Asa naitoaje hiyo kingroot? Maana naona ipo na jnafanya kazi, nmejaribu kui uninstall ikashindikana.Download frama root latest version
http://forum.xda-developers.com/attachment.php?attachmentid=2784451&d=1402084843
Kisha install then rud jukwaan hapa
Leta screenshot yako tukusaidie mkuuAsa naitoaje hiyo kingroot? Maana naona ipo na jnafanya kazi, nmejaribu kui uninstall ikashindikana.
Kiongozi hebu ingia playstore dawnload root checker.Asa naitoaje hiyo kingroot? Maana naona ipo na jnafanya kazi, nmejaribu kui uninstall ikashindikana.
Unataka Kui Unstal Kingroot Nikuelekeze??Asa naitoaje hiyo kingroot? Maana naona ipo na jnafanya kazi, nmejaribu kui uninstall ikashindikana.
Na kui uninstall kingroot fungua hiyo kingroot nenda setting kisha ingia kwenye general setting angalia kipengele cha unistall kingroot.Asa naitoaje hiyo kingroot? Maana naona ipo na jnafanya kazi, nmejaribu kui uninstall ikashindikana.
Mb zina liwa kwa kusikikiza redio tu au mm ndio mshamba.Tuneln Radio ni app ambayo haiondoki kwenye simu yangu.
Hii ni maalumu kwa kustream radios local and International, ina radio zaidi ya 70,000.
Zimeliwa ngapi Mkuu na kwa muda gani?Mb zina liwa kwa kusikikiza redio tu au mm ndio mshamba.
NdiyoUnataka Kui Unstal Kingroot Nikuelekeze??
Sipo interested sana na hiyo ishu so sifaham utumiaji wa mb upoje.Zimeliwa ngapi Mkuu na kwa muda gani?
Maana mimi nina 2 hour non-stop.
Ifungue Kingroot, Julia Juu Bonyeza OptionsNdiyo
Ok.Sipo interested sana na hiyo ishu so sifaham utumiaji wa mb upoje.
OkIfungue Kingroot, Julia Juu Bonyeza OptionsKma Screenshot Inavyooneaha Nenda General Setting Shuka Chini Utaona Unstal Kingrot Malizana Napo Hapo.
Leta screenshot yako tukusaidie mkuu
Mkuu root checker inaonesha kuwa cm ipo rooted na mpaka nimeweza kui uninstall browser iliyo kuja na simu.Kiongozi hebu ingia playstore dawnload root checker.
Iku dhihirishie kuwa hiyo simu ipo rooted ama vipi.
4.7 app nzuri sana. Kwa mtu mwenye data za kuunga unga.Mkuu ni version ya ngap hiyo
Hivi iphone unaweza kuroot......??? Teh teh tehSipo interested sana na hiyo ishu so sifaham utumiaji wa mb upoje.
Ni app nzuri. Sema i prefer spotifyTuneln Radio ni app ambayo haiondoki kwenye simu yangu.
Hii ni maalumu kwa kustream radios local and International, ina radio zaidi ya 70,000.