Weka link hapaKwa wale ambao labda luckypatcher inazingua kwenye ki hack jaribuni kutumia version 6.4.6 kwa kuwa ndiyo ambayo naitumia na mpaka sasa haijaniletea shida yyte na labda kama itakubali kuplay usije kui update kamwe jaribuni hapo
Mkuu hii link uliyonipa ina virus yani security zote nilizonazo kwenye simu yangu inataka nii unstallDownload hapa
>>>LATEST GB WHATSAPP V5. 60
Siku nyingine ukitaka kuaupdate ingia hapa >>Missing Tricks - Free Recharge Tricks, Latest Loot Tricks
Ni kawaida kwa simu nyingi kuitambua gbwhatsapp kama kirusi ila chukua hii ambayo ni stable zaidi gb whatsapp v2.17.79 ambayo ni more stableMkuu hii link uliyonipa ina virus yani security zote nilizonazo kwenye simu yangu inataka nii unstall
Teh teh teh teh.....Mkuu hii link uliyonipa ina virus yani security zote nilizonazo kwenye simu yangu inataka nii unstall
Hii game inaitwaje? Or nipe link
inapatikana wapi hii mkuu na inatumikajeHii natumia psp aplication
Ninayo lucky patcher ila haina hizo option kama yako ina hizo option zitume link watu tuchukue hapa utakua umesaidia bila shaka maana mlengo wa uzi huu ni kusaidiana in easy wayJAMANI KWA WALE AMBAO MNATAKA APPS KAMA HIZI NI RAHISI SANA KUZIPATIA 4SHARED KULIKO KUANGAIKA NA LINK ZA GOOGLE KWA HIYO KAMA UNATAKA 4SHARED INGIA PLAYSTORE MARKET NA KISHA ANDIKA 4SHARED KISHA ITAKUJA IDOWNLOAD HALAFU JI SIGHN IN NA ACCOUNT YAKO YA GOOGLE KISHA ANZA KU DOWNLOAD APPS YYTE AMBAYO HAIPO PLAYSTORE
LMsaada antivirus nzur kwa sm za huawei ni ipi?
Jamani[emoji115] [emoji115] [emoji115] hii mnisaidie WakuuNi app ipi inatumika kusearch picha yaani unatupia picha then inakuletea information about hiyo picha.
Mfano umeikuta picha whatsapp then ungependa kupata information deeply kuhusu hiyo picha and picha zingine zinazorandana na hizo ni app ipi
Msaada please
Kifupi ni kuwa unatumia memorycard ambayo si ya simu yaani haitumiki kwa matumizi ya simu na ndiyo maaana inakutafunia files zako zote na pia iko slow kwenye kutuma na kupokea files cha kufanya ni kuwa tafuta memory card aina ya SAN DISC class yyte inaweza cheza kwa simu yako ni memory ambazo ziko fast na more stable na pia inatumika popote.hiyo ambayo inakula mafiles hutumika kwa kamera na radio sana sanaWataalam tujuzane inakuwaje memory card inakula file zangu yaani nime save file lenye mb5 afu baadae nakuta liko 0mb kuna app inaweza nisaidia kurudisha file memory zote??
Hili tatizo nilikuwa nalo mimi kuna virus humo mkuu.cha muhimu tafuta anti virusi anaitwa cm securty then scan utamwonaWakuu naombeni msaada aisee..nina HTC desire.inaRun android 6..tatizo ni kwamba huwa inatabia ya kujiformat..yan ikiikaa baadavya siku tatu hixi inabidi zile "settings" uziseti upya..sometymes huwa apps zinapotea permanently na kwa zibazobakia mpaka inabidi ni "log in" upya kwny hzo apps mf:Insta,Jf na hata whatsapp inabidi nisajiri upya.. Inakera sana wakuu..naombeni mnisaidie..
Asanteni.