lucky patcher utahamisha kama una root access lakini kama hauna root access utatumia option za kawaida 2Nijuavyo sio app zote zinaweza kukaa kwenye memory labda utumie app moja hivi ndo inaweza kuhamisha kutoka kwenye phone mpaka memory. Hata lucky patcher nadhani inaweza kusaidia
mkuu yangu ni j7 prime inatumia os version 6.0.1kwanza inatumia os version ngapi kama ni android 6 yaani mashmqllow nicheki nikuelekeze
oook ni simple tu kwanza unayo external memory card?mkuu yangu ni j7 prime inatumia os version 6.0.1
jibu chap mkuuu nikupe maelekezo chap haina haja ya kuroot simumkuu yangu ni j7 prime inatumia os version 6.0.1
[HASHTAG]#inasapot[/HASHTAG]Cjaweka external memory ingawa cm insuportável
ss ww c unataka apps ziingie kwa external memory auCjaweka external memory ingawa cm insuportável
Kikubwa ninachotaka ni kurootss ww c unataka apps ziingie kwa external memory au
anhaaa basi ingia google search kisha search hivi (kingroot) kisha zitafunuka links nyingi 2 ingia ya kwanza kisha download hiyo app ya kingroot kisha ikiwa inajiinstal itakuambia kwamba hiyo app ni malware we kubali install hivyo hivyo kisha ifungue ukiwa umeweka data on itakuletea option ya kuroot (yaani try root) bofya hapo try root kisha acha ijiroot simple like thatKikubwa ninachotaka ni kuroot
Sio kila simu unaweza ROOT kwa KINGROOT.anhaaa basi ingia google search kisha search hivi (kingroot) kisha zitafunuka links nyingi 2 ingia ya kwanza kisha download hiyo app ya kingroot kisha ikiwa inajiinstal itakuambia kwamba hiyo app ni malware we kubali install hivyo hivyo kisha ifungue ukiwa umeweka data on itakuletea option ya kuroot (yaani try root) bofya hapo try root kisha acha ijiroot simple like that
vp inakula bando amaKama huna king'amuzi cha AzamTV
Pakua hii App itakusaidia kupata channel zifuatazo
• Azam ONE
• Azam TWO
• Sinema Zetu
• ZBC 2
• Azam Sports HD
• Real Madrid TV
• NTV Uganda.
Habari mbali mbali za kitaifa, kimataifa na michezo
AzamTV – Applications Android sur Google Play
kuna njia hiziSio kila simu unaweza ROOT kwa KINGROOT.
ikikataaa hapo jaribu hiianhaaa basi ingia google search kisha search hivi (kingroot) kisha zitafunuka links nyingi 2 ingia ya kwanza kisha download hiyo app ya kingroot kisha ikiwa inajiinstal itakuambia kwamba hiyo app ni malware we kubali install hivyo hivyo kisha ifungue ukiwa umeweka data on itakuletea option ya kuroot (yaani try root) bofya hapo try root kisha acha ijiroot simple like that
How to get hyo premium kupitia lucky patcher?!Sijaona audio player nzuri kama JETAUDIO PRO nilishawahi tumia poweramp lakini bado sijaona kama ni nzuri na istoshe nilipata premium version kupitia luckypatcher
ShowBox.... Ingia Google andika 'Showbox apk download 'Jaman naomba app ya ku download movies za mbele
mkuu kwenye recovery mode ya cm yangu sioni option ya ''install update'' but kuna options 2 hapa ''apply update from ADB'' na ''apply update from SD card'' so niende na chaguo lipi kati ya hayo?.ikikataaa hapo jaribu hii
ingia google andika( XDA update supersu ) kisha ikishafunguka ingia hiyo blog ya XDA KIsha download update supersu zip file kisha ikishamaliza zima simu kisha washa ukiwa umebonyeza volume up button na cha kuwashia (simu nyingine lazima uongeze na cha home button kwa hiyo utakuwa umebonya vi 3 )itawaka kwenye recovery mode itakuletea option nyingi 2 chagua instal update kisha chagua lile file ulilodownload kisha bonya cha kuwashia wacha iji install yenyewe kisha ikishamaliza chagua reboot kisha tayari utakuwa umeroot.
chagua apply update from sd card halafu tafuta folder ambalo downloaded file lako litakuwepomkuu kwenye recovery mode ya cm yangu sioni option ya ''install update'' but kuna options 2 hapa ''apply update from ADB'' na ''apply update from SD card'' so niende na chaguo lipi kati ya hayo?.