Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,053
- 3,259
Customization zote .. naipenda zaidi kwa ajili ya WallpapersInahusu nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Customization zote .. naipenda zaidi kwa ajili ya WallpapersInahusu nini?
PoaCustomization zote .. naipenda zaidi kwa ajili ya Wallpapers
Ni app inayohusika na Maswala ya Filamu za Kitanzania, Sasa hivi huna haja ya kwenda mpaka kariakoo kununua Filamu ambayo utauziwa Shilingi Elfu 3, Huku ukilipa nauli zaidi ya Mia tano bado hujapata usumbufu wa hapa na pale mara filamu hio uambiwe imeisha sokoni. Unachotakiwa kufanya ni Kudownload app ya Proinbox kupitia Google play then jisajili na baada ya hapo anza kuchagua filamu unayopenda kwa gaharama ya Shilingi elf 2 tu na uweze kuokoa muda, ni rahisi na salama.Toa maelezo basi ni ya nini hyo app inatumukaje?
Hebu ngoja nichekiNi app inayohusika na Maswala ya Filamu za Kitanzania, Sasa hivi huna haja ya kwenda mpaka kariakoo kununua Filamu ambayo utauziwa Shilingi Elfu 3, Huku ukilipa nauli zaidi ya Mia tano bado hujapata usumbufu wa hapa na pale mara filamu hio uambiwe imeisha sokoni. Unachotakiwa kufanya ni Kudownload app ya Proinbox kupitia Google play then jisajili na baada ya hapo anza kuchagua filamu unayopenda kwa gaharama ya Shilingi elf 2 tu na uweze kuokoa muda, ni rahisi na salama.
Asphalt nitroTaja jina la game uelekezwe si game zote zina chakachuliwa kwa lucky patcher...
Tumia kingroot 2.0Nina simu yangu ya aina ya TECNO nikijaribu ku root inakataaa, je ni kingroot gani au ni apps gani inaroot vision 6.0 marshmallow
Kingroot 2.0 haipo ndugu yangu ipo 4. Kwenda mbeleTumia kingroot 2.0
Mie nime root cmu yangu tecno J8 kwa hiyoKingroot 2.0 haipo ndugu yangu ipo 4. Kwenda mbele
Tumia hiiNina simu yangu ya aina ya TECNO nikijaribu ku root inakataaa, je ni kingroot gani au ni apps gani inaroot vision 6.0 marshmallow
hivi baada ya kudown load hiyo application kwenye unafanyaje ? ili kuweza kuonaUkitaka ufulahie uzuri wa mobdro uwe na network kuanzia 3g na kuendelea ila ubaya mwingine ina hustler tv kwa kuonyesha ngono tup kwa ambao wenzangu na mm weka mbali na watoto.
Pia haina tv chaneli za ndani.
tupe somo, hivi nitawezaje kuangalia tv kupia simu yanguMkuu hii inapakua youtube video kama youtube yako vile .version zote ukitaka hd au best quality yoyote
Bado hukaweza kuona?hivi baada ya kudown load hiyo application kwenye unafanyaje ? ili kuweza kuona
badoBado hukaweza kuona?