Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

Mimi natafuta android app itakayoweza kufanya hivi
*#kuhide conversation ya specific number moja ya whatsapp, yaan kama vile zile app zinazoweza kufanya sms za kawaida zisiingie inbox ila ziende private inbox, nataka app itakayofanya hvyo kwa whatsapp
* android app itakayowezesha picha na video ninazotumiwa whatsapp na number flan ziingie private inabox, yaan nikishazidownload zisiende kwenye gallery ya kawaida
 
AROON tafadhari kokote ulipo nisaidie jinsi mobdro inavyofanya kazzii


Msaaaaaada aroon
 
Ukitaka ufulahie uzuri wa mobdro uwe na network kuanzia 3g na kuendelea ila ubaya mwingine ina hustler tv kwa kuonyesha ngono tup kwa ambao wenzangu na mm weka mbali na watoto.
Pia haina tv chaneli za ndani.
Matumozo tafadhari ya hii app mo jimeshindwa asee
 
5d4a8f76337eddea87397ee11fb0d278.jpg


c63e23b0871bc35c0816b485283b72b4.jpg



Dumpster
Hii ni application ambayo inafanya kazi kama recycle bin kwenye your mac, linux or windows desktop computers..

Je uli dele kitu kwa bahati mbaya bila kukusudia..
Uki delete utavikuta kwenye Dumpster..
Uki delete images, videos , audio, pdf, zip, mp3, mp4, ppt, doc, avi, mpg, jpg, rar etc...
Ukiingia kwenye Dumpster utakuta kile kitu ulicho delete na ku recovery..

Hii App haiitaji rooting access wala Internet..

Sometimes naweza kusema inafanya kazi kama backup App.
Why?
Kwa sababu unaweza kufanya kama ndo privacy App ya kuficha vitu vyako.. Uka videlete vitu makusudi then vikawa vinakaa huko.. Ukivihitaji una recover tuu.
Unaweza kudownload Dumpster kutoka playstore..

Dumpster _ The freedom to make mistakes
Mkuu hivi uki re start simu unawezaje kupata images zilizokuwepo
 
Mimi natafuta android app itakayoweza kufanya hivi
*#kuhide conversation ya specific number moja ya whatsapp, yaan kama vile zile app zinazoweza kufanya sms za kawaida zisiingie inbox ila ziende private inbox, nataka app itakayofanya hvyo kwa whatsapp
* android app itakayowezesha picha na video ninazotumiwa whatsapp na number flan ziingie private inabox, yaan nikishazidownload zisiende kwenye gallery ya kawaida
Tumia go SMS naoma kuna mahali mwanzo wa thread imeelezewa
 
Wadau toka juzi simu yangu nikizima data bado internet inaendelea kufanya kazi, tatizo ni nini??? Naombeni msaada maana charge inakwisha vibaya mno
 
Back
Top Bottom