Senator jr
JF-Expert Member
- Apr 3, 2016
- 367
- 496
- Thread starter
-
- #301
Mkuu kuroot simu faida ni kuwa utaweza kuwa na acces ya kutumia apps nyingi kwenye simu yako lakini hasara kubwa nivkuwa unapoteza security kwenye simu yako..Naomba kujua maana ya Kuroot simu,faida,na hasara zake,,natumia Tecno H6
Mkuu ni whatsap plus hakuna cha ziada.nimeshindwa kuweka link hapaMkuu mnatumiana nini huko kwa nini mambo yote yasiwekwe hapa jamvini hadharani..HUO UTAKUWA UCHOYO KAKA
inapatikana channel gani kwenye mobdro,?maana nimekuwa addicted sana wa hizo mamboUkitaka ufulahie uzuri wa mobdro uwe na network kuanzia 3g na kuendelea ila ubaya mwingine ina hustler tv kwa kuonyesha ngono tup kwa ambao wenzangu na mm weka mbali na watoto.
Pia haina tv chaneli za ndani.
Haya kaka namimi tuma hapa 0743695032Mkuu ni whatsap plus hakuna cha ziada.nimeshindwa kuweka link hapa
Na ndio maana umekonda sana kama kismigo tehtehinapatikana channel gani kwenye mobdro,?maana nimekuwa addicted sana wa hizo mambo
Nicheki hapo juu no yangu niku tumieHaya kaka namimi tuma hapa 0743695032
Kumbe upo my ulishindwa masharti niniMana kuna moja niliipakua naona inanizingua nashangaa namba nimeireject ila utashangaa inaita au mtu anatuma SMS
HahahahaNa ndio maana umekonda sana kama kismigo tehteh
Kuna apps nyingi sana ila WhatsApp ndiyo inaangoza kutumiwa na watu wengi sana zaidi ya 1b , karibia watu wote wanatumia hii app na ukifanya tafiti utaona kuwa hakuna mwenye smartphone asio na app hii. Ndio utaona kuwa pasipo hii app wengi wangeona simu zao hazina thamani.Wakuu tuambizane katika experience ya apps zipi ambazo unaona bila hizo huwezi kuona thamani ya simu yako...
Mi naanza na mobdro app noma sana
Real racing 3Nahtaj app ya game ya mashindano ya magari ambayo ni Kali sana
Ipo play store?Real racing 3
NaamIpo play store?
Ni kweli SIM 1 huwezi kuiunlock kwa kuiroot ila hizi simu za halotel ukiweka line ya halotel SIM 2 ambako huingia line za mitandao yote huilock hiyo line.Hapana ku root simu hakuondoi lock za simu zinazo uzwa na makampuni ya simu.
Hiyo inahitaji ku flash.
Wasiliana na Mwl.RCT
HUDUMA: Unlocking Phone by IMEI Number
Acha kupotosha umma.Kuna apps nyingi sana ila WhatsApp ndiyo inaangoza kutumiwa na watu wengi sana zaidi ya 1b , karibia watu wote wanatumia hii app na ukifanya tafiti utaona kuwa hakuna mwenye smartphone asio na app hii. Ndio utaona kuwa pasipo hii app wengi wangeona simu zao hazina thamani.
kwenye hii app Chanel gani inaonesha ligi ya Wiingereza Hispain na Germany msaada tafadhaliWakuu tuambizane katika experience ya apps zipi ambazo unaona bila hizo huwezi kuona thamani ya simu yako...
Mi naanza na mobdro app noma sana
Mkuu kuna utofauti gani kati ya whatsapp plus na gb whatsapp new versionwww.abo2sadam.com haya sasa. Link ya whatsap+ hii hapa. Kazi kwenu. Ni tamu balaaa. Full kulock hakuna mtu kusoma meseji zangu