Kun Jr
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 700
- 362
unatumia mtandao gan mbona upo chini hvyo??Na hivi .
![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unatumia mtandao gan mbona upo chini hvyo??Na hivi .
![]()
unatumia mtandao gan mbona upo chini hvyo??
ping nzuri ila download speed na uploading speed majangaHabari za muda huu wakuu!
Mimi ookla speed test yangu inaonesha kama inavoonekana kwenye picha apo.
Naomba wajuzi mnisaidie kutafasiri hayo majibu kitalaam.
Ahsanten!
![]()
Ok, so apo nifanyeje mkuuping nzuri ila download speed na uploading speed majanga
Natumia Halotel mkuuunatumia mtandao gan mbona upo chini hvyo??
Cshare ipo simple zaid. Pia flash share inafanya kazi hiyoNaomba kujua njia ya kurusha apps kutoka simu moja hadi nyingine
halotel mbona imeshuka hvyo kwa speed nzur narecomend halotel na voda tu ila siunaridhika na speed yako??Natumia Halotel mkuu
kama upo sehem yenye tigo 4G LTE na simu ya 4G hamia uko speed ni nzur sanNatumia Halotel mkuu
Naridhika bt kuna muda inakuwa slow sana mkuu, so kama kuna namna ya kufanya ili kuiboost nisaidie maelekezo mkuu.halotel mbona imeshuka hvyo kwa speed nzur narecomend halotel na voda tu ila siunaridhika na speed yako??
hyo ni simu ya tecno ngapNaridhika bt kuna muda inakuwa slow sana mkuu, so kama kuna namna ya kufanya ili kuiboost nisaidie maelekezo mkuu.
Mdamwingine inanisumbua sana wakati nacheki game.
Nipo pugu kaka, asa cjui kama na huku 4g ya tigo inashika, bt natumia tecno c5 ambayo nadhani inasupport 4g.kama upo sehem yenye tigo 4G LTE na simu ya 4G hamia uko speed ni nzur san
Ni c5 mkuu!hyo ni simu ya tecno ngap
AVG antvirus inablock simu na sms haiingii kabisa. Nenda kwny privacy ukishadownload. Pia ukitumia Black Mart kuipakua utapata fullWakuu nwenye kujua app nzuri ya kublock "kuzuia" namba lengwa isiingie "kuita" kwenye simu yangu na sms yake km ipo, haswa simu naomba nijuzwe
inasapoti 4G ipo vzur sana nenda ofisi zao kuswap lain ni bure embu kwanza ingia website ya tigo 4G afu nenda kwenye coverage utaona raman ya 4GNi c5 mkuu!
Ok! Nashukuru mkuu! Itabdi nifike ofisini kwao.inasapoti 4G ipo vzur sana nenda ofisi zao kuswap lain ni bure embu kwanza ingia website ya tigo 4G afu nenda kwenye coverage utaona raman ya 4G
cm yako ipo rooted??Ok! Nashukuru mkuu! Itabdi nifike ofisini kwao.
Yapcm yako ipo rooted??
embu subiir kuna kitu nikuelekeze
Naendelea kusubiri mkuu!embu subiir kuna kitu nikuelekeze