Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nisaidie ili namm niunganishe kwenye big screen mkuuHahaha wkend na baby tumejifungia nimechomeka kwa big screen hehe fulu raha. kuna venus tv pia ipo hapo mobdro nayo ni pilau tuuu hehehe
Kuna kodi add ons nyingine hyo!!Mobdro ni noma sana shukrani kwako uliyeileta humu, sema kitucha bando kinaenda balaa,vipi ndugu zangu kitonga ya bando hamjaipata!!!!?
Hiyo venus tv mbona kwangu haipo? Umeipataje?Hahaha wkend na baby tumejifungia nimechomeka kwa big screen hehe fulu raha. kuna venus tv pia ipo hapo mobdro nayo ni pilau tuuu hehehe
Hizo channel zinapatikana wapi? kwangu hazipo hata nikisearchAchaa kabisa jombaaas angekuwa mjeda wangu hajaokoka ningemshauri atazame playboy tv na the hustler tv [emoji260] [emoji260] [emoji260] [emoji260]
Unatumia Mobdroo? Mbona Zipo.Hizo channel zinapatikana wapi? kwangu hazipo hata nikisearch
Kwenye Menu Ya Mobdroo, Nenda Upande Wa Channel, Search Utaziona. Kuna Ingne Love&Health Ni Tofaut Kidogo Na Hizo Ila Inahusiano.Hizo channel zinapatikana wapi? kwangu hazipo hata nikisearch
Asante. NimezionaKwenye Menu Ya Mobdroo, Nenda Upande Wa Channel, Search Utaziona. Kuna Ingne Love&Health Ni Tofaut Kidogo Na Hizo Ila Inahusiano.
Kwenye Menu Ingia Chanel Then Search.Natumia Mobdro lkn sizioni hizo Playboy Tv na Hustler Tv
Hasa siku za jumapili.Watu Mnapenda Pilau, Lol!!![emoji23] [emoji23]
Natumia Mobdro lkn sizioni hizo Playboy Tv na Hustler Tv
Mkuu kuna baadhi ya simu ndio zinasupport hiyo kitu.mie yangu ni moja ya simu zinazosupportNisaidie ili namm niunganishe kwenye big screen mkuu
Ishatolewa mkuu mimi nili mark as favouriteHiyo venus tv mbona kwangu haipo? Umeipataje?
Ushauri mzuri lkn kila mtu na maisha yake.Mkuu unaonaje huo muda unaotumia kuangalia playboy TV kwann uciutumie angalau kufungua kurasa za vitabu ama kutafuta info mbalimbali za huu ulimwengu unavyoenda ukaongeza maarifa?
Chunga sana unacholisha ubongo wako bro
Nb: maneno yangu CIO sheria