Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Ha ha ha ha 🤣Nimejaribu kufatilia sana mijadala ya wanawake kuhusiana na mtazamo wao juu ya kuolewa kwanza nimegundua kila mwanamke anatamani sio tu kuolewa bali pia afanye sherehe ambayo atauonyesha ulimwengu kwamba Na yeye amepata wa kumheshimisha na kumchukua kama mke.
Wee siwezi ruhusu ni hadi umalize shule na upate kazi 😂 nipe mimi huyo shemeji wakati wako ukifika tutatafuta mwingine 🤭Dada wee si unachelewa, mie nimepata nafas nikaitumia. [emoji7][emoji7][emoji7]
Castle lager, tuma kwa namba hii 0687654321, jina litasoma John Wanzuki, usisahau na ya kutolea.Umempa za uso safi sana, plz unatumia kinywaji gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wacha weeeh, [emoji23][emoji23][emoji23] ngoja niongee nae nione anasemaje.Wee siwezi ruhusu ni hadi umalize shule na upate kazi [emoji23] nipe mimi huyo shemeji wakati wako ukifika tutatafuta mwingine [emoji2960]
UsijariCastle lager, tuma kwa namba hii 0687654321 , jina litasoma John Wanzuki, usisahau na ya kutolea.
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣Niolewe mara ngapi? Mie nimeshaolewa, na ndoa juu plus sherehe, na ndoa yangu iko vizuri zaidi ya jana.
[emoji23][emoji23][emoji23] sasa nini?[emoji1787]
AiseeeMkuu yani leo asubuhi nilikua napiga story na dada fulani, kwa bahati mbaya leo hajahudhuria harusi kanisani kwao basi anajilaumu kwelikweli. Anasema anapenda kuona jinsi watu wanafanya sherehe na yeye anatamani mno.
Nikamuuliza vipi huwazi kuhusu maisha ya ndoa, aisee huwezi amini aliapia kabisa kua ye hayo ya ndani hayawazi ye anataka kvishwa pete mbele ya umati na sherehe kubwa, mengine mbele kwa mbele uko.
Nimefurahia kusikia ndoa yako iko vizuri zaidi ya jana...🤣[emoji23][emoji23][emoji23] sasa nini?
Ameeeen, nashukuru Jah akanikutanishaa na mtu sahihi kwangu, nikachukuliwa mazima.Nimefurahia kusikia ndoa yako iko vizuri zaidi ya jana...[emoji1787]
Hongera sana mke wa mtu....[emoji109]
😲🤣Mkuu yani leo asubuhi nilikua napiga story na dada fulani, kwa bahati mbaya leo hajahudhuria harusi kanisani kwao basi anajilaumu kwelikweli. Anasema anapenda kuona jinsi watu wanafanya sherehe na yeye anatamani mno.
Nikamuuliza vipi huwazi kuhusu maisha ya ndoa, aisee huwezi amini aliapia kabisa kua ye hayo ya ndani hayawazi ye anataka kvishwa pete mbele ya umati na sherehe kubwa, mengine mbele kwa mbele uko.
Ameeeen, nashukuru Jah akanikutanishaa na mtu sahihi kwangu, nikachukuliwa mazima.
Napambana na maisha ya ndoa now.
Nimefurahia kusikia ndoa yako iko vizuri zaidi ya jana...
Bado uko naye J'burg?!Ameeeen, nashukuru Jah akanikutanishaa na mtu sahihi kwangu, nikachukuliwa mazima.
Napambana na maisha ya ndoa now.
Ameeeeen.Hongera sana..watu wengi wakipata chance ya kuoa tena ama kuolewa tena..mke ama mume wangebadilisha
Hapana tupo hapa jiji la maraha [emoji1241].Bado uko naye J'burg?!