Tusherekee views million 100 za Zuchu

Tusherekee views million 100 za Zuchu

Halafu na hili niliweke sawa hapa

Huyu si kaajiliwa na diamond na diamond ana boss wake anaye mmeneji

Sasa dogo akipata pesa hela inapitia kwa boss mtasha ikitoka hapo inaenda kwa muajiri wake diamond baada ya hapo vile vimichuzi ndio vinamfikia huyu

Hivi vimichuzi wengi havijawasaidia chochote, madogo ujana unawapumbaza hawana vision ya mbali wameridhika na mgao finyu ambao umeshindwa kukidhi kodi ya nyumba mpaka wametimuliwa

So wcb kwa kutengeneza jina na kusaka u fame ni simple sana ila kufanya huo u fame uwe pesa ndicho kilicho mkimbiza yule wanamuita hamolaizer
Muda unaoutumia hapa kupunguza maumivu ya msoto wa maisha. Ungeuza hata vitunguu upate uhakika wa kula.
 
SNS wa U tube njoo ufafanue huku.. Hapo Chu chu anapiga shing ngapi...

Nakumbuka ulishalisema vizuri...

NAona watu wanapuyanga tu hapa...
 
Back
Top Bottom