batmanwafez
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 882
- 1,346
Hamna chadeema wala sisiem wote ni wapigaji tuChadema itaongoza serikali
Mimi ndio yule mbuzi mwenye corona
We jamaa muongo sana asee.Ningekuwa Moderator huu uzi ningeufutilia mbali.
Harafu mimi nakupenda saanaMimi ndiye niliyeleta virusi vya Corona.
π
Mimi ndio muanzilishi wa JF
ππππAiseeSure, nakumbuka
Tena ulianzisha JF baada ya kukataa wazo langu la mimi na wewe kuanzisha familia.
Hata hivyo baadae JF ilipokua hacked na ndugu Melo ulinisihi sana turudi kwenye wazo letu la awali la kuanzisha familia.
Sehemu pekee tulishindwa kuelewana ulikataa wish yangu ya kuwa na watoto wawili, wewe ulitaka watatu.
Nikakuambia nimekubali wish yako kwahivyo unicheki PM
It's pity hukuwahi kufanya hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooooohπ²Magogoni kuna apartment kwa yeyote mwenye hitaji la chumba cha kupanga anione
Nb; aliekuwepo kaondoka na Kodi ya miezi miwili
Sent using Jamii Forums mobile app
ππNimepoteza sim yangu na number zake nilikuwa nimezisev humo
Sawa sawa yeye mwenyewe atakuwa kakumiss sanaππ
Mkikutana msalmie mwambie anitafute