Tuseme ukweli: Msimu huu Yanga kajipanga kuliko Simba

Tuseme ukweli: Msimu huu Yanga kajipanga kuliko Simba

wadau habari?

naenda straight to the point ,kwa tathmini ya haraka haraka nki-compare kupitia chambuzi ,news and updates na sports club official apps and pages kati ya Simba na Yanga ,inaonekana dhahiri shahiri kuwa yanga wamejipanga haswa.

sina shaka na wao kunyakua ubigwa wao msimu huu utakaoanza hivi karibuni ,ukiaachilia mbali haji manara kutua klabuni apo.

Kama nakosea mtanikosoa but this is true guys !!!

kama mnanibishiaa save huu uzi mtanikumbuka mwakan mwez wa 5
View attachment 1910833
MIMI NAONA KAJIPANGA ZAIDI YA PSG NA WAPANGAJI WENZAKE WOTE PALE CONGO DRC [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
ukiwasikiliza mashabiki wa utopolo mpaka wachezji wao utacheka sana, jana nimesoma mwanaspoti wamemhoji Nchimbi anasema kipa wa yanga wanapata shida kumfunga hivi mchezaji kama Nchimbi msimu mzima anafunga goli moja ndio kipimo cha kujua kama kipa anafungika au la
 
ukiwasikiliza mashabiki wa utopolo mpaka wachezji wao utacheka sana, jana nimesoma mwanaspoti wamemhoji Nchimbi anasema kipa wa yanga wanapata shida kumfunga hivi mchezaji kama Nchimbi msimu mzima anafunga goli moja ndio kipimo cha kujua kama kipa anafungika au la
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
ukiwasikiliza mashabiki wa utopolo mpaka wachezji wao utacheka sana, jana nimesoma mwanaspoti wamemhoji Nchimbi anasema kipa wa yanga wanapata shida kumfunga hivi mchezaji kama Nchimbi msimu mzima anafunga goli moja ndio kipimo cha kujua kama kipa anafungika au la
mm ni shabiki wa yanga ila daah apa nchimbi katudanganya jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
wadau habari?

naenda straight to the point ,kwa tathmini ya haraka haraka nki-compare kupitia chambuzi ,news and updates na sports club official apps and pages kati ya Simba na Yanga ,inaonekana dhahiri shahiri kuwa yanga wamejipanga haswa.

sina shaka na wao kunyakua ubigwa wao msimu huu utakaoanza hivi karibuni ,ukiaachilia mbali haji manara kutua klabuni apo.

Kama nakosea mtanikosoa but this is true guys !!!

kama mnanibishiaa save huu uzi mtanikumbuka mwakan mwez wa 5
View attachment 1910833
KWENDA MOROCCO KWA SIKU CHACHE, KUTOCHEZA MECHI HATA MOJA AKIWA HUKO. KURUDI KWA MAFUNGU. Ndio kujipanga kwenyewe huko?
 
Kajipanga kwenye nini? Maana kama ni maandalizi ya kikosi/timu Yanga kaachwa mbali sana maana mpaka wachezaji wapate fitness na muunganiko, tayari Simba watakuwa wako mbali maana mpaka sasa wametumia muda mwingi kutengeneza timu kwa mazoezi na mechi za majaribio. Sasa sijui huko kujipanga kwa Yanga kupo kwenye nyanja ipi hasa?
Pumba nyingi bt ukiwa geto kuna kasauti kanakwambia yanga kiukweli msmu huu wako poa sn na kolo united si wakati wao huu
JamiiForums-739198275.jpg
 
Mmejipanga wakati hadi sasa hamjacheza mech hata moja ya mazoez ?
Hayo hatutaki kujua nyie chezeni hzo ndondo tu kwani nyie mmecheza mechi ngapi si 2 tu tena ya pili wachezaji wengne hawakuwepo kwahiyo hzo ndondo 2 ndo znakufanya uamini kolo united ni bora kuliko yanga eti
IMG_20210825_213813.jpg
 
manara anacheza no. ngap hapo UTOPOLONI?

hivi unafahamu kuwa simba anashika nafasi ya 14 katka ranking ya caf?
Kwahiyo? Ni swala la muda tu hiyo nafasi na ya juu zaidi itatukuta mbele kwa mbele sisi tunapambana nyie kalieni kelele za nafasi ya 14
JamiiForums-739198275.jpg
 
Kama ubingwa ni ule wa mapinduzi ila ligi kuu mtabaki kushiriki tu, na team hii hata hilo la mapinduzi mtalisikia redioni tu

Afu kocha kaomba kupewa miezi mitatu ili kupata muunganiko wa timu maana kasajiliwa unwanted and unqualified players.
Kolo huyoo kwny ubora wako haya tumekuskia mr kolo united
FB_IMG_16299678976589426.jpg
 
Very simple mkuu, kabla ya ujio wa Chama msimu uliokuwa nyuma yake Simba alikuwa bingwa, kabla ya ujio wa Kondeboy Simba alikuwa bingwa, Kwa maana hiyo kutoka kwao pia, Simba BDO atazidi kuwa bingwa...Simba huwa inatengeneza mchezaji mkubwa yenyewe, mwisho wa msimu uniulize Hilo swali tena.
Na bado makolo nyie ni swala la muda leo makolo united ndo kusema bila chama mnaweza wafunga ruvu shooting au prisons haya tunawasubiri
IMG_20210826_102448.jpg
 
Bumbuli kathibitisha kama nani?

Msemaji wa club?

Timu kubwa haitangazi vitu vya hovyo, ila iliitisha press kwa ajili ya kuzindua kalenda
Kama hii timu kubwa mwamed alipoitisha conference akasema leo kaweka bil 20 wkt kashika fake cheque na mambumbu mkashangilia
JamiiForums-739198275.jpg
 
Umeanzisha mada nikajua unaweza kuihimili. Lete hoja tujadili,upuuzi mmpelekee mama yako jioni ukirudi kula ugali wa bure
Kolo acha hasira maana hukaa kifuani mwa mpumbavu kolo jifunze kuwa na hekima bhana kolo ww


Mnavyotuitaga utopolo hata kwny mambo yenye hoja huwa mmelewa umbumbu au

Kolo ww
Jinga jinga
JamiiForums-739198275.jpg
 
Back
Top Bottom