Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

Nijuavyo sio app zote zinaweza kukaa kwenye memory labda utumie app moja hivi ndo inaweza kuhamisha kutoka kwenye phone mpaka memory. Hata lucky patcher nadhani inaweza kusaidia
lucky patcher utahamisha kama una root access lakini kama hauna root access utatumia option za kawaida 2
 
1014b7e278907350d6f5aa3260a9dac8.jpg
b80808d1cd04588c7b415d9493dd6127.jpg
ef77bf76edfcaa8d6df705877330d910.jpg
1704f35876dcb4d6881b128f3471d201.jpg

hapo ni picha za lucky patcher ikiwa na root access na without root access
 
Kwa wale wanaopata advertisement yaani kifupi (ads) kwenye apps zao nyingi kama jamiiforum app kwenye simu watumie luckypatcher kuondoa hiyo anoying ads
 
Kikubwa ninachotaka ni kuroot
anhaaa basi ingia google search kisha search hivi (kingroot) kisha zitafunuka links nyingi 2 ingia ya kwanza kisha download hiyo app ya kingroot kisha ikiwa inajiinstal itakuambia kwamba hiyo app ni malware we kubali install hivyo hivyo kisha ifungue ukiwa umeweka data on itakuletea option ya kuroot (yaani try root) bofya hapo try root kisha acha ijiroot simple like that
 
anhaaa basi ingia google search kisha search hivi (kingroot) kisha zitafunuka links nyingi 2 ingia ya kwanza kisha download hiyo app ya kingroot kisha ikiwa inajiinstal itakuambia kwamba hiyo app ni malware we kubali install hivyo hivyo kisha ifungue ukiwa umeweka data on itakuletea option ya kuroot (yaani try root) bofya hapo try root kisha acha ijiroot simple like that
Sio kila simu unaweza ROOT kwa KINGROOT.
 
Sio kila simu unaweza ROOT kwa KINGROOT.
kuna njia hizi
-kingroot,kingoroot,towelroot na iroot
-UPDATE supersu.zip(flash recovery)
-updating os and substitute it with new rooted os
-framaroot
-root genius na nyengine nyingi
 
anhaaa basi ingia google search kisha search hivi (kingroot) kisha zitafunuka links nyingi 2 ingia ya kwanza kisha download hiyo app ya kingroot kisha ikiwa inajiinstal itakuambia kwamba hiyo app ni malware we kubali install hivyo hivyo kisha ifungue ukiwa umeweka data on itakuletea option ya kuroot (yaani try root) bofya hapo try root kisha acha ijiroot simple like that
ikikataaa hapo jaribu hii
ingia google andika( XDA update supersu ) kisha ikishafunguka ingia hiyo blog ya XDA KIsha download update supersu zip file kisha ikishamaliza zima simu kisha washa ukiwa umebonyeza volume up button na cha kuwashia (simu nyingine lazima uongeze na cha home button kwa hiyo utakuwa umebonya vi 3 )itawaka kwenye recovery mode itakuletea option nyingi 2 chagua instal update kisha chagua lile file ulilodownload kisha bonya cha kuwashia wacha iji install yenyewe kisha ikishamaliza chagua reboot kisha tayari utakuwa umeroot.
 
Kwa heshima na taadhima NAWAOMBENI JF MODS muufanye huu uzi uwe STICKY,,, tafadhalini sana.

Umepata wachangiaji wengi na pia wasomaji wengi zaidi.
Plz MODS just do the needful
 
Sijaona audio player nzuri kama JETAUDIO PRO nilishawahi tumia poweramp lakini bado sijaona kama ni nzuri na istoshe nilipata premium version kupitia luckypatcher
How to get hyo premium kupitia lucky patcher?!
 
ikikataaa hapo jaribu hii
ingia google andika( XDA update supersu ) kisha ikishafunguka ingia hiyo blog ya XDA KIsha download update supersu zip file kisha ikishamaliza zima simu kisha washa ukiwa umebonyeza volume up button na cha kuwashia (simu nyingine lazima uongeze na cha home button kwa hiyo utakuwa umebonya vi 3 )itawaka kwenye recovery mode itakuletea option nyingi 2 chagua instal update kisha chagua lile file ulilodownload kisha bonya cha kuwashia wacha iji install yenyewe kisha ikishamaliza chagua reboot kisha tayari utakuwa umeroot.
mkuu kwenye recovery mode ya cm yangu sioni option ya ''install update'' but kuna options 2 hapa ''apply update from ADB'' na ''apply update from SD card'' so niende na chaguo lipi kati ya hayo?.
 
mkuu kwenye recovery mode ya cm yangu sioni option ya ''install update'' but kuna options 2 hapa ''apply update from ADB'' na ''apply update from SD card'' so niende na chaguo lipi kati ya hayo?.
chagua apply update from sd card halafu tafuta folder ambalo downloaded file lako litakuwepo
 
  • Thanks
Reactions: RR
Back
Top Bottom