Tushauriane zawadi ya Valentine's Day isiyozidi Tsh 20,000/=

Tushauriane zawadi ya Valentine's Day isiyozidi Tsh 20,000/=

Hamna zawadi nzuri kama KUongea Face to Face na umpendae

tumezoea kupigiana simu kwasababu hatukai pamoja sasa hii siku

ibadilishe,mtafute Mtoe OUT mpeleke sehemu yyte nzuri tulivu unayoijua

kanyweni hata glass 1 moja ya juice sehemu yenye hadhi na assume

glass itakua 5000 x 2 = 10,000 kisha 5000 ingine iwe nauli yenu go n return

wakati mnaachana Mwambie Kwa upole na upendo Baby i have this amount for you

itumie kwa ajli ya Nauli kurudi home,sina zaidi mpenzi wangu Siku moja nitakupa

nyingi na zaidi ya hii Love.
Kisha msindikize akapande DalaDala/Bodaboda.

ONYO: Msi fanye mapenzi hii siku,acha ipite itumie ku spend nae mahali na zawadi

kubwa ya hii siku iwe ni maneno matamu na mazuri,mdekeze kuliko siku zote zile.
Umeongea point tupu mkuu,asante kwa ushauri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale ma legendary tujuane mapema
1574EF9E-2964-4C2B-9A65-AD896F4B406B.jpeg
 
Usijali nimechukulia positive tu,halafu kuitana Mkuu ni kawaida tu bila kujali chochote maana hatujuani[emoji3]
Sorry boo i didn’t aim to bother you ulivyo niita mkuu and i am sure mie ni dogo lako [emoji3][emoji3]


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuelekea sikukuu ya wapendao 14/02/2020.

Hebu weka wazo la zawadi unayofikiri utanunua au kuandaa kwa ajili ya mpenzi/mpendwa wako ila bajeti isizidi Shilingi 20,000/=

Kwa kuweka limit ya kiwango hiki pengine itashawishi wengine wanaofikiri zawadi ni lazima iwe ya gharama kubwa.

Inaweza kuwa zawadi ya elfu 1,2,5,10 nk ilimradi isizidi kiwango tajwa hapo juu,lengo ni kuonyesha upendo na kujali bila kuangalia thamani ya zawadi.

N:B Mimi nafikiria kuandaa kuku wa kukaanga kwa kachumbari na Pepsi 1
(Nitaandaa mwenyewe Nyumbani)

Bajeti:

Kuku 1 wa kienyeji. 10,000
Pepsi take away. 1,000
Jumla. 12,000

Karibuni.


Sent using Jamii Forums mobile app
Nimepanga kupika pilau na nyama ya kuku tule na familia yetu kisha tutoke out as a family yani mm, mume, watoto 2, na mfanyakazi mpk Coco beach.
Kisha turudishe familia nyumba then nitoke out na Mr (we have car-BMW 320i) hapo nishachukua Ky, na Mkongo nimemnunulia) tunaenda kwa lodge ambayo ina bar tunakunywa Wine hapo Bar then tunazama room.
Waooh! kinachoendelea huku SIRI YANGU...
 
Nimepanga kupika pilau na nyama ya kuku tule na familia yetu kisha tutoke out as a family yani mm, mume, watoto 2, na mfanyakazi mpk Coco beach.
Kisha turudishe familia nyumba then nitoke out na Mr (we have car-BMW 320i) hapo nishachukua Ky, na Mkongo nimemnunulia) tunaenda kwa lodge ambayo ina bar tunakunywa Wine hapo Bar then tunazama room.
Waooh! kinachoendelea huku SIRI YANGU...
Safi,maandalizi mazuri
Ila kwanini umemnunulia Mr Mkongo?
 
Back
Top Bottom