Nchi Kavu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 4,290
- 2,468
Bando si ishu, chaji inakulaje?Iko vizuri sana hasa kwenye sport ila raha yake inakula bando mnooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bando si ishu, chaji inakulaje?Iko vizuri sana hasa kwenye sport ila raha yake inakula bando mnooo
Wakuu naomba msaada Nina Tecno H6 inawaka lakini haimalizi logo ili iwake kabisa mafile yafunguke. Yani inajirudia rudia haiwaki moja kwa moja.
Naomba msaada wa mawazo kabla sijaipeleka kwa fundi.
Mkuu imegoma tatizo bado liko palepale==>Firstly , POWER OFF Your Phone
==> Next , Press and hold
Volume Up, Home and Power button
==>When Tecno Symbol/name
appears, release the Power
button
==>A Boot Menu will then show, Use the
volume up/down to choose and home to
select
==>Select the option “Wipe
Data/ Factory Reset”
kisha pia wipe cache partition
and then reboot
Mkuu nahisi hujafuata hizo hatua vizuri hata kama ungekuwa mchina ungewakaMkuu imegoma tatizo bado liko palepale
Nielekeze vizuri tena labda nakoseaMkuu nahisi hujafuata hizo hatua vizuri hata kama ungekuwa mchina ungewaka
inagma kvp yani?Mkuu imegoma tatizo bado liko palepale
kaka naomba nisaidie nikijaribu kuiroot kupitia hiyo njia inaniandikia kichina sasa mimi na kichina wapi na wapi ila awali nilikuwa nairoot na ilikuwa inaandika kiingereza naomba msaada tafadhali nifanye nn.Mkuu nahisi hujafuata hizo hatua vizuri hata kama ungekuwa mchina ungewaka
Nenda playstore download root cheker angalia kama simu ipo rooted ikikwambia bado root upyakaka naomba nisaidie nikijaribu kuiroot kupitia hiyo njia inaniandikia kichina sasa mimi na kichina wapi na wapi ila awali nilikuwa nairoot na ilikuwa inaandika kiingereza naomba msaada tafadhali nifanye nn.
mimi huwa nafata huo utaratibu ila inaleta kichina awali ilikuwa inaleta kiingereza ila sasa hv n kichina tupu .Hiyo simu ikiwa imezimwa(kifupi toa battery halafu weka tena) halafu bonyeza kwa pamoja Power button na Volume down button kwa pamoja hadi sekunde kama 10 itawaka itakuonesha android robot subiri italeta maandishi machache hivi angalia neno factory reset au wipe data shuka hadi hapo kwa kutumia volume down button ukifika kwenye hilo neo bonyeza power button subiri
Nimekuandikia juu hapoNielekeze vizuri tena labda nakosea
simu yangu ni tecno p5Nenda playstore download root cheker angalia kama simu ipo rooted ikikwambia bado root upya
Je simu yako ni aina gani na ni MTK AU
Ni copy ausimu yangu ni tecno p5
Mkuu imegoma tatizo bado liko palepale
Kwa nijuavyo mimi kuroot MTK phones ni tofauti na Kuroot hizi simu nyingine kingroot mara nyingi huwa inakataa labda jaribu application nyinge ila kwa maelezo yako nimekushauri udownload playstore root checker ili ujiridhishe kuwa simu yako ipo rooted or notcopy kivip
copy kivip
zipi ni app mbadala?![]()
Umeiona simu yako sidhani kama KINGROOT ITAkubali labda jaribu app nyingine
Kama FRAMAROOT