Tuseme ukweli: Msimu huu Yanga kajipanga kuliko Simba

Tuseme ukweli: Msimu huu Yanga kajipanga kuliko Simba

Kajipanga kwenye nini? Maana kama ni maandalizi ya kikosi/timu Yanga kaachwa mbali sana maana mpaka wachezaji wapate fitness na muunganiko, tayari Simba watakuwa wako mbali maana mpaka sasa wametumia muda mwingi kutengeneza timu kwa mazoezi na mechi za majaribio. Sasa sijui huko kujipanga kwa Yanga kupo kwenye nyanja ipi hasa?
Jana yanga kacheza friendly match na DTB kampiga 3 bila unataka kila kitu tutanganze
 
wadau habari?

naenda straight to the point ,kwa tathmini ya haraka haraka nki-compare kupitia chambuzi ,news and updates na sports club official apps and pages kati ya Simba na Yanga ,inaonekana dhahiri shahiri kuwa yanga wamejipanga haswa.

sina shaka na wao kunyakua ubigwa wao msimu huu utakaoanza hivi karibuni ,ukiaachilia mbali haji manara kutua klabuni apo.

Kama nakosea mtanikosoa but this is true guys !!!

kama mnanibishiaa save huu uzi mtanikumbuka mwakan mwez wa 5
View attachment 1910833
Tukutane uwanjani. Kelele na muziki vitafahamika.
 
Sio wachezaji tu hata mashabiki tumepoa unajua kwanini? Tumegundua sisi ni team bora acha vitendo viongee.
nakuonea huruma sana mkuu.

njoo ushuhudie pira la kibrazil cyo mpira wa makoro

Yani mshajua kuwa msimu huu amna chenu

huu mwaka wa yanga banaaa
 
Mmejipanga wakati hadi sasa hamjacheza mech hata moja ya mazoez ?
Tumecheza jana ..

bumbuli amelithibitisha hilo leo kwenye sport extra ya EFM na tumechapa mtu 3 kwa nyoko

Timu kubwa haitangazi vitu kama hvyoo

tunawaachia makolo
 
nyinyi mna nani ?

baadaya chama na micqquison kuondoka??

ntajie mtu mwenye uwezo wa kuziba hizo pengo 2

waliobaki n makolo
Very simple mkuu, kabla ya ujio wa Chama msimu uliokuwa nyuma yake Simba alikuwa bingwa, kabla ya ujio wa Kondeboy Simba alikuwa bingwa, Kwa maana hiyo kutoka kwao pia, Simba BDO atazidi kuwa bingwa...Simba huwa inatengeneza mchezaji mkubwa yenyewe, mwisho wa msimu uniulize Hilo swali tena.
 
Tumecheza jana ..

bumbuli amelithibitisha hilo leo kwenye sport extra ya EFM na tumechapa mtu 3 kwa nyoko

Timu kubwa haitangazi vitu kama hvyoo

tunawaachia makolo
Bumbuli kathibitisha kama nani?

Msemaji wa club?

Timu kubwa haitangazi vitu vya hovyo, ila iliitisha press kwa ajili ya kuzindua kalenda
 
Very simple mkuu, kabla ya ujio wa Chama msimu uliokuwa nyuma yake Simba alikuwa bingwa, kabla ya ujio wa Kondeboy Simba alikuwa bingwa, Kwa maana hiyo kutoka kwao pia, Simba BDO atazidi kuwa bingwa...Simba huwa inatengeneza mchezaji mkubwa yenyewe, mwisho wa msimu uniulize Hilo swali tena.
Sioni future tena Simba ....

nambie mechi 2 ambazo chama hakucheza halafu team ikaperform kwa level zilezile

ngoja simba day tuone hyo friendly madudu mtakayotuonyeshe
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaah eti tunarekodi ngwasuma

mkuu unazingua

Hii ni Yanga This is Yanga Timu ya wananchi cyo timu ya mwaarabu koko na hawara yake
Acha kujitoa ufahamu ww timu zote duniani zinaendeshwa na watu ktk hao watu kunakua na mtu au watu ambao wana nguvu na sauti ya kufanya jambo na ndio maana ata yanga walipita wengi akaja manji kuna mtu aliekua anafanya vyoko kwa manji ,nan anaefanya lolote yanga zaid ya gharib si mulijiita wananchi kisa bakuli leo kiko wap wote upo kwa gharib wa gsm huo ujasir wa kuiita simba timu ya mwarabu unautoa wap ikiwa ata ww unamilikiwa na makoko hao hao
 
Acha kujitoa ufahamu ww timu zote duniani zinaendeshwa na watu ktk hao watu kunakua na mtu au watu ambao wana nguvu na sauti ya kufanya jambo na ndio maana ata yanga walipita wengi akaja manji kuna mtu aliekua anafanya vyoko kwa manji ,nan anaefanya lolote yanga zaid ya gharib si mulijiita wananchi kisa bakuli leo kiko wap wote upo kwa gharib wa gsm huo ujasir wa kuiita simba timu ya mwarabu unautoa wap ikiwa ata ww unamilikiwa na makoko hao hao
Anajitoa ufahamu huyo..........
 
Back
Top Bottom