SangaweJr
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 2,986
- 2,664
Apk ndio mfumo wa app za android. Kama kwenye video unaposema mp4, avi, so ukitafuta app andika jina la app kisha malizia apk, search engine itajua kwa urahisi unataka nini.Hiyo apk ni format?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apk ndio mfumo wa app za android. Kama kwenye video unaposema mp4, avi, so ukitafuta app andika jina la app kisha malizia apk, search engine itajua kwa urahisi unataka nini.Hiyo apk ni format?
Hii safiWakuu tuambizane katika experience ya apps zipi ambazo unaona bila hizo huwezi kuona thamani ya simu yako...
Mi naanza na mobdro app noma sana
Link ya kudownload MOBDRO
Charlie mobdro.apk
Matumozo tafadhari ya hii app mo jimeshindwa aseeUkitaka ufulahie uzuri wa mobdro uwe na network kuanzia 3g na kuendelea ila ubaya mwingine ina hustler tv kwa kuonyesha ngono tup kwa ambao wenzangu na mm weka mbali na watoto.
Pia haina tv chaneli za ndani.
wakikujipu naomba unishtue na mimi.Wadau ni application gani naweza tumia kurudisha picha na video zilizofutika kwenye simu baada ya kuiformat?
Ulitakiwa uwe na Dropbox au Google photos na ujisajiri kwa email yako picha na video zina upload kupitia hizo application.wakikujipu naomba unishtue na mimi.
Mkuu hivi uki re start simu unawezaje kupata images zilizokuwepo![]()
![]()
Dumpster
Hii ni application ambayo inafanya kazi kama recycle bin kwenye your mac, linux or windows desktop computers..
Je uli dele kitu kwa bahati mbaya bila kukusudia..
Uki delete utavikuta kwenye Dumpster..
Uki delete images, videos , audio, pdf, zip, mp3, mp4, ppt, doc, avi, mpg, jpg, rar etc...
Ukiingia kwenye Dumpster utakuta kile kitu ulicho delete na ku recovery..
Hii App haiitaji rooting access wala Internet..
Sometimes naweza kusema inafanya kazi kama backup App.
Why?
Kwa sababu unaweza kufanya kama ndo privacy App ya kuficha vitu vyako.. Uka videlete vitu makusudi then vikawa vinakaa huko.. Ukivihitaji una recover tuu.
Unaweza kudownload Dumpster kutoka playstore..
Dumpster _ The freedom to make mistakes
Tumia go SMS naoma kuna mahali mwanzo wa thread imeelezewaMimi natafuta android app itakayoweza kufanya hivi
*#kuhide conversation ya specific number moja ya whatsapp, yaan kama vile zile app zinazoweza kufanya sms za kawaida zisiingie inbox ila ziende private inbox, nataka app itakayofanya hvyo kwa whatsapp
* android app itakayowezesha picha na video ninazotumiwa whatsapp na number flan ziingie private inabox, yaan nikishazidownload zisiende kwenye gallery ya kawaida
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji16] [emoji16] [emoji16]wakuu naomba mnifahamishe apps nzur ya kuhack simu
Adawaymi natafuta apps ya kuzuia ADS kwny simu yaan yanakera balaa
Ndio hiyo [emoji115] app ya kuzuia adds au?Adaway
Ni yenyeweNdio hiyo [emoji115] app ya kuzuia adds au?
asanteeeAdaway
Inatumikaje mkuu tuelezeNi yenyewe
km umeiroot simu yako ni apk nzuri ya kublock add. Sijajua km inafanyakazi kwa simu ambayo haijawa rootedInatumikaje mkuu tueleze
inapatkana wap mbona G/play store haipo?km umeiroot simu yako ni apk nzuri ya kublock add. Sijajua km inafanyakazi kwa simu ambayo haijawa rooted