzuri kuliko sisi tulioongozwa na chama kimoja muda wote. Ccm sio chama cha kizazi hiki, kikae pembeni kiachie vyama vingine, hivyo vikichemsha tutairudisha ccm. Ww mleta uzi lazima utakuwa ni mzee, ndio maana unaleta ushauri wa hofu za kizee.
 
Back
Top Bottom