Tushirikiane kubandua matangazo ya waganga barabarani

Tushirikiane kubandua matangazo ya waganga barabarani

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Kwa wadau wote ebu tuanzishe kampeni ukiona tangazo tangazo la mganga bandua na ulitupe hii itatupeleka kupunguza shiriki kwa binadamu na hawa waganga matapeli wanawaibia watu au kuwatuma watu vitu hatarishi katika maisha mfano ulale na mama yako mzazi sijui au umuingilie mtoto mdogo asiye balehe na mengine mengi
 
Mimi nilitamani watafutwe wakalishwe chini wakubaliane sasa waanze kutoa masharti yenye manufaa kwa Jamii.

Kwa mfano Mtu akinda na shida zake basi ahsauriwe atafute Nyumba anayoishi Mzee amsaidie kuchota maji, aende sokoni anunu mahitaji aende ampikie kwa wiki moja aambiwe ndio atafanikiwa.

Au Mtu aambiwe atafute Wanafunzi Watano wenye uhitaji awashonee unifomu na Viatu vipya.

Kwa kuwa Watu wamekuwa watiifu kwa masharti ya kijinga bila shaka hawatakuwa na mapingamizi kwenye kutekelrza hayo.
 
Kwa wadau wote ebu tuanzishe kampeni ukiona tangazo tangazo la mganga bandua na ulitupe hii itatupeleka kupunguza shiriki kwa binadamu na awa waganga matapeli wanawaibia watu au kuwatuma watu vitu hatarishi katika maisha mfano ulale na mama yako mzazi sijui au umuingilie mtoto mdogo asiye balehe na mengine mengi
Kule Iringa yamebandikwa mpaka makaburini
 
Kwani katiba inasemaje kuhusu ilo?tuanzie hapo kiongozi
 
Kwa wadau wote ebu tuanzishe kampeni ukiona tangazo tangazo la mganga bandua na ulitupe hii itatupeleka kupunguza shiriki kwa binadamu na hawa waganga matapeli wanawaibia watu au kuwatuma watu vitu hatarishi katika maisha mfano ulale na mama yako mzazi sijui au umuingilie mtoto mdogo asiye balehe na mengine mengi

Matabgazo mengine hadi yanatumwa kwa meseji kwenye simu za watu!
 
Serikali iweke Kodi kwenye kila tangazo la mganga, ni chanzo kizuri Cha mapato
 
takataka ni hao wanaowatafuta. baada ya kuona hivo vibango
 
Huwa najiuliza ata wenyeviti wa mitaa huwa wanachukuliaje huo uchafu mitaani? alafu kwa washua hamna huo ujinga ni uswahilini tuu
 
Acheni roho mbaya....mnajidai hapa na wateja wao ni nyie. Let them be allowed to work
 
Back
Top Bottom