Marshmallow hadi pc...Mkuu ahsante
Hata hivyo zote zimegoma
Hivi kuroot marshallow 6.0 unahitaji rooter ipi???
Nikipata link ingekuwa poa sana
Ahsante sana mkuumkuu sikujua kama unatumia Android 6.0 hebu jaribu na hizi kama itasaidia
How to Root Android 6.0 (Marshmallow) with KingoRoot APK
kama ukishindwa jaribu kusearch Google au YouTube unaweza kupata tutorial mbalimbali
Ila hizo latest android version za kuanzia 5.0 lollipop mpk 6.0 mashallow sijawahi kujaribu Mimi nmezoea 4.4.4 kitkat.
Mkuu hans sanaMarshmallow hadi pc...
Jinsi gani mkuu?Blackmart kwa rooted Android. Hiii app inakusaidia kupata app zooote za play store zinazouzwa bure. Haipatikani Google play. I search kwenye search engines
k..mekupats mkuuUnapopunguza wingi wa mb wa video lazima resolution nayo ipungue.
Ndio maana nikasema kubaliana na ubora wa video kupungua labda kama unapunguza urefu wa video.
Kwangu inafail njia zote, apk au nikitumia pc zote znafail. Nsaidie app nyingine ambayo naweza itumia kwa Android 6
Wakuu naombeni msaada nina simu yangu huwa inaji run yenyewe.. kwa mfano nikiwa naandika text kabla sijamaliza, ile text inajituma yenyewe; au mfano nikiwa you tube nacheki video gafla inaji next yenyewe ...so naombeni msaada wakuu nin tatizo?
NmefanikiwaWakuu kuna mtu ambaye amefanikiwa kuroot Android 6,marshmallows!? Nimejaribu kwa King root na kingo root lakini nmechemka. Kwa aliyefanikiwa tafadhari anisaidie alifanyaje!!
Umetumia app gan bila kompyuta??Nmefanikiwa
Nmetumia PC kiongoz...bila ivo haiwezekaniUmetumia app gan bila kompyuta??
Poa mkuuNmetumia PC kiongoz...bila ivo haiwezekani
Chukua dumpster itakufaa kwa vyote. You'll have freedom to make mistakes.Hivi amna program ya kufanyia back up nyimbo kama zikijifuta
Naomba unijuze steps ulizopita ukafanikiwa. Mm nilijarbu kwa pc nikitumia kingoroot, nkashindwa.Nmetumia PC kiongoz...bila ivo haiwezekani
Nimeicheki dah jins ya kutumia ngumu nielekeze ebuChukua dumpster itakufaa kwa vyote. You'll have freedom to make mistakes.
Dumpster mbona ni ya ku download tu na kutumia.Nimeicheki dah jins ya kutumia ngumu nielekeze ebu
Nikazi ndogo tu mkuu tafuta kingoroot ya pc kisha wakati una root make sure una access ya internet ktk hiyo pc.Naomba unijuze steps ulizopita ukafanikiwa. Mm nilijarbu kwa pc nikitumia kingoroot, nkashindwa.