Tuseme ukweli: Wanawake wengi huwa wanatamani Sherehe na sio Maisha ya Ndoa

Ha ha ha ha 🤣

Umepiga kwenye uvimbe wa JINO....
 
Hii thread itageuka na kuwa kama ile ya "kutafuna vibint vidogo" kuna watu walicomment mule mpaka wengne wakaripot kwa admin. Wadada waliitwa wapigania uhuru mara wahenga mara wana matumbo makubwa yaaaaniii
 
Ndoa ni muunganiko kati ya mwanamume na mwanamke, walio amua kwa ridhaa yao wenyewe kuishi pamoja kama mke na Mume.

Harusi ni sherehe kwa ajili ya kufunga ndoa.
Aisee tuna bahati mbaya sana na wanawake wa leo mkuu
 
Aiseee
 
Nimefurahia kusikia ndoa yako iko vizuri zaidi ya jana...[emoji1787]

Hongera sana mke wa mtu....[emoji109]
Ameeeen, nashukuru Jah akanikutanishaa na mtu sahihi kwangu, nikachukuliwa mazima.
Napambana na maisha ya ndoa now.
 
😲🤣
 
Ameeeen, nashukuru Jah akanikutanishaa na mtu sahihi kwangu, nikachukuliwa mazima.
Napambana na maisha ya ndoa now.

Hongera sana..watu wengi wakipata chance ya kuoa tena ama kuolewa tena..mke ama mume wangebadilisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…