bwaxs
Senior Member
- Aug 14, 2014
- 102
- 32
naomba tupia link bas mkuuDuuuh sio google playstore ni Google kabisa.sorry wakuu.hii ni una install kwa laptop then waweza weka apk zote za android bula shida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naomba tupia link bas mkuuDuuuh sio google playstore ni Google kabisa.sorry wakuu.hii ni una install kwa laptop then waweza weka apk zote za android bula shida.
Kwenye laptop nenda google search software inaitwa phoenix then fuata maelezo ina mb kama 300 na kitu hivi.kwa iphone sidhani kama ipoNaomba msaada jinsi ya kuinstall kweny PC MOBDRO and jee kwenye IPHONE'S kunajinsi yakuinstall..??
Kwanza install bluestack. Bluestack inakuwezesha kudownload apps za android kupitia kwenye PC yako. Ukishamaliza add account kama unavyofanya kwenye play store. Then download mobdro. Save kwenye hiyo PC. Then nenda upande wa kushoto wa bluestack kuna sehemu imeandikwa apk. Click hapo itaku direct kwenye PC utaenda hadi pale ulipo save ile mobdro then uta install. Baada ya hapo unaweza kuitumia kama kawaida kwenye PC. Kwa maelezo zaidi tembelea website yao wameeleza manake hata mimi ndio nimefuata hayo maelekezo yao. Utakuta link ya bluestack na mobdro.Naomba msaada jinsi ya kuinstall kweny PC MOBDRO and jee kwenye IPHONE'S kunajinsi yakuinstall..??
Achana na hiyo Simu mkuu!Naomba msaada jinsi ya kuinstall kweny PC MOBDRO and jee kwenye IPHONE'S kunajinsi yakuinstall..??
Muwekee mobile tracker then ukisuspect unusual activities unamtrack alippoJamqn Humu Ni Sheeda, Sasa Basi Nipeni App Ya Kujua Fikra Za Shem Wenu Akiwa Anachepuka Maana Mmenifurahisha App Zote Zipo Ila Hiyo Tu Hamna.
SWALI_ Nikimfumania Nitaweza Kumuacha?!, mmh
www.stream2watch.ca, ukiingia hapo kwenye pc haina tofaut na mobdro. Inafanya vzur zaid kwenye chrome ila hata firefox pia iko poa..Naomba msaada jinsi ya kuinstall kweny PC MOBDRO and jee kwenye IPHONE'S kunajinsi yakuinstall..??
Mkuu me nna tatizo kama hlo, unajua jinsi ya kupata?Yule wa msaada wa kufufua grand duos i9082 bado hujafanikiwa?
KUTATUAMkuu me nna tatizo kama hlo, unajua jinsi ya kupata?
Mkuu ipo na musixmatch zote zko powaaukisikia wimbo unapiga mfano kwenye radio au sehemu ya burudani ni kawaida kutaka kujua wimbo ni wa kikundi au msaanii yupi. App itwayo Shazam inakuwezesha kujua kikundi au msaani wa nyimbo baada ya app "kusikiza" wimbo kwa sekundi kadhaa. App pia inakupa lyrics za wimbo na orodha ya nyimbo za kikundi au msaanii. Ipo play store. Inatambua miziki mingi ya majuu na baadhi ya wasanii wetu.
Kama unatatizo kama hilo yaani cm ni i9082 nitafute eidha kwa PM ili kama utapenda nitakutumia namba ili tuchati kwa whatsapp. Feel free kwa mwenye cm ya grand duos i9082.Mkuu me nna tatizo kama hlo, unajua jinsi ya kupata?
Download SIMU TV aplication mkuuJAMAni msaada app gan inakumezesha kuchek tv channel za kibongo