Nshomile wa Muleba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,166
- 5,620
- Thread starter
-
- #101
kamwe mwanaume hatolala na njaa ila atachelewa kula.nilijua hautofika mbali. uzi umekuelemea
Kwani wana habari hiyo tena? Wamempata zeruzeru basi inatoshaHivi mnacheza lini na river utd?
Kwa kipi we kenge maji?..nyie mshafanywa mizukuleya GSMna hamna ujanja, mara ya kwanza kawadanganya anamleta CHAMA mkakesha mkipost JEZI NAMBA 17, Nugaz akatoka na kusema mkikosa ubingwa muwaulize wao yeye na akina GSM wanaume tukabeba, juzi mmepeleka kesi CAS matokeo tar 24, tar 24 inaitishwa PRESS labda waseme kuhusu Morrison wanamtambulisha SOPE na nyie mkasahaulishwa juu ya CAS hamjakaa vzr mkapewa safari ya MOROCO walipoenda wanaume, mmekaa kambi siku 6 sijui hataechi ya kirafiki hamna mmerudi halafu unajinadi kushindana na mwanaume SSC sheeeenz subir uone damu ya bleed itakavyowatoka kabla ya mwisho wa mwezi kengepori nyie...nyie ni MAZWAZWA.kamwe mwanaume hatolala na njaa ila atachelewa kula.
uzi mwepesi huu mnaweza kubisha sanaa ila ukweli upo tu
Syo ushabiki bali ni uhalisia
simba hana mobility ya kunyanyua kombe msimu huu
Na CAS wamesahauKwani wana habari hiyo tena? Wamempata zeruzeru basi inatosha
Isnt easy as that brah..labda simb ijitoe kwenye ligiLet's go Dar es Salaam Young African
Here to win everything this season
I accept your opinionIsnt easy as that brah..labda simb ijitoe kwenye ligi
Wanajitekenya na kucheka wenyeweHata mimi nikashangaa!,hata wachambuzi wa soka wanaozusha propaganda za uongo kwa Simba wanazungumza hili jambo unalosema mleta mada.
Kwahiyo yanga mnaamini manara ndio analeta mataji jangwani?wadau habari?
naenda straight to the point ,kwa tathmini ya haraka haraka nki-compare kupitia chambuzi ,news and updates na sports club official apps and pages kati ya Simba na Yanga ,inaonekana dhahiri shahiri kuwa yanga wamejipanga haswa.
sina shaka na wao kunyakua ubigwa wao msimu huu utakaoanza hivi karibuni ,ukiaachilia mbali haji manara kutua klabuni apo.
Kama nakosea mtanikosoa but this is true guys !!!
kama mnanibishiaa save huu uzi mtanikumbuka mwakan mwez wa 5
View attachment 1910833
hakika umenena vyemaKwa kumsajili Haji Manara au wale wacheza ndombolo ndo umeona wamejipanga, ngoja nikukumbushe, Simba ilipomsajili B.M, nyie mkamsajili Senzo, mkasema amekuja na Siri ya ushindi, lkn.... Huku Simba wakambeba B.M akaisaidia kuchukua makombe Mawili, Senzo akashinda kombe la mapinduzi, SASA basi Manara alifukuzwa Simba, ina maana tayari hakuwa na impact yoyote tofauti na kupiga domo, ndo useme mmejipanga? Wenzao SAA hizi Wana Kula tizi wao Wana promote jezi, Kwa hiyo jezi ndo litacheza?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwaka jana baada ya kumchukua Senzo mlikuja na ngonjera hizi huku mkishinda Airport na Machera kuwabeba akina Kalinyo.
Mwaka huuu mmmembeba Manara hamtaki kufanya Preason prep, mnashinda Studio kurekodi Jingoz za Papaaa Ngwasuma ujio wa Koffiii halafu Mnabwabwaja ooooh Mwaka huu Utopolo blaaaa blaaaaa kuliko Thimba!
Amkeni kumekucha, Senzo na Manara na hao wapaka PICCO wenu Ndombolo ya Sollo si kitu wala Lolote kwa Kanoute na SAKHO et al time will tell. Wacongo watamezwa na starehe za Kibongo fastaaaa hasa yule beki wenu Bangala ni Mlevi zaidi ya MALIMI BUSUNGU[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]DTB? una mechi ya klabu bingwa unajipima na DTB
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Chupi MPYA tako la ZAMANI.
Ur welcomeI accept your opinion
Kagame tupu imewatoa jashoNyumba inayovuja,hujulikana masika.
Tusubiri mechi za Club Bingwa.
Kujipanga kunaanza ndipo kuje kushindaMmejipangaje hamjaanza kushinda? Tusubri ligi ianze alie jipanga atajitenga na wenzake.
Jezi wanapromot wachezaji? We we nae!!Kwa kumsajili Haji Manara au wale wacheza ndombolo ndo umeona wamejipanga, ngoja nikukumbushe, Simba ilipomsajili B.M, nyie mkamsajili Senzo, mkasema amekuja na Siri ya ushindi, lkn.... Huku Simba wakambeba B.M akaisaidia kuchukua makombe Mawili, Senzo akashinda kombe la mapinduzi, SASA basi Manara alifukuzwa Simba, ina maana tayari hakuwa na impact yoyote tofauti na kupiga domo, ndo useme mmejipanga? Wenzao SAA hizi Wana Kula tizi wao Wana promote jezi, Kwa hiyo jezi ndo litacheza?