SangaweJr
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 2,986
- 2,664
Kuna tofauti ya ku ROOT simu na KU REBOOT simu.Naomba msaada plz nini maana ya ku reboot sim na kui reboot sim ina inasaidia nini naomba mnijuze make kuna app nimetaka kuiweka sim inataka ni ireboot app yenyewe nimeipata humu ni iFONT