Nshomile wa Muleba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,166
- 5,620
- Thread starter
-
- #21
Jana yanga kacheza friendly match na DTB kampiga 3 bila unataka kila kitu tutanganzeKajipanga kwenye nini? Maana kama ni maandalizi ya kikosi/timu Yanga kaachwa mbali sana maana mpaka wachezaji wapate fitness na muunganiko, tayari Simba watakuwa wako mbali maana mpaka sasa wametumia muda mwingi kutengeneza timu kwa mazoezi na mechi za majaribio. Sasa sijui huko kujipanga kwa Yanga kupo kwenye nyanja ipi hasa?
Tukutane uwanjani. Kelele na muziki vitafahamika.wadau habari?
naenda straight to the point ,kwa tathmini ya haraka haraka nki-compare kupitia chambuzi ,news and updates na sports club official apps and pages kati ya Simba na Yanga ,inaonekana dhahiri shahiri kuwa yanga wamejipanga haswa.
sina shaka na wao kunyakua ubigwa wao msimu huu utakaoanza hivi karibuni ,ukiaachilia mbali haji manara kutua klabuni apo.
Kama nakosea mtanikosoa but this is true guys !!!
kama mnanibishiaa save huu uzi mtanikumbuka mwakan mwez wa 5
View attachment 1910833
nakuonea huruma sana mkuu.Sio wachezaji tu hata mashabiki tumepoa unajua kwanini? Tumegundua sisi ni team bora acha vitendo viongee.
manara anacheza no. ngap hapo UTOPOLONI?sikutanii , nina source ya habari kutoka ndani ya simba ,unaambiwa wachezaji wamepoaa sanaa ,chama hayupo micqquison hayupo wamekuwa wanyonge sanaaa
Tumecheza jana ..Mmejipanga wakati hadi sasa hamjacheza mech hata moja ya mazoez ?
Kama ubingwa ni ule wa mapinduzi ila ligi kuu mtabaki kushiriki tu, na team hii hata hilo la mapinduzi mtalisikia redioni tumkuu Yanga kwa upepo huu anachukua ubingwa , save uzi huu
Shake your head at optimum at try guessing ....Could you declare your interest first
Tukutane uwanjani.sikutanii , nina source ya habari kutoka ndani ya simba ,unaambiwa wachezaji wamepoaa sanaa ,chama hayupo micqquison hayupo wamekuwa wanyonge sanaaa
Very simple mkuu, kabla ya ujio wa Chama msimu uliokuwa nyuma yake Simba alikuwa bingwa, kabla ya ujio wa Kondeboy Simba alikuwa bingwa, Kwa maana hiyo kutoka kwao pia, Simba BDO atazidi kuwa bingwa...Simba huwa inatengeneza mchezaji mkubwa yenyewe, mwisho wa msimu uniulize Hilo swali tena.nyinyi mna nani ?
baadaya chama na micqquison kuondoka??
ntajie mtu mwenye uwezo wa kuziba hizo pengo 2
waliobaki n makolo
Mechi imefanyika uwanja gani?Jana yanga kacheza friendly match na DTB kampiga 3 bila unataka kila kitu tutanganze
Bumbuli kathibitisha kama nani?Tumecheza jana ..
bumbuli amelithibitisha hilo leo kwenye sport extra ya EFM na tumechapa mtu 3 kwa nyoko
Timu kubwa haitangazi vitu kama hvyoo
tunawaachia makolo
baada ya hii comment nimekuona unashida mahali wewe.sikutanii , nina source ya habari kutoka ndani ya simba ,unaambiwa wachezaji wamepoaa sanaa ,chama hayupo micqquison hayupo wamekuwa wanyonge sanaaa
Kumbe wewe sio mchambuzi ni shabiki kama mm ulichokiandika upo sahihi mkuu hivyo ndo mashabiki huwa kila mwamba ngoma ngozi huvutia kwake your right with no doubtShake your head at optimum at try guessing ....
DTB? una mechi ya klabu bingwa unajipima na DTBJana yanga kacheza friendly match na DTB kampiga 3 bila unataka kila kitu tutanganze
Sioni future tena Simba ....Very simple mkuu, kabla ya ujio wa Chama msimu uliokuwa nyuma yake Simba alikuwa bingwa, kabla ya ujio wa Kondeboy Simba alikuwa bingwa, Kwa maana hiyo kutoka kwao pia, Simba BDO atazidi kuwa bingwa...Simba huwa inatengeneza mchezaji mkubwa yenyewe, mwisho wa msimu uniulize Hilo swali tena.
shda gani?baada ya hii comment nimekuona unashida mahali wewe.
daaahSioni future tena Simba ....
nambie mechi 2 ambazo chama hakucheza halafu team ikaperform kwa level zilezile
ngoja simba day tuone hyo friendly madudu mtakayotuonyeshe
Acha kujitoa ufahamu ww timu zote duniani zinaendeshwa na watu ktk hao watu kunakua na mtu au watu ambao wana nguvu na sauti ya kufanya jambo na ndio maana ata yanga walipita wengi akaja manji kuna mtu aliekua anafanya vyoko kwa manji ,nan anaefanya lolote yanga zaid ya gharib si mulijiita wananchi kisa bakuli leo kiko wap wote upo kwa gharib wa gsm huo ujasir wa kuiita simba timu ya mwarabu unautoa wap ikiwa ata ww unamilikiwa na makoko hao hao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaah eti tunarekodi ngwasuma
mkuu unazingua
Hii ni Yanga This is Yanga Timu ya wananchi cyo timu ya mwaarabu koko na hawara yake
Anajitoa ufahamu huyo..........Acha kujitoa ufahamu ww timu zote duniani zinaendeshwa na watu ktk hao watu kunakua na mtu au watu ambao wana nguvu na sauti ya kufanya jambo na ndio maana ata yanga walipita wengi akaja manji kuna mtu aliekua anafanya vyoko kwa manji ,nan anaefanya lolote yanga zaid ya gharib si mulijiita wananchi kisa bakuli leo kiko wap wote upo kwa gharib wa gsm huo ujasir wa kuiita simba timu ya mwarabu unautoa wap ikiwa ata ww unamilikiwa na makoko hao hao