Petronfrancis
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 329
- 130
Ipo nyingine UKTVNOW soka kama kawaida hebu download hiyo app. itafute ktk googleMobdro kwangu ina play vizur nikiangalia channel za kawaida..ila live game za football inakuwa inagoma kabisa..hapa tatizo n nn wakuu?
tunaongelea custom rom mkuu na sio stock rom, kuweka stock rom hakuhitaj kuroot simu utatumia odin kam ulivyo fanya ww,ila custom rom ni lazma uroot simuNiliweka rom official ya samsung s4 nasimu haikuwa rooted
Ipo play store? Au niwekee hapa linkNimejaribu uktvnow inaonekana iko vizuri zaidi kuliko mobdro ...haigandigandi sana
Facebook video downloader inapatikana playstall ipo vzrapp gan ya kudonload vidio Facebook.
powa mkuuFacebook video downloader inapatikana playstall ipo vzr
Sidhani kama utapata faida yoyote kwa kutumia memory card. Memory card ziko slow sana kwenye writing na reading speed ukilinganisha na RAM. RAM imekuwa design for that ndio maana zinaweza kuwa written many times bila kufa, ila kama utatumia SD card itakufa mapema. The only solution ni kununua simu yenye RAM kubwa. Ingekuwa rahisi hivyo hao manufacturers wasingehangaika na kuimprove RAM size na speed.Wakuu nimeroot simu yangu..nahitaj kuexpand RAM..nimeshadownload RAM expander..naomba msaada jins ya kuitumia maana inanisumbua..
kat.crWapi ninaweza kudownload album nzima ya msanii sipendi kudownload audio moja moja natka nishushe album nzima kwa wasanii
Kivipi mkuukat.cr
humo utaweza kupata full albumKivipi mkuu
Tafuta google translateNi app gani yenye uwezo wa kutafsiri sentensi nzima ya kiingereza kwa kiswahili? Yenye uwezo wa kutafsiri maana halisi na sio neno moja moja
Google translate inatafsiri neno moja moja. Ukiandika sentensi, tafsiri yake haielewekiTafuta google translate
I search google ndo utaipata kirahisi then installIpo play store? Au niwekee hapa link