Tuseme ukweli: Msimu huu Yanga kajipanga kuliko Simba

Sisi tunataka VIKOMBE na UBINGWA we mamako akitongozwa na Mo atakataa??..kwa mama mbali wewe mwenyewe Mo akitaka mzigo hutoi?
Kolo acha jazba we unataman kuchumbiwa uolewe na mwananchi ila unakuwa na hasira legeza sauti hiyo upate mume
 
Wanaume tumetulia tupo zetu Moroco MAKAHABA MNA KAZI YA KUZUNGUKA MEDIA na kubwabwaja tuu...sisi siyo levo zenu makima nyie
Hakuna mwanaume mwny mdomo kama wako bs utakuwa bwabwa sa legeza tako hilo upate basha la kiananchi
 
Nimegundua kwenye huu uzi kuna utoto mwingi sana hasa kwa mleta mada.
Mleta mada anadai kambi ya simba imepoa sana hasa baada ya chama na miquissone kuondoka.
Hivi kabla ya hao akina chama na miquissone simba ilikuwa haipo? Au baada ya manara kuondoka simba itakufa?
Baada ya akina chama na miquissone kuondoka wachezaji wa simba hawana miguu?
Kweli common sense is not common to all.
Kuwa shabiki wa utopolo ni mzigo
 
Bado ni mapema sana kuzungumzia ilo, tuwe na subira tutajua mbivu na mbichi ligi ikianza.
 
Ushahidi unaonesha nini?
Unaonesha kwba mfano wa hundi si lazima uandikwe jina la Benki kama ambavyo UTOPOLO wanaaminishwa kwamba hela haijawekwa kwa sababu hilo bango halina jina la BENKI.
 
Unaonesha kwba mfano wa hundi si lazima uandikwe jina la Benki kama ambavyo UTOPOLO wanaaminishwa kwamba hela haijawekwa kwa sababu hilo bango halina jina la BENKI.
Sawa nadhani wamekuelewa
 
Vipi Mzee wa “nki compare” umeona dalili ya Mnvua ni mawingu,hii ndiyo Yanga sasa tunayoifahamu sote
 
Kapumbu kapiga teke sinia la ubwabwa vip mod huu uzi tunaufuta au tuna hide 😁😁😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…